Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,552
Ushahidi ni Lowasa kujitangaza kuwa mgombea urais pekee wa chadema 2020.!!!!!!
Siku zote mmiliki wa chama hasubili democrasia ya chama. Lowasa ni mmiliki wa chama.
kwa hiyo lipumba ni mmiliki wa chama cha cuf manake tangu 95 anajitangaza yeye kumiliki, huyo lowasa kutamka mara 1 ndo ishakuwa ushahidi, weka ushahidi mezani sio kubwabwaja