Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Trump

Basi Nenda

JF-Expert Member
Jul 29, 2017
20,107
45,729
1.hafanyi mazoezi kabisa kwenye maisha yake na hana hiyo historia, licha ya kuwa na miaka 73 ,mchezo pekee anaoufanya ni golf
2.anaogopa sana kupanda ngazi, huwa hapandi ngazi kabisa labda kuwe hakuna njia nyingine
3.anaogopa sana bakteria hivo hapendi kupeana mikono na akipanda elevator hukwepa kubonyeza botton inayoenda ground floor maana anaamini watu wengi huibonyeza hivo ina vijidudu
4.hutumia si chini ya masaa 10 kila siku kutazama tv na hulala kwa masaa 4 mpaka 5 tuu ,muda wake wa kulala ni kuanzia saa tisa usiku pia ana tabia ya kupigia watu simu hata saa saba usiku
5.ana tabia ya kuchana karatasi anazoandikia au anazosoma na baadhi huzitafuna kabisa, hivyo kuna watu ofisini kwake wameajiriwa ili kuzigundisha hizo karatasi na kuzitunza kutokana na kwamba marekani kuna sheria inayotaka kila karatasi inayopita kwenye meza ya rais itunzwe
6.hauruhusiwi kushika remote ya tv yake ya ikulu hili ni kosa kubwa maana unaweza kumuachia vijidudu, hata chakula anapenda cha kununua kwani huamini ndicho kisafi
7.anapenda sana dhahabu na vioo, hivo hata choo chake kimetengenezwa kwa dhahabu hivo anakalia dhahabu pia amewahi kusema laiti kama binti yake asingekuwa binti yake basi angetoka nae kimapenzi
8.ni mvivu sana wa kusoma hivo amewambia wafanyakazi wa ikulu wafanye summary ya presidential briefing isizidi one page
9.trump mara nyingi hawezi kuandika vizuri hivo huwa anakosea sana kwenye uandishi , ni kawaida kwake kuandika vitu visivoeleweka
10.trump anapenda sana kusifiwa au kutajwa jina lake, ukimpatia taarifa ambayo haijamtaja mara nyingi jina lake haisomi, pia anapenda kutazama channel ya fox news maana huko wanamtaja sana na kumsifu, inasemekana huwa anahesabu ni mara ngapi ametajwa kwa siku kwenye tv
View attachment 1405178

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kuwa alikuwa wrestler? Sasa mwanamieleka bila ya mazoezi ingewezekana vipi? Nimesoma hiyo moja tu nikajua the whole lot of your topic is a trash!!

Sent using Jamii Forums mobile app

trump hajawahi kuwa mwanamieleka ,baada ya kumaliza masomo alichukua mkopo wa 1 million usd kutoka kwa baba yake akaanza biashara,alikuwa tu mfadhili wa mieleka toka enzi za kina andre the giant


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuwa professional wrestler na hujatokea kwenye amateur wrestling au any athletic background hivyo Trump hajawahi kuwa wrestler bali promoter tu,
Unajua kuwa alikuwa wrestler? Sasa mwanamieleka bila ya mazoezi ingewezekana vipi? Nimesoma hiyo moja tu nikajua the whole lot of your topic is a trash!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kuwa alikuwa wrestler? Sasa mwanamieleka bila ya mazoezi ingewezekana vipi? Nimesoma hiyo moja tu nikajua the whole lot of your topic is a trash!!

Nyongeza,

Nimeshangaa kiukweli, naamomi hata hiyo kicheza golf, pia ni kwa namna fulani ni 'mazoezi'

Ahsante mleta uzi kwa hizi dondoo lakini.

I stand to be corrected
 
IMG_2435.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.hafanyi mazoezi kabisa kwenye maisha yake na hana hiyo historia, licha ya kuwa na miaka 73 ,mchezo pekee anaoufanya ni golf
2.anaogopa sana kupanda ngazi, huwa hapandi ngazi kabisa labda kuwe hakuna njia nyingine
3.anaogopa sana bakteria hivo hapendi kupeana mikono na akipanda elevator hukwepa kubonyeza botton inayoenda ground floor maana anaamini watu wengi huibonyeza hivo ina vijidudu
4.hutumia si chini ya masaa 10 kila siku kutazama tv na hulala kwa masaa 4 mpaka 5 tuu ,muda wake wa kulala ni kuanzia saa tisa usiku pia ana tabia ya kupigia watu simu hata saa saba usiku
5.ana tabia ya kuchana karatasi anazoandikia au anazosoma na baadhi huzitafuna kabisa, hivyo kuna watu ofisini kwake wameajiriwa ili kuzigundisha hizo karatasi na kuzitunza kutokana na kwamba marekani kuna sheria inayotaka kila karatasi inayopita kwenye meza ya rais itunzwe
6.hauruhusiwi kushika remote ya tv yake ya ikulu hili ni kosa kubwa maana unaweza kumuachia vijidudu, hata chakula anapenda cha kununua kwani huamini ndicho kisafi
7.anapenda sana dhahabu na vioo, hivo hata choo chake kimetengenezwa kwa dhahabu hivo anakalia dhahabu pia amewahi kusema laiti kama binti yake asingekuwa binti yake basi angetoka nae kimapenzi
8.ni mvivu sana wa kusoma hivo amewambia wafanyakazi wa ikulu wafanye summary ya presidential briefing isizidi one page
9.trump mara nyingi hawezi kuandika vizuri hivo huwa anakosea sana kwenye uandishi , ni kawaida kwake kuandika vitu visivoeleweka
10.trump anapenda sana kusifiwa au kutajwa jina lake, ukimpatia taarifa ambayo haijamtaja mara nyingi jina lake haisomi, pia anapenda kutazama channel ya fox news maana huko wanamtaja sana na kumsifu, inasemekana huwa anahesabu ni mara ngapi ametajwa kwa siku kwenye tv
View attachment 1405178

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mnafiki
 
34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom