Mambo muhimu matatu yanayonifanya nimkumbuke Gadaffi

Mambo muhimu matatu yanayonifanya nimkumbuke Gadaffi

Papa D

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
752
Reaction score
182
Haya mambo matatu ya Gadaffi ambayo aliyatoa kwa viongozi wa Afrika yatanifanya nimkumbuke daima ingawa watu wengi wanamuona kama Dikteta:-

1. Nchi za Kiafrika zikatae kulipa madeni zinayodaiwa na nchi za Magharibi kwa sababu westerns waliiba mali asili ya Afrika;
2. Afrika tuwe na setillite yetu ya mawasiliano ili kuondokana na propaganda za vyombo vya habari vya Magharibi [Wachina walifanikiwa hili kwa kupiga marufuku vyombo vya habari vya magharibi. hivi sasa wanakula matunda ya mkakati wao]
3. Gadaffi alipendekeza Afrika iungane ili tuwe na sauti moja itakayotuwezesha kujilinda. [Libya wana mafuta gas na maliasili nyingine kiasi kwamba hawahitaji msaada wa nchi yeyote ya Kiafrika. Lakini wakapendekeza tuchangie hayo yote.
4................
5...............
Kama kuna mwingine mwenya orodha ya mema au mabaya ya Gadaffi tafadhali endeleza hapo chini!
 
Ghadaff for Afrika...natamani nipate silaha kali nipige ufaransa, Uk na amerika vibaya sana kabisaa
 
Haya mambo matatu ya Gadaffi ambayo aliyatoa kwa viongozi wa Afrika yatanifanya nimkumbuke daima ingawa watu wengi wanamuona kama Dikteta:-

1. Nchi za Kiafrika zikatae kulipa madeni zinayodaiwa na nchi za Magharibi kwa sababu westerns waliiba mali asili ya Afrika;
2. Afrika tuwe na setillite yetu ya mawasiliano ili kuondokana na propaganda za vyombo vya habari vya Magharibi [Wachina walifanikiwa hili kwa kupiga marufuku vyombo vya habari vya magharibi. hivi sasa wanakula matunda ya mkakati wao]
3. Gadaffi alipendekeza Afrika iungane ili tuwe na sauti moja itakayotuwezesha kujilinda. [Libya wana mafuta gas na maliasili nyingine kiasi kwamba hawahitaji msaada wa nchi yeyote ya Kiafrika. Lakini wakapendekeza tuchangie hayo yote.
4................
5...............
Kama kuna mwingine mwenya orodha ya mema au mabaya ya Gadaffi tafadhali endeleza hapo chini!
mimi kwangu ni kinyume kidogo
nitakuendelezea number 4 hapo
4.alitaka nchi zenye migogoro isiyokwisha kama nigeria zigawanywe
5.alijitahidi kujenga misikiti kuliko institution nyingine
6.alimpa backup iddi amini ali atupige sisi watanzania kwenye vita ya kagera
7.ni moja ya mfano mbaya wa viongozi wa kiafrica wanaong'ang'ania madaraka kwa muda mrefu
8.NI muuaji-eg-ali order Lockerbie bombing
9.namengine mengi tu mabaya
 
Back
Top Bottom