Mambo mawili yanayoleta mjadala wote wa Katiba Mpya.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,717
Jambo la kwanza ni torture. Utesaji wa inmates ambao unafanywa na polisi pamoja na TISS.
Kumkamata mtu na kumweka mahabusu au kumweka jela haionekani kwamba ni adhabu ya kutosha kuwashikisha adabu watu.
Jambo la pili,watuhumiwa wa uhalifu wakati mwingine wanalawitiwa huko jela,kama sehemu ya adhabu.
Ndiyo inavyokuwa hao kina Mdude hawaishi kuongea kuhusu Katiba Mpya.
Ukiondoa hizo cruel and unusual punishments, nadhani inaweza kutokea more clarity katika hili swala la kudai Katiba Mpya.
Kwa sababu TISS ni Mossad-trained. Kwa hiyo,inevitably yanatokea haya matatizo.
Unajua Mosssd are such wonderful people.
They are the most wonderful people in the whole world.
Unajua kwa nini serikali ya Sri Lanka iliwashinda Tamil Tigers?
They had Mossad advisers.
 
Hujaelewa? Hawa Wayahudi,they have a preoccipation with terror.
Hata vijana wetu wameuawa juzi ma Hamas,waliokuwa wanadai wameenda kupapalilia mashamba,inadhaniwa walikuwa wanajifunza terror.
 
Jambo la kwanza ni torture. Utesaji wa inmates ambao unafanywa na polisi pamoja TISS.
Kumkamata mtu na kumweka mahabbusu au kumweka jela haionekani kwamba ni adhabu ya kutosha kuwashikisha adabu watu.
Jambo la pili,watuhumiwa wa uhalifu wakati mwingine wanalawitiwa huko jela,kama sehemu ya adhabu.
Ndiyo inavyokuwa hao kina Mdude hawaishi kuongea kuhusu Katiba Mpya.
Ukiondoa hizo cruel and unusual punishments, nadhani inaweza kutokea more clarity katika hili swala la kudai Katiba Mpya.
Kwa sababu TISS ni Mossad-trained. Kwa hiyo,inevitably yanatokea haya matatizo.
Unajua Mosssd are such wonderful people.
They are the most wonderful people in the whole world.
Unajua kwa nini serikali ya Sri Lanka iliwashinda Tamil Tigers?
They had Mossad advisers.
Sababu za kudai na kuhitajika kwa Katiba Mpya Tz ni zaidi ya hizi ulizoeleza.
Halafu sijui ni kwa nini Mossad unaifananisha na takataka.??
 
The reason why we bring up this matter,ni kwamba wanaodai Katika Mpya hawaeleweki. Hiyo Katiba Mpya inaweza kuigharimu serikali half a billion shillings. Sasa,kwa nini inadaiwa casually?
 
Basi,tuiache. Naona topic yenyewe ni very hot.
People areml being tortured everywhere,even in a sensible country like India,there is torture( sanctioned by law).
 
Jambo la kwanza ni torture. Utesaji wa inmates ambao unafanywa na polisi pamoja na TISS.
Kumkamata mtu na kumweka mahabusu au kumweka jela haionekani kwamba ni adhabu ya kutosha kuwashikisha adabu watu.
Jambo la pili,watuhumiwa wa uhalifu wakati mwingine wanalawitiwa huko jela,kama sehemu ya adhabu.
Ndiyo inavyokuwa hao kina Mdude hawaishi kuongea kuhusu Katiba Mpya.
Ukiondoa hizo cruel and unusual punishments, nadhani inaweza kutokea more clarity katika hili swala la kudai Katiba Mpya.
Kwa sababu TISS ni Mossad-trained. Kwa hiyo,inevitably yanatokea haya matatizo.
Unajua Mosssd are such wonderful people.
They are the most wonderful people in the whole world.
Unajua kwa nini serikali ya Sri Lanka iliwashinda Tamil Tigers?
They had Mossad advisers.

Kwanza unaelewa maana ya katiba? Labda tuanzie hapo.
 
Sababu za kudai na kuhitajika kwa Katiba Mpya Tz ni zaidi ya hizi ulizoeleza.
Halafu sijui ni kwa nini Mossad unaifananisha na takataka.??

Huyu ni mmoja kati ya wengi aliyeingia kwenye mtego wa kudhani katiba inahusu sijui torture 😫.
Sasa kuna kundi la kutisha ambalo limenaswa kwenye mtego huu mkubwa wa kudhani "Katiba ni sheria ya uchaguzi". Kundi hili linang'ang'ana kwamba katiba mpya ipatikane kabla ya uchaguzi wa mwakani 2025. Wanataka itumike kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Hamu na tamaa yao ni namna gani katiba mpya itakavyo saidia kuwa na uchaguzi huru na wazi. Hilo ni wazo jema. Lkn kwa mtazamo wangu ni kuwa, tukishughulikia kupata katiba mpya pindi hii, tunaweza kunaswa kwenye mtego wa kutaka Katiba mpya iwe madhubuti kwenye uchaguzi, huku tukisahau mambo mengine muhimu yahusuyo masilahi mapana ya nchi yetu. Hivyo nachelea kusema, kipindi hiki ambacho wadau na umma kwa ujumla una shinikizo au pressure ya uchaguzi si kipindi kizuri cha kujadili katiba ambayo ina mambo mengi zaidi ya uchaguzi.
 
Jambo la kwanza ni torture. Utesaji wa inmates ambao unafanywa na polisi pamoja na TISS.
Kumkamata mtu na kumweka mahabusu au kumweka jela haionekani kwamba ni adhabu ya kutosha kuwashikisha adabu watu.
Jambo la pili,watuhumiwa wa uhalifu wakati mwingine wanalawitiwa huko jela,kama sehemu ya adhabu.
Ndiyo inavyokuwa hao kina Mdude hawaishi kuongea kuhusu Katiba Mpya.
Ukiondoa hizo cruel and unusual punishments, nadhani inaweza kutokea more clarity katika hili swala la kudai Katiba Mpya.
Kwa sababu TISS ni Mossad-trained. Kwa hiyo,inevitably yanatokea haya matatizo.
Unajua Mosssd are such wonderful people.
They are the most wonderful people in the whole world.
Unajua kwa nini serikali ya Sri Lanka iliwashinda Tamil Tigers?
They had Mossad advisers.
Duh 🙄 kazi kweli kweli !
 
Back
Top Bottom