Mambo mawili yanabaki kuwa alama ya uzalendo wa Waziri Mchengerwa kwa taifa lake

Babuwatanga

Member
Oct 29, 2022
8
5
G.O.A.T

Mambo mawili yanabaki kuwa alama ya uzalendo wa Waziri M. Mchengerwa kwa taifa lake!

Mosi: Agizo lake akiwa OR Utumishi alipokuwa anaapisha Bodi ya Nne ya Sekretalieti ya Ajira kuwa,

"Kuanzia leo (siku hiyo) ajira zote za umma zipitie utumishi ili kuondoa upendeleo na kuweka usawa kwani taasisi zikiajiri zenyewe ni ngumu kwa watoto wa wanyonge kupata fursa"!

Nani asiyejua toka hili lifanyiwe kazi maelfu ya watoto wasio na “Godfather” wameajiriwa kwenye taasisi nyeti ambazo ni ngumu kupata ajira kama huna "refarii"!

Nimeshuhudia kwa macho yangu vijana wakisema hawakudhani kama siku moja kwenye maisha yao wangeweza kuwa maafisa BOT, TRA na maeneo mengine nyeti nchini.

Ni dhahiri hili ni moja ya maamuzi magumu kuwahi kufanywa na Waziri TZ.

Pili: Ni kero yetu maarufu watumishi, "kutopandishwa madaraja, kutolipwa malimbikizo na stahiki zetu," kweli Mchengerwa (Mwamba) ni mtu kazi hasa (MMK) na wanyonge wengi wanamuelewa na ukitaka kujua hili nenda tazama "comments" zao kwenye social media hasa kwenye akaunti za wizara husika!

Sasa ni zamu ya TAMISEMI na kazi imeanza kuonekana; MMK; kazi juu ya kazi hakuna kulala hadi tukae kwenye mstari!

IMG-20230927-WA0009.jpg
 
G.O.A.T

Mambo mawili yanabaki kuwa alama ya uzalendo wa Waziri M. Mchengerwa kwa taifa lake!

Mosi: Agizo lake akiwa OR Utumishi alipokuwa anaapisha Bodi ya Nne ya Sekretalieti ya Ajira kuwa,

"Kuanzia leo (siku hiyo) ajira zote za umma zipitie utumishi ili kuondoa upendeleo na kuweka usawa kwani taasisi zikiajiri zenyewe ni ngumu kwa watoto wa wanyonge kupata fursa"!

Nani asiyejua toka hili lifanyiwe kazi maelfu ya watoto wasio na “Godfather” wameajiriwa kwenye taasisi nyeti ambazo ni ngumu kupata ajira kama huna "refarii"!

Nimeshuhudia kwa macho yangu vijana wakisema hawakudhani kama siku moja kwenye maisha yao wangeweza kuwa maafisa BOT, TRA na maeneo mengine nyeti nchini.

Ni dhahiri hili ni moja ya maamuzi magumu kuwahi kufanywa na Waziri TZ.

Pili: Ni kero yetu maarufu watumishi, "kutopandishwa madaraja, kutolipwa malimbikizo na stahiki zetu," kweli Mchengerwa (Mwamba) ni mtu kazi hasa (MMK) na wanyonge wengi wanamuelewa na ukitaka kujua hili nenda tazama "comments" zao kwenye social media hasa kwenye akaunti za wizara husika!

Sasa ni zamu ya TAMISEMI na kazi imeanza kuonekana; MMK; kazi juu ya kazi hakuna kulala hadi tukae kwenye mstari!
IMG-20230927-WA0009.jpg

#KaziInaendelea##
 
G.O.A.T
Mambo Mawili Yanabaki Kuwa Alama Ya Uzalendo Wa Waziri M.Mchengerwa Kwa Taifa Lake!
MOSI: Agizo Lake Akiwa OR Utumishi alipokuwa anaapisha Bodi ya nne ya Sekretalieti Ya Ajira Kuwa,
"Kuanzia leo (siku hiyo) Ajira Zote Za Umma Zipitie Utumishi Ili Kuondoa Upendeleo Na Kuweka Usawa Kwani Taasisi Zikiajiri Zenyewe Ni Ngumu Kwa Watoto Wa Wanyonge Kupata Fursa"!
Nani Asiyejua Toka Hili Lifanyiwe Kazi Maelfu Ya Watoto Wasio Na “Godfather” Wameajiriwa Kwenye Taasisi Nyeti Ambazo Ni Ngumu Kupata Ajira kama huna "Refarii"!
Nimeshuhudia Kwa Macho Yangu Vijana Wakisema Hawakudhani Kama Siku Moja Kwenye Maisha Yao Wangeweza Kuwa Maafisa BOT, TRA Na Maeneo Mengine nyeti nchini.
Ni Dhahiri hili Ni Moja Ya Maamuzi Magumu Kuwahi Kufanywa Na Waziri TZ.

PILI: Ni Kero yetu Maarufu Watumishi, "Kutopandishwa Madaraja, Kutolipwa Malimbikizo Na Stahiki zetu", Kweli Mchengerwa (Mwamba) Ni Mtu Kazi Hasa (MMK) Na Wanyonge Wengi Wanamuelewa Na Ukitaka Kujua Hili Nenda Tazama “Comments “ Zao Kwenye Social Media Hasa Kwenye Akaunti Za Wizara Husika!
Sasa ni zamu ya TAMISEMI na kazi imeanza kuonekana; MMK; kazi juu ya kazi hakuna kulala hadi tukae Kwenye mstari !

#kazi inaendeleaa##
G.O.A.T👈🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mambo Mawili Yanabaki Kuwa Alama Ya Uzalendo Wa Waziri Mchengerwa Kwa Taifa Lake .

1.Agizo Lake Akiwa utumishi Alipokuwa Anaapisha Bodi Ya Nne Ya Sekretalieti Ya Ajira Kuwa Kuanzia Leo Ajira Zote Za Umma Zipitie Utumishi Ili Kuondoa Upendeleo Na Kuweka Usawa Kwani Taaisis Zikiajiri Zenyewe Ni Ngumu Kwa Watoto Wa Wanyonge Kupata Fursa.

Nani Asiyejua Toka Hili Lifanyiwe Kazi Maelfu Ya Watoto Wasio Na “Godfather” Wameajiliwa Kwenye Taasisi Nyeti Ambazo Ni Ngumu Kupata Ajira.

Nimeshuhudia Kwa Macho Yangu Vijana Wakisema Hawakudhani Kama Siku Moja Kwenye Maisha Yao Wangeweza Kuwa Maafisa BOT,TRA Na Maeneo Mengine.
Ni Dhahiri Ili Ni Moja Ya Maamuzi Magumu Kuwahi Kufanywa Na Waziri

Pili Ni Suala Letu Maarufu Watumishi Kupandishwa Madaraja Na Kulipwa Malimbikizo Na Stahiki
Kweli Mwamba Ni Mtu Kazi Hasa
Na Wanyonge Wengi Wanamuelewa Na Ukitaka Kujua Hili Nenda Tazama “Comments “ Zao Kwenye Social Media Hasa Kwenye Akaunti Za Wizara Husika
Ngoja Tuone Na Tamisemi
#kaziiendelee
Tumekusikia chawa wa mkwe wa mama!!!
 
G.O.A.T
Mambo Mawili Yanabaki Kuwa Alama Ya Uzalendo Wa Waziri M.Mchengerwa Kwa Taifa Lake!
MOSI: Agizo Lake Akiwa OR Utumishi alipokuwa anaapisha Bodi ya nne ya Sekretalieti Ya Ajira Kuwa,
"Kuanzia leo (siku hiyo) Ajira Zote Za Umma Zipitie Utumishi Ili Kuondoa Upendeleo Na Kuweka Usawa Kwani Taasisi Zikiajiri Zenyewe Ni Ngumu Kwa Watoto Wa Wanyonge Kupata Fursa"!
Nani Asiyejua Toka Hili Lifanyiwe Kazi Maelfu Ya Watoto Wasio Na “Godfather” Wameajiriwa Kwenye Taasisi Nyeti Ambazo Ni Ngumu Kupata Ajira kama huna "Refarii"!
Nimeshuhudia Kwa Macho Yangu Vijana Wakisema Hawakudhani Kama Siku Moja Kwenye Maisha Yao Wangeweza Kuwa Maafisa BOT, TRA Na Maeneo Mengine nyeti nchini.
Ni Dhahiri hili Ni Moja Ya Maamuzi Magumu Kuwahi Kufanywa Na Waziri TZ.

PILI: Ni Kero yetu Maarufu Watumishi, "Kutopandishwa Madaraja, Kutolipwa Malimbikizo Na Stahiki zetu", Kweli Mchengerwa (Mwamba) Ni Mtu Kazi Hasa (MMK) Na Wanyonge Wengi Wanamuelewa Na Ukitaka Kujua Hili Nenda Tazama “Comments “ Zao Kwenye Social Media Hasa Kwenye Akaunti Za Wizara Husika!
Sasa ni zamu ya TAMISEMI na kazi imeanza kuonekana; MMK; kazi juu ya kazi hakuna kulala hadi tukae Kwenye mstari !

#kazi inaendeleaa##
Mwambie arejeshe lile Nissan Patrol New model alilokwapua TANAPA.

Nissan na Land Cruiser 1HZ zilitolewa kama msaada kwa TANAPA na FF zoological alipoteuliwa waziri wa utalii akalichukua na kwenda kulificha Rufiji baada ya kelele nyingi anajitia kaliamishia TAMISEMI.

Waziri tamaa imemjaa kama Fisi maji.
 
Jamani Lucas mwashambwa kaja kivingine. This time anajiita Babuwatanga. Tegemeeni pumba nyingine against mkwe. Humu mamamkwe, kule mkwe, what a hell is JF now? Terrible.
Acha ujinga mkuu na upotoshaji wako humu.mimi sina ID zaidi ya hii nayo tumia siku zote.acha hofu zako.Lazima utambue kuwa ukiwa mchapa kazi kama ilivyo kwa Rais Samia ni lazima utapongezwa na kuandikwa na watu kila sehemu na kila mahali,kwa hiyo acha watu wawe huru kupongeza na kuwapa faraja viongozi wetu.Ninyi wenye roho za kutu roho za kwanini ,roho za chuki mtapasuka mwaka huu .

Mh Mchengerwa Anaendelea kusonga mbele kwa kasi ya mshale
 
G.O.A.T
Mambo Mawili Yanabaki Kuwa Alama Ya Uzalendo Wa Waziri M.Mchengerwa Kwa Taifa Lake!
MOSI: Agizo Lake Akiwa OR Utumishi alipokuwa anaapisha Bodi ya nne ya Sekretalieti Ya Ajira Kuwa,
"Kuanzia leo (siku hiyo) Ajira Zote Za Umma Zipitie Utumishi Ili Kuondoa Upendeleo Na Kuweka Usawa Kwani Taasisi Zikiajiri Zenyewe Ni Ngumu Kwa Watoto Wa Wanyonge Kupata Fursa"!
Nani Asiyejua Toka Hili Lifanyiwe Kazi Maelfu Ya Watoto Wasio Na “Godfather” Wameajiriwa Kwenye Taasisi Nyeti Ambazo Ni Ngumu Kupata Ajira kama huna "Refarii"!
Nimeshuhudia Kwa Macho Yangu Vijana Wakisema Hawakudhani Kama Siku Moja Kwenye Maisha Yao Wangeweza Kuwa Maafisa BOT, TRA Na Maeneo Mengine nyeti nchini.
Ni Dhahiri hili Ni Moja Ya Maamuzi Magumu Kuwahi Kufanywa Na Waziri TZ.

PILI: Ni Kero yetu Maarufu Watumishi, "Kutopandishwa Madaraja, Kutolipwa Malimbikizo Na Stahiki zetu", Kweli Mchengerwa (Mwamba) Ni Mtu Kazi Hasa (MMK) Na Wanyonge Wengi Wanamuelewa Na Ukitaka Kujua Hili Nenda Tazama “Comments “ Zao Kwenye Social Media Hasa Kwenye Akaunti Za Wizara Husika!
Sasa ni zamu ya TAMISEMI na kazi imeanza kuonekana; MMK; kazi juu ya kazi hakuna kulala hadi tukae Kwenye mstari !

#kazi inaendeleaa##

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha mkataba Bungeni.

 
G.O.A.T
Mambo Mawili Yanabaki Kuwa Alama Ya Uzalendo Wa Waziri M.Mchengerwa Kwa Taifa Lake!
MOSI: Agizo Lake Akiwa OR Utumishi alipokuwa anaapisha Bodi ya nne ya Sekretalieti Ya Ajira Kuwa,
"Kuanzia leo (siku hiyo) Ajira Zote Za Umma Zipitie Utumishi Ili Kuondoa Upendeleo Na Kuweka Usawa Kwani Taasisi Zikiajiri Zenyewe Ni Ngumu Kwa Watoto Wa Wanyonge Kupata Fursa"!
Nani Asiyejua Toka Hili Lifanyiwe Kazi Maelfu Ya Watoto Wasio Na “Godfather” Wameajiriwa Kwenye Taasisi Nyeti Ambazo Ni Ngumu Kupata Ajira kama huna "Refarii"!
Nimeshuhudia Kwa Macho Yangu Vijana Wakisema Hawakudhani Kama Siku Moja Kwenye Maisha Yao Wangeweza Kuwa Maafisa BOT, TRA Na Maeneo Mengine nyeti nchini.
Ni Dhahiri hili Ni Moja Ya Maamuzi Magumu Kuwahi Kufanywa Na Waziri TZ.

PILI: Ni Kero yetu Maarufu Watumishi, "Kutopandishwa Madaraja, Kutolipwa Malimbikizo Na Stahiki zetu", Kweli Mchengerwa (Mwamba) Ni Mtu Kazi Hasa (MMK) Na Wanyonge Wengi Wanamuelewa Na Ukitaka Kujua Hili Nenda Tazama “Comments “ Zao Kwenye Social Media Hasa Kwenye Akaunti Za Wizara Husika!
Sasa ni zamu ya TAMISEMI na kazi imeanza kuonekana; MMK; kazi juu ya kazi hakuna kulala hadi tukae Kwenye mstari !

#kazi inaendeleaa##

Sawa lakini mwambie ajifunze kutosheka , na kuwa na tamaa ndogo ndogo …pesa hakuna siku zinatosha …., sio lazima kila taasisi anayoenda kutaka kuweka watu wake upande wa tenda na malipo …. Na kushurutisha kazi wapewe watu wanaompa commission , hilo liko kwenye radar na linamuharibia sana …uwezo wake mzuri wa kuzungumza….
 
Mwambie arejeshe lile Nissan Patrol New model alilokwapua TANAPA.

Nissan na Land Cruiser 1HZ zilitolewa kama msaada kwa TANAPA na FF zoological alipoteuliwa waziri wa utalii akalichukua na kwenda kulificha Rufiji baada ya kelele nyingi anajitia kaliamishia TAMISEMI.

Waziri tamaa imemjaa kama Fisi maji.
Naona awamu hii naye anawavua watu majumba kweli yuko kwenye peak sahvi

Ova
 
Acha ujinga mkuu na upotoshaji wako humu.mimi sina ID zaidi ya hii nayo tumia siku zote.acha hofu zako.Lazima utambue kuwa ukiwa mchapa kazi kama ilivyo kwa Rais Samia ni lazima utapongezwa na kuandikwa na watu kila sehemu na kila mahali,kwa hiyo acha watu wawe huru kupongeza na kuwapa faraja viongozi wetu.Ninyi wenye roho za kutu roho za kwanini ,roho za chuki mtapasuka mwaka huu .

Mh Mchengerwa Anaendelea kusonga mbele kwa kasi ya mshale
Nakuunga mkono mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mchengerwa ni jembe nenda kaone mabadiliko jimboni kwake
 
Sawa lakini mwambie ajifunze kutosheka , na kuwa na tamaa ndogo ndogo …pesa hakuna siku zinatosha …., sio lazima kila taasisi anayoenda kutaka kuweka watu wake upande wa tenda na malipo …. Na kushurutisha kazi wapewe watu wanaompa commission , hilo liko kwenye radar na linamuharibia sana …uwezo wake mzuri wa kuzungumza….
Anatekeleza kwa vitendo kauli ya mama mkwe ya kula kwa urefu wa kamba.....
 
G.O.A.T

Mambo mawili yanabaki kuwa alama ya uzalendo wa Waziri M. Mchengerwa kwa taifa lake!

Mosi: Agizo lake akiwa OR Utumishi alipokuwa anaapisha Bodi ya Nne ya Sekretalieti ya Ajira kuwa,

"Kuanzia leo (siku hiyo) ajira zote za umma zipitie utumishi ili kuondoa upendeleo na kuweka usawa kwani taasisi zikiajiri zenyewe ni ngumu kwa watoto wa wanyonge kupata fursa"!

Nani asiyejua toka hili lifanyiwe kazi maelfu ya watoto wasio na “Godfather” wameajiriwa kwenye taasisi nyeti ambazo ni ngumu kupata ajira kama huna "refarii"!

Nimeshuhudia kwa macho yangu vijana wakisema hawakudhani kama siku moja kwenye maisha yao wangeweza kuwa maafisa BOT, TRA na maeneo mengine nyeti nchini.

Ni dhahiri hili ni moja ya maamuzi magumu kuwahi kufanywa na Waziri TZ.

Pili: Ni kero yetu maarufu watumishi, "kutopandishwa madaraja, kutolipwa malimbikizo na stahiki zetu," kweli Mchengerwa (Mwamba) ni mtu kazi hasa (MMK) na wanyonge wengi wanamuelewa na ukitaka kujua hili nenda tazama "comments" zao kwenye social media hasa kwenye akaunti za wizara husika!

Sasa ni zamu ya TAMISEMI na kazi imeanza kuonekana; MMK; kazi juu ya kazi hakuna kulala hadi tukae kwenye mstari!

View attachment 2763716
upuuzi wa ma godfather kuingiza watu wao kwenye taasisi nyeti naona umerudi tena ref..interview za TRA
 
Sawa lakini mwambie ajifunze kutosheka , na kuwa na tamaa ndogo ndogo …pesa hakuna siku zinatosha …., sio lazima kila taasisi anayoenda kutaka kuweka watu wake upande wa tenda na malipo …. Na kushurutisha kazi wapewe watu wanaompa commission , hilo liko kwenye radar na linamuharibia sana …uwezo wake mzuri wa kuzungumza….
mbona watu mmeamua kula na DP world sie tunawaangalia tu
 
G.O.A.T

Mambo mawili yanabaki kuwa alama ya uzalendo wa Waziri M. Mchengerwa kwa taifa lake!

Mosi: Agizo lake akiwa OR Utumishi alipokuwa anaapisha Bodi ya Nne ya Sekretalieti ya Ajira kuwa,

"Kuanzia leo (siku hiyo) ajira zote za umma zipitie utumishi ili kuondoa upendeleo na kuweka usawa kwani taasisi zikiajiri zenyewe ni ngumu kwa watoto wa wanyonge kupata fursa"!

Nani asiyejua toka hili lifanyiwe kazi maelfu ya watoto wasio na “Godfather” wameajiriwa kwenye taasisi nyeti ambazo ni ngumu kupata ajira kama huna "refarii"!

Nimeshuhudia kwa macho yangu vijana wakisema hawakudhani kama siku moja kwenye maisha yao wangeweza kuwa maafisa BOT, TRA na maeneo mengine nyeti nchini.

Ni dhahiri hili ni moja ya maamuzi magumu kuwahi kufanywa na Waziri TZ.

Pili: Ni kero yetu maarufu watumishi, "kutopandishwa madaraja, kutolipwa malimbikizo na stahiki zetu," kweli Mchengerwa (Mwamba) ni mtu kazi hasa (MMK) na wanyonge wengi wanamuelewa na ukitaka kujua hili nenda tazama "comments" zao kwenye social media hasa kwenye akaunti za wizara husika!

Sasa ni zamu ya TAMISEMI na kazi imeanza kuonekana; MMK; kazi juu ya kazi hakuna kulala hadi tukae kwenye mstari!

View attachment 2763716
Ha ha ha ha ha ha haya bwana lakini mama mkwe akitoka nayeye utakuwa mwisho wake
 
Back
Top Bottom