Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Ni mengi yameletwa hapa jukwaani kwa muda mrefu na kwa awamu tofauti tangu zama za utawala wa Mr. Clean a.k.a Ben Mkapa ambapo jukwaa hili lilianza rasmi likijulikana kwa jina la @JamboForums.
Alipoingia Mkwere a.k.a Jakaya Kikwete, naye aliendelea kupitia pitia
JamiiForums ambapo mengi aliyafanyia kazi ikiwemo ile kesi ya mama kudhulumiwa nyumba na jina papaa msofe.
Utawala wa Magufuli nao hauko nyuma kwenye kuokoka mawili matatu, na Tayari wazo la Pascal Mayalla la kutaka twitter ifungiwe tayari limesha fanyiwa.
Hebu wenzangu tuyaorodheshe na mengine ambayo yanafanyiwa kazi kutokana na kubandikwa hapa jukwaani.
Allah msikh
Alipoingia Mkwere a.k.a Jakaya Kikwete, naye aliendelea kupitia pitia
JamiiForums ambapo mengi aliyafanyia kazi ikiwemo ile kesi ya mama kudhulumiwa nyumba na jina papaa msofe.
Utawala wa Magufuli nao hauko nyuma kwenye kuokoka mawili matatu, na Tayari wazo la Pascal Mayalla la kutaka twitter ifungiwe tayari limesha fanyiwa.
Hebu wenzangu tuyaorodheshe na mengine ambayo yanafanyiwa kazi kutokana na kubandikwa hapa jukwaani.
Allah msikh