Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
Anaisoma noJamaa anajuta kuanzisha uzi
Anaisoma noJamaa anajuta kuanzisha uzi
RC kabla ya Gambo ndio aliiweka Arusha ikaelewana!Gambo anafaidi matunda ya aliyemtangulia,kaanza kulikoroga!Toka Gambo ameingia Arusha imetulia tulii...naona mnataka kuanzisha maandamano ya kuchangia msiba.
Utofauti wenu na sisi kwenye kujenga hoja ni mkubwa sana.Tumia majina yote Malima lakini kikubwa mmejidhihirisha kwamba nyie ni wezi wa pesa zaRambirambi,wauaji wa RAIA wanyonge,wanayanyasaji wa RAIA hususan Wapinzani, Majangili ya raslimali za Taifa letu.Mkqende mkafe halafu mkusanye Rambirambi mkajenge My Meru.
Mwambie Gambo anauwezo wa kuchinja hata mkewe ,afanye hivyo tumchangie akajenge hospitali ya My.Meru.
Nikurebishe tu kuwa... si chadema waliochanga rambi rambi. Ulikuwa ni umoja wa wakuu wa shule binafsi, viongozi wa kidini, wakiwa na meya wa jiji. Walikuwa wakipeleka rambi rambi zao..Kule Arusha tunasikia Chadema imechanga kama milioni 50 hivi na wako katika mchakato wa kutoa rambirambi hizo kwa wafiwa huku kukiwa na waandishi wa habari.
Ni huko huko Arusha ambapo mbunge wake ndugu Lema aliahidi kujenga jengo la wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga Complex ahadi ambayo haijatimizwa hadi leo.
Nawashauri hawa matajiri wa rambirambi waelekeze hizo milioni 50 kwenye ujenzi wa Machinga Complex ili kujichukulia ujiko na sio KIKI ZA RAMBIRAMBI.
Chadema Arusha Machinga Complex lini???
[HASHTAG]#kikizamsiba[/HASHTAG]
RC kabla ya Gambo ndio aliiweka Arusha ikaelewana!Gambo anafaidi matunda ya aliyemtangulia,kaanza kulikoroga!
Wanahabari walikuwa pale ku cover story.. na rambi rambi hazikutolewa kwa kundi la wana habari. walienda shule ili pesa ziweze kuwafikia walengwa kwa haraka coz shule inawafaham wazaziChakushangaza nikuwa Rambirambi zinatolewa kwa Kundi la wanahabari!!
Hivi huwezi kutoa kimya kimya!!
Hawa huu msiba Wanaweza kuombea utokee mwingine
maana wanalo lisimamia halionekani ktk nchi hii wapo na Matukio tu,Haijulikani hoja yao nini,Mwelekeo wao upi
Kutwa Majungu,Chuki,Udaku !!!
Hospitali ya mama na mtoto ilikuwa ni ufadhili wa wahisani wa dini halafu lema alitaka kutuzuga ni yeye peke yake.Huo ujumbe wa kumkumbusha ahadi hiyo ataupata,kama hospitali ya mama na mtoto aliweza naamini hilo atafanikiwa!
Marufuku kula rambi rambi!
Pole sana tena sana ,nyie wenye matusi ya nguoni nanyi mnajiita mnahoja.?Hebu rudi nyuma usome hoja zako halafu uangalie na Naona za wenzako ndipo utaona upumbavu uliouandika.Utofauti wenu na sisi kwenye kujenga hoja ni mkubwa sana.
Kwanza hoja zenu zinajikita kwenye tetesi na uzushi.
Pili mnapenda kuhamaki.
Nakushauri ukarejee ahadi za lema na uangalie kipengele alichoahidi kwa vijana na kina mama wamachinga.
Halafu muulize amefikia wapi?
Muulize nani kamkwamisha?
Halafu muulize ni lini aliahidi kuwa mfariji wa watu kwenye misiba?
Kaka hata kama ninkujitoa ufaham ww umezid unaelekea kuwa ndondocha.Onesheni ufanisi wa kukusanya michango ya kujengea Machinga Complex na hospitali ya jiji sio hamasa ya kusaidia mazishi tu.
Hospitali ya mama na mtoto ilikuwa ni ufadhili wa wahisani wa dini halafu lema alitaka kutuzuga ni yeye peke yake.
Sasa ahad ya lema ina mahusiano gani na rambi rambi ?Machinga Complex ilikuwa ni ahadi ya lema...atekeleze ahadi zake na aache kujificha kwenye kichaka cha kuchangia mazishi.
Kama mbunge alifanya kazi yake,aliwatafuta mpaka akawapata wafadhili!Hilo limewauma sana!Hospitali ya mama na mtoto ilikuwa ni ufadhili wa wahisani wa dini halafu lema alitaka kutuzuga ni yeye peke yake.
Utofauti wenu na sisi kwenye kujenga hoja ni mkubwa sana.
Kwanza hoja zenu zinajikita kwenye tetesi na uzushi.
Pili mnapenda kuhamaki.
Nakushauri ukarejee ahadi za lema na uangalie kipengele alichoahidi kwa vijana na kina mama wamachinga.
Halafu muulize amefikia wapi?
Muulize nani kamkwamisha?
Halafu muulize ni lini aliahidi kuwa mfariji wa watu kwenye misiba?
Kwa sababu mlikuwa mnalipwa miposho nje ya utaratibu.
Utofauti wenu na sisi kwenye kujenga hoja ni mkubwa sana.
Kwanza hoja zenu zinajikita kwenye tetesi na uzushi.
Pili mnapenda kuhamaki.
Nakushauri ukarejee ahadi za lema na uangalie kipengele alichoahidi kwa vijana na kina mama wamachinga.
Halafu muulize amefikia wapi?
Muulize nani kamkwamisha?
Halafu muulize ni lini aliahidi kuwa mfariji wa watu kwenye misiba?[/QUOTE]
Nimegundua ninyi ni vibaraka mnaofata upepo!Hapo kwenye bold umewaza kibashite kabisa kama mkulu!Kwamba Mkulu hakuahidi tetemeko kagera kwenye kampeni zake!!!!!!
Its a shame
Sasa kama Arusha ni ya chadema kwa nini mnalilia kiki ya msiba?Pole sana tena sana ,nyie wenye matusi ya nguoni nanyi mnajiita mnahoja.?Hebu rudi nyuma usome hoja zako halafu uangalie na Naona za wenzako ndipo utaona upumbavu uliouandika.
Ameleta Hospitali ya Mama na mtoto bado Mshikaji wako aka ingia ili kuikwamisha amekwama,Leo unaongea upupu mtupu kisa nini rambirambi??
Mkuu wa Mkoa amejidhihirisha chuki ,ubabe,visasi na Ubaguzi wake against wachaguliwa.Chuki ya kiitikadi kisa Meya ni wa Chadema. kueni basi japo kidogo basi.
Tanzania yetu sote hata Lema na Kalist bado wanayohaki ya kuongoza mkoa wowote na wao ndiyo wachaguliwa wa Arusha hamuwezi kubadilisha.
Mwambia huyo **** aliyekutuma,akagombee ubunge kwao Arusha ni ya Chadema na waheshimu hilo,na wewe heshima hilo.Hujui Arusha ndiyo wale UVCCM manotokea Chattle.
Sasa kwa nini hakuwa mkweli na honest...huu sio wakati wa siasa za ujanja ujanja mtaumbuka.Kama mbunge alifanya kazi yake,aliwatafuta mpaka akawapata wafadhili!Hilo limewauma sana!
Zilipofutwa mbona mlimlaani Gambo na mkurugenzi??Mbona mlilia sana?Posho zile kilikuwa zinalipwa toka enzi ya Halmashauri kuwa chini ya CCM, lakini sababu ya chuki na visasi umeona Madiwani wa CHADEMA watatajirika,na bado ahwachukui hata wengi jengeni basi hiyo My.Meru,pesa zote mnakwapua kwa ajili ya Uchaguzi 2020.
Majizi ya CCM, mtakufa.