Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Mambo yafuatayo CCM ikijipanga vizuri itashinda kwa kishindo ....
1. Kitendo cha Tundu Lissu kwenda kuichafua nchi kwa wazungu.
2. Kitendo cha Zitto Kabwe kutaka nchi isipewe mkopo wa elimu na WB, na baadaye nchi kukopeshwa
3. Kitendo cha wapinzani kupinga kila kitu
4. Kitendo cha wapinzani kutaka lockdown kipindi cha korona
5. Kitendo cha wapinzani kunyanyasa wabunge wao
6. Maadili ya baadhi ya viongozi wa upinzani kuvuja kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu
7. Kitendo cha vyama vya upinzani kutaka kuchafua nchi kwa kuzua mambo mbali mbali na kutetea maovu.
Mambo haya na mangine mengi ambayo CCM imefanya ikiwemo kupunguza rushwa, uwajibikaji, miundombinu na mahospitali watashinda ushindi mkubwa sana.
Vyama vya upinzani visivyo na madoa kama NCCR Mageuzi vikitumia turufu ya makosa waliyofanya wenzao wanaweza kuwa chama mbadala kikubwa kupitia makosa walofanya wenzao.
1. Kitendo cha Tundu Lissu kwenda kuichafua nchi kwa wazungu.
2. Kitendo cha Zitto Kabwe kutaka nchi isipewe mkopo wa elimu na WB, na baadaye nchi kukopeshwa
3. Kitendo cha wapinzani kupinga kila kitu
4. Kitendo cha wapinzani kutaka lockdown kipindi cha korona
5. Kitendo cha wapinzani kunyanyasa wabunge wao
6. Maadili ya baadhi ya viongozi wa upinzani kuvuja kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu
7. Kitendo cha vyama vya upinzani kutaka kuchafua nchi kwa kuzua mambo mbali mbali na kutetea maovu.
Mambo haya na mangine mengi ambayo CCM imefanya ikiwemo kupunguza rushwa, uwajibikaji, miundombinu na mahospitali watashinda ushindi mkubwa sana.
Vyama vya upinzani visivyo na madoa kama NCCR Mageuzi vikitumia turufu ya makosa waliyofanya wenzao wanaweza kuwa chama mbadala kikubwa kupitia makosa walofanya wenzao.