Kifimbo1958
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 821
- 343
Jingalao hela ya rambi rambi ni ya rambirambi na si vinginevyo
Hakuwa mkweli wakati siku ya kuweka jiwe la msingi walikuwepo wawakilishi wa wafadhili!Gambo akaleta upuuzi wake!Sasa kwa nini hakuwa mkweli na honest...huu sio wakati wa siasa za ujanja ujanja mtaumbuka.
naona mnataka kujionesha kuwa mko karibu na wananchi lakini scene mliyochagua sio yenyewe...acheni marehemu wapumzike....never take advantage ya wafiwa waliopo kwenye machungu.
Chakushangaza nikuwa Rambirambi zinatolewa kwa Kundi la wanahabari!!
Hivi huwezi kutoa kimya kimya!!
Hawa huu msiba Wanaweza kuombea utokee mwingine
maana wanalo lisimamia halionekani ktk nchi hii wapo na Matukio tu,Haijulikani hoja yao nini,Mwelekeo wao upi
Kutwa Majungu,Chuki,Udaku !!!
Na zingepelekwa kimyakimya wangesema... "mbona hamjautangazia umma zilikuwa ngapi?.." Hilo kundi la wanyang'anyi ni hatari sana! Sisiemu? Ptuuuuuu...!!Kwani ni lazima kutoa kimya kimya?Usinipangie namna ya kutoa rambi rambi!
Kama hadharani zimeliwa kisiri si ndo kabisaaaaaaChakushangaza nikuwa Rambirambi zinatolewa kwa Kundi la wanahabari!!
Hivi huwezi kutoa kimya kimya!!
Hawa huu msiba Wanaweza kuombea utokee mwingine
maana wanalo lisimamia halionekani ktk nchi hii wapo na Matukio tu,Haijulikani hoja yao nini,Mwelekeo wao upi
Kutwa Majungu,Chuki,Udaku !!!
Arusha itabaki kuwa ya WanaArusha wengine wapita njia. Muda utaongea/utasema!pelekeni hizo milioni 50(kama mnazo kweli) mkaanze ujenzi wa Machinga Complex...
Kwa mrisho Gambo hakuna kiki za kijinga
Akili zao zina UvimbeKule Arusha tunasikia Chadema imechanga kama milioni 50 hivi na wako katika mchakato wa kutoa rambirambi hizo kwa wafiwa huku kukiwa na waandishi wa habari.
Ni huko huko Arusha ambapo mbunge wake ndugu Lema aliahidi kujenga jengo la wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga Complex ahadi ambayo haijatimizwa hadi leo.
Nawashauri hawa matajiri wa rambirambi waelekeze hizo milioni 50 kwenye ujenzi wa Machinga Complex ili kujichukulia ujiko na sio KIKI ZA RAMBIRAMBI.
Chadema Arusha Machinga Complex lini???
[HASHTAG]#kikizamsiba[/HASHTAG]
Chadema waliahidi kusaidia familia ya mawazo mpaka leo wameitelekeza.Wao ni kutafuta kiki misibani tu,msiba ukiisha wanapoteaKule Arusha tunasikia Chadema imechanga kama milioni 50 hivi na wako katika mchakato wa kutoa rambirambi hizo kwa wafiwa huku kukiwa na waandishi wa habari.
Ni huko huko Arusha ambapo mbunge wake ndugu Lema aliahidi kujenga jengo la wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga Complex ahadi ambayo haijatimizwa hadi leo.
Nawashauri hawa matajiri wa rambirambi waelekeze hizo milioni 50 kwenye ujenzi wa Machinga Complex ili kujichukulia ujiko na sio KIKI ZA RAMBIRAMBI.
Chadema Arusha Machinga Complex lini???
[HASHTAG]#kikizamsiba[/HASHTAG]
Chakushangaza nikuwa Rambirambi zinatolewa kwa Kundi la wanahabari!!
Hivi huwezi kutoa kimya kimya!!
Hawa huu msiba Wanaweza kuombea utokee mwingine
maana wanalo lisimamia halionekani ktk nchi hii wapo na Matukio tu,Haijulikani hoja yao nini,Mwelekeo wao upi
Kutwa Majungu,Chuki,Udaku !!!
Kwahiyo unataka hela ya wafiwa ikajenge soko? Hivi CCM mna akili timamu? Mnasubiri watu wafe ndio mtumie michango kutekeleza ilani?Kule Arusha tunasikia Chadema imechanga kama milioni 50 hivi na wako katika mchakato wa kutoa rambirambi hizo kwa wafiwa huku kukiwa na waandishi wa habari.
Ni huko huko Arusha ambapo mbunge wake ndugu Lema aliahidi kujenga jengo la wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga Complex ahadi ambayo haijatimizwa hadi leo.
Nawashauri hawa matajiri wa rambirambi waelekeze hizo milioni 50 kwenye ujenzi wa Machinga Complex ili kujichukulia ujiko na sio KIKI ZA RAMBIRAMBI.
Chadema Arusha Machinga Complex lini???
[HASHTAG]#kikizamsiba[/HASHTAG]
Pesa zilishachangwa, mmekula, ndio mnazitolea macho za Chadema?Hii inahusu Machinga Complex...yaani mna hela ya kuchangia majeneza badala ya maendeleo.
TAFADHARI FUTA KAURI!!Hii inahusu Machinga Complex...yaani mna hela ya kuchangia majeneza badala ya maendeleo.
Mjinga kabisa weweMnasubiri watu wafe halafu mjidai ni matajiri wa kuchangia.
Nyie ni majizi wa rambirambi wakubwaKule Arusha tunasikia Chadema imechanga kama milioni 50 hivi na wako katika mchakato wa kutoa rambirambi hizo kwa wafiwa huku kukiwa na waandishi wa habari.
Ni huko huko Arusha ambapo mbunge wake ndugu Lema aliahidi kujenga jengo la wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga Complex ahadi ambayo haijatimizwa hadi leo.
Nawashauri hawa matajiri wa rambirambi waelekeze hizo milioni 50 kwenye ujenzi wa Machinga Complex ili kujichukulia ujiko na sio KIKI ZA RAMBIRAMBI.
Chadema Arusha Machinga Complex lini???
[HASHTAG]#kikizamsiba[/HASHTAG]