mama zetu punguzeni huruma!

mama zetu punguzeni huruma!

Zamaulid

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
19,955
Reaction score
16,006
383062_307736099268143_1046325995_n.jpg
 
Hapa issue si umama bali imani ya mhusika. Huyo hanyonyeshi ndama bali muungu wake. Nani atakataa kumhudumia muungu wake? Imani nyingine ni bangi tupu.
 
Hapa issue si umama bali imani ya mhusika. Huyo hanyonyeshi ndama bali muungu wake. Nani atakataa kumhudumia muungu wake? Imani nyingine ni bangi tupu.
kumbe imani kiongozi!!mi nilidhani ndo huruma!!kwa imani za hivi nitaendelea kwenda sabato bila kuchoka!
 
Heeee mpaka ashibe huyo mama hoi

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Imani nyengine bana...yaani riziki ya mungu ya kula apewe na mja wake...

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
huyo mama hapo anajistarehesha kwa kutumia kinywa cha ndama huyo. Hapo ni nipe nikupe.
 
Msahafu unasema " katika wema wenu tini na maarifa......."
 
Back
Top Bottom