Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Kwenye ukoo wenu mkiwa na wakina Trump watatu tu basi umaskin mtausikia kwa majirani11. Anaamini sana katika uongo, karibu kila limtokalo kinywani kwake si la kweli.
Pia hupika (kucheza) na mahesabu (kumbukumbu za kihasibu) za makampuni yake ili yaoneshe ana ukwasi mkubwa kila anapohitaji mkopo zaidi (aoneshe ana uwezo wa kulipa), na pia yaoneshe anapata hasara pale anapotakiwa alipe kodi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ana kichwa kikali cha biashara na uchumi