Ndungulila
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 317
- 94
K
kwahiyo mtu akipatwa na matatizo tusisaidiane kwasababu ya machinga complex kweli ccm mbona mnatutoa kwenye ubinadamu kwasababu ya siasa zenu jamani nchi mnaiharibupelekeni hizo milioni 50(kama mnazo kweli) mkaanze ujenzi wa Machinga Complex...
Kwa mrisho Gambo hakuna kiki za kijinga