Hivi Mimi nauliza Ukiondoa hayo ma Facebook Pages, Hivi hapa TZ hatuna Solid Dating Platform? Yaani nazingumzia platform ambayo ni uhakika, Maana kama hatuna mimi naona hii ni Nafasi ya Bishara, Hebu changia hapo chini kama Kuna Huduma zozote za Kudeti ambazo unazifahamu matandaoni, labda mimi sizijui, nakumbuka miaka mingi iliyopita marafiki ....com iliwahi kuwa ikitumika lakini watu wengi walilalamikia kuwa in WANIGERIA WENGI ( SCAMMERS ) .
Nadhani hili litawasaidia wengi, kama hii huduma hakuna, am telling you kuwa hii ni nafasi ya biashara kwa mtu kufungua Dating Site ya Uhakika kwa Watanzania.