kumbe imani kiongozi!!mi nilidhani ndo huruma!!kwa imani za hivi nitaendelea kwenda sabato bila kuchoka!Hapa issue si umama bali imani ya mhusika. Huyo hanyonyeshi ndama bali muungu wake. Nani atakataa kumhudumia muungu wake? Imani nyingine ni bangi tupu.
Kiongozi mbona hiyo kama changa au photoshop????
maziwa yakiisha anaunganisha damu!
kumbe imani kiongozi!!mi nilidhani ndo huruma!!kwa imani za hivi nitaendelea kwenda sabato bila kuchoka!