Mambo makubwa manne niliyojifunza baada kifo cha Hayati Magufuli

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Habari JF, ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke. Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1. Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2. Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3. Watanzania ni wanafiki sana

4. Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo, Afrika hususani Tanzania uko Chini sana.

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics.

Elimu bora ni muhimu sana
 
Wazungu Gani wamekwambia wanatudharau?

Jpm alikua na mazuri yake na mapungufu yake pia usitake kuaminisha watu kuwa alikua na mazuri mahaba yasikupe upofu.

Ukiri wako kuwa waafrica tuna uwezo mdogo WA kifikra tayari ni tatizo. Kuhusu Hali ya Africa majira na nyakati za kuitawala dunia zitakuja pia Maana Mungu ndio hupanga majira na nyakati za mataifa.

Nikukumbushe kwamba Misri ilishawahi kuitawala dunia. China iliyotawaliwa Leo inapanda kileleni.
Iran Babel ilishatawala dunia. Roma imeshatawala dunia. Changamoto zilizopo Africa ndio zitazoifanya Africa kuinuka.
 
Habari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3.Watanzia ni wanafiki sana

4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .

Elimu bora ni muhimu sana
JPM alichukiwa na mnafiki Tundu Lisu na Watanzania.

Lisu na Lema ni walelewa Ubelgiji siyo watanzania.
 
Ukiwaingilia wazungu ulaji wao hutoboi. Nasema hutoboi! Wamezoea kujichotea madhahabu, gesi na madini mengine karibu na bure halafu wewe utoke huko ulikotoka uje uwanyang'anye? Who are you?

We jiulize. Baada tu ya kufariki, habari za ikulu na siri za serikali zikaacha kuvuja. Wanaharakati wote (Kimambi, Maria, Ngurumo, Chahali, Kigogo, Fatuma, Zitto, TL...) ghafla wakawa kimya. Hata wapinzani nao kimyaa eti maafikiano wakati mpaka leo hawawezi kufanya mikutano na kunadi sera zao. Hata Amsterdam aliyekuwa anafungua kesi kila leo ili mteja wake aruhusiwe kurudi nchini kimyaa japo mteja wake bado hajarudi...

Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.

JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele.

He sabotaged himself na kutia doa legacy yake mwenyewe...na matokeo yake wenye dunia yao wakatumia kisingizio cha uvunjaji wa haki za binadamu na ukosefu wa demokrasia (via Korona) kumwondoa.
 
WanaHarakati wa Tanzania Mange, Maria Sarungi, Kigogo 14, Fatma Karume, Zitto huyu ni Mdini sana, Tundu Lissu huyu ni pesa mbele. Wooote wakati wa JPM walinunuliwa na kupewa Pesa ili wamshambulie JIWE sasa hivi kimiaaaaaa hawaongei cha CORONA wala MFUMUKO WA BEI ni wahuni wahuni tuuuuu na Unafiki mwiiiingi
 
Habari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3.Watanzia ni wanafiki sana

4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .

Elimu bora ni muhimu sana

naongezea na ni muhimu : watanzania wanapenda kusifia sana hata kama kuna madhara wanayoyapata wao ni sifa tu. wanamsifia mama kuliko mungu. watanzania wengi hawajui kujisemea hata gharama za maisha zipande vipi wao kimya. watanzania wengi asubuhi mpaka jioni kuzungumzia mpira.watanzania wengi maisha yao ni dili dili awe offisi za umma au za serikalia au binafsi
 
WanaHarakati wa Tanzania Mange, Maria Sarungi, Kigogo 14, Fatma Karume, Zitto huyu ni Mdini sana, Tundu Lissu huyu ni pesa mbele. Wooote wakati wa JPM walinunuliwa na kupewa Pesa ili wamshambulie JIWE sasa hivi kimiaaaaaa hawaongei cha CORONA wala MFUMUKO WA BEI ni wahuni wahuni tuuuuu na Unafiki mwiiiingi
Wapinzani walichelewesha sana maendeleo 2020 iliamua furahia matunda ya 2020.
 
Wazungu Gani wamekwambia wanatudharau?

Jpm alikua na mazuri yake na mapungufu yake pia usitake kuaminisha watu kuwa alikua na mazuri mahaba yasikupe upofu.

Ukiri wako kuwa waafrica tuna uwezo mdogo WA kifikra tayari ni tatizo. Kuhusu Hali ya Africa majira na nyakati za kuitawala dunia zitakuja pia Maana Mungu ndio hupanga majira na nyakati za mataifa.

Nikukumbushe kwamba Misri ilishawahi kuitawala dunia. China iliyotawaliwa Leo inapanda kileleni.
Iran Babel ilishatawala dunia. Roma imeshatawala dunia. Changamoto zilizopo Africa ndio zitazoifanya Africa kuinuka.
Ndio kiwango chako cha ujinga kipo juu kiasi hiki??
 
Niko chato nilichojifunza sasa
Uraia wa Jpm ni wa mashaka
Chato na kata za jirani yake kama bwanga,runazi,muganza,buzirayombo,runzewe na buziku zimejaa warundi wanaojiita waha,
Makabila makubwa ya wilaya ya chato ni
Waha
Warundi
Wasumbwa
Wasubi
Wazinza
Wasukuma hawazidi asilimia kumi
Hitimisho
Magufuli hakuwa msukuma
Magufuli hakuwa mtanzania
Magufuli alikuwa mrundi
 
Wazungu Gani wamekwambia wanatudharau?

Jpm alikua na mazuri yake na mapungufu yake pia usitake kuaminisha watu kuwa alikua na mazuri mahaba yasikupe upofu.

Ukiri wako kuwa waafrica tuna uwezo mdogo WA kifikra tayari ni tatizo. Kuhusu Hali ya Africa majira na nyakati za kuitawala dunia zitakuja pia Maana Mungu ndio hupanga majira na nyakati za mataifa.

Nikukumbushe kwamba Misri ilishawahi kuitawala dunia. China iliyotawaliwa Leo inapanda kileleni.
Iran Babel ilishatawala dunia. Roma imeshatawala dunia. Changamoto zilizopo Africa ndio zitazoifanya Africa kuinuka.
Yeye kaamua kuzungumzia uzuri wake, wewe anzisha thread ya ubaya wa Magufuli, pathetic!
 
Ukiwaingilia wazungu ulaji wao hutoboi. Nasema hutoboi!

We jiulize. Baada tu ya kufariki, habari za ikulu na siri za serikali zikaacha kuvuja. Wanaharakati wote (Kimambi, Maria, Ngurumo, Chahali, Kigogo, Fatuma, Zitto, TL...) ghafla wakawa kimya. Hata wapinzani nao kimyaa eti maafikiano wakati mpaka leo hawawezi kufanya mikutano na kunadi sera zao. Hata Amsterdam aliyekuwa anafungua kesi kila leo ili mteja wake aruhusiwe kurudi nchini kimyaa japo mteja wake bado hajarudi...

Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.

JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele.

He sabotaged himself na kutia doa legacy yake mwenyewe...na matokeo yake wenye dunia wakatumia kisingizio cha Korona kumwondoa.
Hata hivyo kwa taarifa yako pamoja na kusabotage demokrasia unayoidai kama angekubali mali ziporwe na hao mabwanyenye kisingempata hicho usemacho,rejea saudi Arabia,
 
Wazungu Gani wamekwambia wanatudharau?

Jpm alikua na mazuri yake na mapungufu yake pia usitake kuaminisha watu kuwa alikua na mazuri mahaba yasikupe upofu.

Ukiri wako kuwa waafrica tuna uwezo mdogo WA kifikra tayari ni tatizo. Kuhusu Hali ya Africa majira na nyakati za kuitawala dunia zitakuja pia Maana Mungu ndio hupanga majira na nyakati za mataifa.

Nikukumbushe kwamba Misri ilishawahi kuitawala dunia. China iliyotawaliwa Leo inapanda kileleni.
Iran Babel ilishatawala dunia. Roma imeshatawala dunia. Changamoto zilizopo Africa ndio zitazoifanya Africa kuinuka.
Akili yako ndogo sana bila shaka unaishi kwa shemeji unalala sebleni.
 
Ukiwaingilia wazungu ulaji wao hutoboi. Nasema hutoboi!

We jiulize. Baada tu ya kufariki, habari za ikulu na siri za serikali zikaacha kuvuja. Wanaharakati wote (Kimambi, Maria, Ngurumo, Chahali, Kigogo, Fatuma, Zitto, TL...) ghafla wakawa kimya. Hata wapinzani nao kimyaa eti maafikiano wakati mpaka leo hawawezi kufanya mikutano na kunadi sera zao. Hata Amsterdam aliyekuwa anafungua kesi kila leo ili mteja wake aruhusiwe kurudi nchini kimyaa japo mteja wake bado hajarudi...

Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.

JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele.

He sabotaged himself na kutia doa legacy yake mwenyewe...na matokeo yake wenye dunia wakatumia kisingizio cha Korona kumwondoa.
sahihi
 
Namba tatu ndo nimekwama 🤔
Habari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3.Watanzia ni wanafiki sana

4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .

Elimu bora ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom