Mambo ambayo Serikali ya awamu ya tano imeyafanyia kazi baada ya kubandikwa hapa JamiiForums

Uneona ehhh BASHITE noma, na kapewa nyumba bureee na sirikalioni
Bashite kuwa na nyumba nzuri kuliko hata ya Jakaya Kikwette siyo jambo la ajabu. Ametumia sana ukaribu wake na Jiwe kuwapora matajiri magari, fedha kwa kisingizio cha "dawa za kulevya" au kwa kisingizio kuwa "Mzee amenituma anataka hela".

Mwaka 2019 aliwafanganya GSM kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga. Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite wakawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite. Naishia hapa.
 
Bashite kuwa na nyumba nzuri kuliko hata ya Jakaya Kikwette siyo jambo la ajabu. Ametumia sana ukaribu wake na Jiwe kuwapora matajiri magari, fedha kwa kisingizio cha "dawa za kulevya" au kwa kisingizio kuwa "Mzee amenituma anataka hela".

Mwaka 2019 aliwafanganya GSM kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga. Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite wakawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite. Naishia hapa
BASHITE noma sana
 
Ni dhahiri kuwa JF sasa ni msaada mkubwa kwa serikali kwenye kupata habari za wazi.

Habari za wazi ni habari ambazo zinakuwa na ukweli na hupatikana kwa manufaa ya umma kwenye mitandao kama JF

Kwa hapa Tanzania Jamii forum imekuwa msaada kwa serikali kuibua masuala mengi ambayo ni msaada kwa serikali kutatua au kuyafanyia upembuzi yakinifu.

Kwa ujla JF imekuwa msaada kwa serikali kuliko hata watumishi wa serikali ambao wanatakiwa kuipatia serikali habari muhimu.

Hivyo basi serikali isiwe inakurupuka kuingia kwenye migogoro na JF bila kutafakari,kisa tu watumishi wazembe wanaichonganisha serikali na JF hasa kwenye ishu zinazohusu upelelezi.
 
Iache JF iwe huru.

Hatutaki hiyo ruzuku ya serikali iwe kitanzi kwa JF endapo itakuwa kinyume na matakwa ya watawala 'wapumbavu'!
 
Tatizo la jamii forum ni wachache kuporomosha matusi,kebehi na upotoshaji ukweli kuhusu serikali na viongozi wake. Hapo badilikeni vinginevyo mnakosa credibility.
 
Ni mengi yameletwa hapa jukwaani kwa muda mrefu na kwa awamu tofauti tangu zama za utawala wa Mr. Clean a.k.a Ben Mkapa ambapo jukwaa hili lilianza rasmi likijulikana kwa jina la @JamboForums.

Alipoingia Mkwere a.k.a Jakaya Kikwete, naye aliendelea kupitia pitia

JamiiForums ambapo mengi aliyafanyia kazi ikiwemo ile kesi ya mama kudhulumiwa nyumba na jina papaa msofe.

Utawala wa Magufuli nao hauko nyuma kwenye kuokoka mawili matatu, na Tayari wazo la Pascal Mayalla la kutaka twitter ifungiwe tayari limesha fanyiwa.

Hebu wenzangu tuyaorodheshe na mengine ambayo yanafanyiwa kazi kutokana na kubandikwa hapa jukwaani.
Allah msikh
Sasa twitter ilikosea nini au kuziba mdomo ya ile jamaa mdomo mrefu na miwani?
 
Back
Top Bottom