MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,586
- 6,168
Hello,
Zamani nilikua najua watu wafupi au ndugu zetu wa upareni, Tanga, Morogoro na Kigoma ndo wabishi tu kumbe nilijidanganya.
Sasa nimekuja kugundua wabongo wengi tuna hulka ya ubishi, sio wanaume sio wanawake, sio vijana sio wazee, sio warefu sio wafupi, sio mtandaoni sio kwenye maisha halisi yani ni patashika!!
Leo hapa kuna mteja nimetoka kumfanyia delivery ya simu nikamwambia ni waterproof kama haamini alete maji tutest ikiharibika ntamfanyia return akagoma katakata!
Huyo ni mfano tu maana wabongo wengi wanaomiliki izi simu za waterproof kama iPhones, Samsung, Sony n.k kuliko kutumia izo simu kwenye maji mfano beach au swimming pool bora uwauwe 😅
Jobless ni kawaida sana kuwakuta wanabishana ila sikuizi tabia imeambukizwa hadi kwa baadhi ya waajiriwa na wafanyabiashara. imefikia hatua watumishi wanabishana mpaka muda wa kazi bila wasiwasi wowote.
Juzi kuna duka nilienda kununua maji nikakuta muuzaji hayupo kwa vile ninamjua nikajaribu kuangaza kumbe yupo kwenye magazeti wanabishana kuhusu Simba na Yanga.
Sasa ukifuatilia ubishani wao utabaki tu unashangaa, vitu vya ajabu.
Kuna wengine unajitolea kuwapa connection au fursa ya kazi sehemu wanahisi ni scam mwishowe unaamua kuachana nao.
Nilikua napenda kujua kwanini % kubwa ya sisi wabongo ni wabishi sana kitu kinachopeleka mpaka wengine kupigana, ndio asili yetu au Kuna shida Mahala?
Zamani nilikua najua watu wafupi au ndugu zetu wa upareni, Tanga, Morogoro na Kigoma ndo wabishi tu kumbe nilijidanganya.
Sasa nimekuja kugundua wabongo wengi tuna hulka ya ubishi, sio wanaume sio wanawake, sio vijana sio wazee, sio warefu sio wafupi, sio mtandaoni sio kwenye maisha halisi yani ni patashika!!
Leo hapa kuna mteja nimetoka kumfanyia delivery ya simu nikamwambia ni waterproof kama haamini alete maji tutest ikiharibika ntamfanyia return akagoma katakata!
Huyo ni mfano tu maana wabongo wengi wanaomiliki izi simu za waterproof kama iPhones, Samsung, Sony n.k kuliko kutumia izo simu kwenye maji mfano beach au swimming pool bora uwauwe 😅
Jobless ni kawaida sana kuwakuta wanabishana ila sikuizi tabia imeambukizwa hadi kwa baadhi ya waajiriwa na wafanyabiashara. imefikia hatua watumishi wanabishana mpaka muda wa kazi bila wasiwasi wowote.
Juzi kuna duka nilienda kununua maji nikakuta muuzaji hayupo kwa vile ninamjua nikajaribu kuangaza kumbe yupo kwenye magazeti wanabishana kuhusu Simba na Yanga.
Sasa ukifuatilia ubishani wao utabaki tu unashangaa, vitu vya ajabu.
Kuna wengine unajitolea kuwapa connection au fursa ya kazi sehemu wanahisi ni scam mwishowe unaamua kuachana nao.
Nilikua napenda kujua kwanini % kubwa ya sisi wabongo ni wabishi sana kitu kinachopeleka mpaka wengine kupigana, ndio asili yetu au Kuna shida Mahala?