Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Mama yake Zitto, bi Shida Salum ambaye ni kada wa CHADEMA, amelazwa chumba cha uangalizi maalum(ICU) kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya shingo ya uzazi.
Source: Mwananchi leo
Source: Mwananchi leo