Mambo 6 aliyoyaona Luhaga Mpina Wizara ya Nishati

Na tutapigwa sana tu. Mambo mazuri hufanyika kwenye nuru, ukishaona mambo yanafanyika gizani basi hua huko ni uovu mtupu. Mikataba imegubikwa na SIRI. miaka nenda miaka rudi tunaibiwa kwa mbinu hiyohiyo.
 
Mpina yuko very deep!.
P
 
Mpina mmoja ni sawa na Chagadema yote
Kama Kuna mtu kakuajiri kwa kazi ya kuinanga cdm Basi amekudharau Sana!
Ni hivi; yeyote anayeinenea mabaya cdm mabaya hayo humrudia yeye na kumdhuru na hata kumpoteza kabisa katika ramani ya siasa!
Tafuta mchepuko wa kukukeep busy angalau badala ya kuhangaika kuisema cdm Kila wakati! Walikuwepo wenzako kwenye hii project kina jingalao et al na waliachana na CDM wapo busy na mishe zao za kusaka mkate! Jipuuze dogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…