Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,187
- 26,209
Anaye toa hatafuti Sifa sikuzote
Kiki hadi Msibani!!
Ikumbukwe pesa haikuchangwa na mtu mmoja,ni wadau wengi!Mpaka hapo tayari ishakuwa jambo kumba ba ili kujenga imani kwa waliozipitisha fedha hizo kwenye mikono hiyo,basi wakaitwa waandishi ili mrejesho uwepo!
Mambo mengine ni logic ya kawaida tu,kama unataka kujua kiki ni zipi angalia hii video
Hapo Rais kamtuma msigwa kwenda kumsaidia mgonjwa,makamera mpaka chumbani,mpaka anamkabidhi fedha na kupiga simu kwa Rais makamera yako on,hadi Rais anaongea kwa simu anawekwa loud speaker huku makamera na vifaa vya kunasa sauti vikawa on!Baadaye tunarushiwa habari kwenye runinga kuwa Rais kamsaidia mgonjwa fedha!
Swali,alishindwa kwenda kimya kimya kutoa huo msaada??
MOTOCHINI kwa hili utaingia mitini