Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,188
- 10,915
Kama wanampenda mbona marufuku nyingi kuliko hata enzi za Nyerere aliyekuwa akiwafuata kwao na kuwabwatukia.kumbe trump anafanana kabisa kila kitu na mtukufu kwakweli Rias wetu Tanzania ndio maana hata wamarekani wanampenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app