Mambo 04 ambayo wabongo (tabaka la chini na kati) tunayapa kipaumbele na yanaturudisha nyuma sana huku uswahilini

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
1: Nyota
Huu ni ushirikina. Kuamini mambo ya nyota ni kuamini mambo ya kishirikina. Stori za mtu kuchukua nyota ya mwenzake au kufunga nyota ni mbinu za kutia ujinga raia ili wawe wavivu.

Unakuta mtu amekaa kizembe ukiuliza unaambiwa eti alikiwa na nyota sana huyo imechukuliwa. Hizo story China, US, Japan na kwa watu wanaoendelea hazipo. Bill gate, Carlos Slim, Mo, Buffet, Dangote hawana pesa kwa sababu ya nyota, ni mipango.​

2: MAOMBEZI NA VILINGE VYA MAOMBI
Mambo mengi yanayoombwa ni matokeo ya kukiuka taratibu za Mungu au kanuni za Mungu. Kama wachungaji wangekuwa siriasi wangewafundisha waumini maombi na kutimiza wajibu ni vitu visivyotengana. Wajiombee wenyewe hukohuko.

Ukila vibaya utakufa kwa magonjwa ya kujitakia. Usipokuwa siriasi na Mungu utanyukwa na majini na wachawi hadi akili zikae sawa. Ukiwa muhuni utavuruga familia. Hakuna maombezi ni kufuata kanuni. Mimi ukija nikuombee lazima nikufanyie interview, na kukuelekeza ulichokosea ukarekebishe hakuna kuchoshana. Matatizo mengi ya wanaopenda maombi ni ukosefu wa maarifa. Wanatakiwa kuelimishwa sio kuombewa.
Hii inajumuisha na maombezi ya kiganga.​

3: Maneno mengi.
Vitu vya kutenda, tunapiga maneno mengi sana. Yaani kila mtu anajifanya pundit wa maisha. Maneno yanatakiwa kuwa machache vitendo vingi. Kila kitu tunataka tukijadili. Hata mwenyezi Mungu wakati anaumba dunia alitumia maneno machache kuleta matokeo makubwa. Hii ndio model aliyotuachia sisi tulioumbwa kwa mfano wake.​

4: Vikundivikundi vingi vya kusaidiana wakati wa kufa
Yaani nchi nzima tunawaza kufakufa tu au kufiwa. Unakuta mtu anaMkoba sita, za Form four, chuoni, majirani, kazini, vikoba na utitiri wa vijikundi vya jusaidiwa wakati wa shida. Akili inayowaza na kujihami na shidashida hizo taabu na vifo vitakuwa vinakufuatilia kama unavyovifuatilia.

Tunatumia muda mwingi sana kujihami tusife, au tusionekane wabaya. Lazima tuwe na kiasi. Vikundi vingi vilipaswa vile vya kutuvusha kimaisha. Vikundi vya maendeleo. Ulaya ilifanikiwa kwa watu wenye akili zinazofanana kuunda vikundi na kubuni mambo ya maana bila kujali umbali wao. Sio vikundi vya misiba, birthday, majanga, kujifungua mtoto, harusi na kitchen party.

Ni hayo tu.​
 
Kuna dada mmoja alinimabia unajua mm na nyota ya simba ndo maana wanaume hawachomoi wakati ana watoto watatu na kila mmoja ana baba yake niliishia kucheka sana.
Jamaa mmoja alikuwa na bifu na Bro wake eti mama yao amefanya mchongo ameiba Nyota yake na kumpa Bro. Anasema ndio sababu hafanikiwi. Watu wenye hizi kauli uswahili huku ni wengi sana. Wanaaminishwa vitu vya kijinga vinawafanya akili zizubae kwa sababu wanavisingizio.
 
Na wewe bado ni walewale tuu......Unaruka mkojo unakanyaga kinyesi.....MTU anayeamini uchawi na majini ni stupid to the maximum...

hivyo vitu havipo, havijawai kuwepo na wala havitokaa kuwepo...?
Kuna makundi mengi wewe chagua lako.

Wanaoamini hakuna uchawi na majini na wako bize na mambo yao. ( hawa mara nyingi haya mambo hayawafuati).

Wanaoamini Uchawi na majini ( Hawa wanacheza nayo kila siku)

Wanaoamini Mungu na wanaogopa wachawi na kujihami muda wote wengi wamo kwenye makanisa ya kisasa ( Hawa majini na wachawi wanawatesa kila siku).

Tunaoamini Mungu na uweza wake, na hatuna muda hata wa kumtajataja shetani na vimambo vyake ukiwemo uchawi na mapepo. Hayo majamaa hayana Muda ma sisi.

Maisha ni kuchahagua. Chagua unachotaka mkuu.
 
1: Nyota
Huu ni ushirikina. Kuamini mambo ya nyota ni kuamini mambo ya kishirikina. Stori za mtu kuchukua nyota ya mwenzake au kufunga nyota ni mbinu za kutia ujinga raia ili wawe wavivu.

Unakuta mtu amekaa kizembe ukiuliza unaambiwa eti alikiwa na nyota sana huyo imechukuliwa. Hizo story China, US, Japan na kwa watu wanaoendelea hazipo. Bill gate, Carlos Slim, Mo, Buffet, Dangote hawana pesa kwa sababu ya nyota, ni mipango.​

2: MAOMBEZI NA VILINGE VYA MAOMBI
Mambo mengi yanayoombwa ni matokeo ya kukiuka taratibu za Mungu au kanuni za Mungu. Kama wachungaji wangekuwa siriasi wangewafundisha waumini maombi na kutimiza wajibu ni vitu visivyoyengana. Wajiombee wenyewe hukohuko.

Ukila vibaya utakufa kwa magonjwa ya kujitakia. Usipokuwa siriasi na Mungu utanyukwa na majini na wachawi hadi akili zikae sawa. Ukiwa muhuni utavuruga familia. Hakuna maombezi ni kufuata kanuni. Mimi ukija nikuombee lazima nikufanyie interview, na kukuelekeza ulichokosea ukarekebishe hakuna kuchoshana. Matatizo mengi ya wanaopenda maombi ni ukosefu wa maarifa. Wanatakiwa kuelimishwa sio kuombewa.
Hii inajumuisha na maombezi ya kiganga.​

3: Maneno mengi.
Vitu vya kutenda, tunapiga maneno mengi sana. Yaani kila mtu anajifanya pundit wa maisha. Maneno yanatakiwa kuwa machache vitendo vingi. Kila kitu tunataka tukijadili. Hata mwenyezi Mungu wakati anaumba dunia alitumia maneno machache kuleta matokeo makubwa. Hii ndio model aliyotuachia sisi tulioumbwa kwa mfano wake.​

4: Vikundivikundi vingi vya kusaidiana wakati wa kufa
Yaani nchi nzima tunawaza kufakufa tu au kufiwa. Unakuta mtu anaMkoba sita, za Form four, chuoni, majirani, kazini, vikoba na utitiri wa vijikundi vya jusaidiwa wakati wa shida. Akili inayowaza na kujihami na shidashida hizo taabu na vifo vitakuwa vinakufuatilia kama unavyovifuatilia.

Tunatumia muda mwingi sana kujihami tusife, au tusionekane wabaya. Lazima tuwe na kiasi. Vikundi vingi vilipaswa vile vya kutuvusha kimaisha. Vikundi vya maendeleo. Ulaya ilifanikiwa kwa watu wenye akili zinazofanana kuunda vikundi na kubuni mambo ya maana bila kujali umbali wao. Sio vikundi vya misiba, birthday, majanga, kujifungua mtoto, harusi na kitchen party.

Ni hayo tu.​
usipopitia au kufanya miongoni mwa mambo hayo basi hujaishi uswahilini mjini au bado mgeni 🐒

hayo ni kama cheti cha ufaulu wa juu sana wa kuishi mjini 🐒

Kumbuka mjini shule .
 
1: Nyota
Huu ni ushirikina. Kuamini mambo ya nyota ni kuamini mambo ya kishirikina. Stori za mtu kuchukua nyota ya mwenzake au kufunga nyota ni mbinu za kutia ujinga raia ili wawe wavivu.

Unakuta mtu amekaa kizembe ukiuliza unaambiwa eti alikiwa na nyota sana huyo imechukuliwa. Hizo story China, US, Japan na kwa watu wanaoendelea hazipo. Bill gate, Carlos Slim, Mo, Buffet, Dangote hawana pesa kwa sababu ya nyota, ni mipango.​

2: MAOMBEZI NA VILINGE VYA MAOMBI
Mambo mengi yanayoombwa ni matokeo ya kukiuka taratibu za Mungu au kanuni za Mungu. Kama wachungaji wangekuwa siriasi wangewafundisha waumini maombi na kutimiza wajibu ni vitu visivyoyengana. Wajiombee wenyewe hukohuko.

Ukila vibaya utakufa kwa magonjwa ya kujitakia. Usipokuwa siriasi na Mungu utanyukwa na majini na wachawi hadi akili zikae sawa. Ukiwa muhuni utavuruga familia. Hakuna maombezi ni kufuata kanuni. Mimi ukija nikuombee lazima nikufanyie interview, na kukuelekeza ulichokosea ukarekebishe hakuna kuchoshana. Matatizo mengi ya wanaopenda maombi ni ukosefu wa maarifa. Wanatakiwa kuelimishwa sio kuombewa.
Hii inajumuisha na maombezi ya kiganga.​

3: Maneno mengi.
Vitu vya kutenda, tunapiga maneno mengi sana. Yaani kila mtu anajifanya pundit wa maisha. Maneno yanatakiwa kuwa machache vitendo vingi. Kila kitu tunataka tukijadili. Hata mwenyezi Mungu wakati anaumba dunia alitumia maneno machache kuleta matokeo makubwa. Hii ndio model aliyotuachia sisi tulioumbwa kwa mfano wake.​

4: Vikundivikundi vingi vya kusaidiana wakati wa kufa
Yaani nchi nzima tunawaza kufakufa tu au kufiwa. Unakuta mtu anaMkoba sita, za Form four, chuoni, majirani, kazini, vikoba na utitiri wa vijikundi vya jusaidiwa wakati wa shida. Akili inayowaza na kujihami na shidashida hizo taabu na vifo vitakuwa vinakufuatilia kama unavyovifuatilia.

Tunatumia muda mwingi sana kujihami tusife, au tusionekane wabaya. Lazima tuwe na kiasi. Vikundi vingi vilipaswa vile vya kutuvusha kimaisha. Vikundi vya maendeleo. Ulaya ilifanikiwa kwa watu wenye akili zinazofanana kuunda vikundi na kubuni mambo ya maana bila kujali umbali wao. Sio vikundi vya misiba, birthday, majanga, kujifungua mtoto, harusi na kitchen party.

Ni hayo tu.​
Uminikumbusha kisa cha Yakobo na Esau ndani ya kitabu cha Mwanzo.

Yakobo anatajwa kuiba mbaraka wa kaka yake Esau kwa kusaidiwa na mama yake (nadhani wabongo wanaposemea mambo ya nyota ni sawa na kusema mbaraka).

Kama hili jambo lilitokea kweli, basi mwandishi naye alikuwa na uswahili ila wewe una uzungu mwingi (sijui hata naandika Nini maana Biblia imeletwa na wazungu, hivyo nao waswahili tu).
 
1: Nyota
Huu ni ushirikina. Kuamini mambo ya nyota ni kuamini mambo ya kishirikina. Stori za mtu kuchukua nyota ya mwenzake au kufunga nyota ni mbinu za kutia ujinga raia ili wawe wavivu.

Unakuta mtu amekaa kizembe ukiuliza unaambiwa eti alikiwa na nyota sana huyo imechukuliwa. Hizo story China, US, Japan na kwa watu wanaoendelea hazipo. Bill gate, Carlos Slim, Mo, Buffet, Dangote hawana pesa kwa sababu ya nyota, ni mipango.​

2: MAOMBEZI NA VILINGE VYA MAOMBI
Mambo mengi yanayoombwa ni matokeo ya kukiuka taratibu za Mungu au kanuni za Mungu. Kama wachungaji wangekuwa siriasi wangewafundisha waumini maombi na kutimiza wajibu ni vitu visivyoyengana. Wajiombee wenyewe hukohuko.

Ukila vibaya utakufa kwa magonjwa ya kujitakia. Usipokuwa siriasi na Mungu utanyukwa na majini na wachawi hadi akili zikae sawa. Ukiwa muhuni utavuruga familia. Hakuna maombezi ni kufuata kanuni. Mimi ukija nikuombee lazima nikufanyie interview, na kukuelekeza ulichokosea ukarekebishe hakuna kuchoshana. Matatizo mengi ya wanaopenda maombi ni ukosefu wa maarifa. Wanatakiwa kuelimishwa sio kuombewa.
Hii inajumuisha na maombezi ya kiganga.​

3: Maneno mengi.
Vitu vya kutenda, tunapiga maneno mengi sana. Yaani kila mtu anajifanya pundit wa maisha. Maneno yanatakiwa kuwa machache vitendo vingi. Kila kitu tunataka tukijadili. Hata mwenyezi Mungu wakati anaumba dunia alitumia maneno machache kuleta matokeo makubwa. Hii ndio model aliyotuachia sisi tulioumbwa kwa mfano wake.​

4: Vikundivikundi vingi vya kusaidiana wakati wa kufa
Yaani nchi nzima tunawaza kufakufa tu au kufiwa. Unakuta mtu anaMkoba sita, za Form four, chuoni, majirani, kazini, vikoba na utitiri wa vijikundi vya jusaidiwa wakati wa shida. Akili inayowaza na kujihami na shidashida hizo taabu na vifo vitakuwa vinakufuatilia kama unavyovifuatilia.

Tunatumia muda mwingi sana kujihami tusife, au tusionekane wabaya. Lazima tuwe na kiasi. Vikundi vingi vilipaswa vile vya kutuvusha kimaisha. Vikundi vya maendeleo. Ulaya ilifanikiwa kwa watu wenye akili zinazofanana kuunda vikundi na kubuni mambo ya maana bila kujali umbali wao. Sio vikundi vya misiba, birthday, majanga, kujifungua mtoto, harusi na kitchen party.

Ni hayo tu.​
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eww
 
Jamaa mmoja alikuwa na bifu na Bro wake eti mama yao amefanya mchongo ameiba Nyota yake na kumpa Bro. Anasema ndio sababu hafanikiwi. Watu wenye hizi kauli uswahili huku ni wengi sana. Wanaaminishwa vitu vya kijinga vinawafanya akili zizubae kwa sababu wanavisingizio.
Acha kabisa yaan haya maswala ya nyota kuna watu wanayaamini sana
 
Back
Top Bottom