Kama vifarangaKwa habari niliyopata hivi punde :
Inasemekana Mamba ameuawa pembezoni mwa hoteli ya Tilapia jijini Mwanza leo mchana.
Ngoja nimuulize Da Mange kama ni kweli !Mbona USA wanaingia mpaka swimming pool lakini wanawakamata na kuwapeleka sehemu za mbali?
Kwanini wamuuwe?
Hebu maliasili watoe mafunzo kwa wananchi kwamba pindi wanapoona mnyama wapigiwe na kuja kumkamata
Kumshika Mamba ni rahisi sana
Inasikitisha kwa kweli
Risasi !Wamemuulia nini......?........
Acha kujifanya mzungu wewe.kwanini wmemuua? wameshindwa nini kumdhibiti wamrudishe kwenye habitat yake ya asili. What a waste!
Sababu ikiwa.......?Risasi !
Uvamizi !Sababu ikiwa.......?
kwanini wmemuua? wameshindwa nini kumdhibiti wamrudishe kwenye habitat yake ya asili. What a waste!