Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Rudisheni rambirambi za wafiwa wacha kujitoa akiliKule Arusha tunasikia Chadema imechanga kama milioni 50 hivi na wako katika mchakato wa kutoa rambirambi hizo kwa wafiwa huku kukiwa na waandishi wa habari.
Ni huko huko Arusha ambapo mbunge wake ndugu Lema aliahidi kujenga jengo la wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga Complex ahadi ambayo haijatimizwa hadi leo.
Nawashauri hawa matajiri wa rambirambi waelekeze hizo milioni 50 kwenye ujenzi wa Machinga Complex ili kujichukulia ujiko na sio KIKI ZA RAMBIRAMBI.
Chadema Arusha Machinga Complex lini???
[HASHTAG]#kikizamsiba[/HASHTAG]
