Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Kumbe na wewe una macho kama yangu...lina map...a mazuri......
Kumbe na wewe una macho kama yangu...lina map...a mazuri......
Jamani wamama wetu wanaendelea kudhalilishwa...haiwezekani mama yetu kama huyu adhalilishwe kiasi hiki na sisi tunaangalia tu.....imagine watoto wake wanaangalia mama yao anavyodhalilishwa hivi jamani...inatia uchungu sana.....natoa wito wa wamama wana sheria wa kituo cha haki za binadamu kuangalia na hili sio ku deal na kesi yab Lulu tu......
Eti wanasema walikuwa wanacheza mziki wa taarabu...sawa sasa ndio wadhalilishwe hivyo na magazeti ya udaku jamani.....
Ha ha ha haaah!!! Ni kweli...chupi nyeusi ni kielelezo cha uchafu
mimi huwa nashangaa,,maisha ya wa tz,,watu wanaongea wanadhani tunaishi kama unform,,,saresare,,,tunatamaduni zetu,,,,wengine matiti wazi wengine tombo wazi wengine,,,mabega wazi,,,ngoma zetu wapi zinachezwa na suti,,,,,,utamaduni wa waarabu wakujifunika gubigubi,,umeathiri watu sio utamaduni wetu tumeiga na chakuiga hakidumu,,,,,tuna makabila zaidi ya 122,,,,utamaduni wetu hapo ni upi,,,,,,ukiwaona mabinti wa kipare ngomani,,,wahaya,,,,wagogo wamakua,,,,,,wasonjo,,wahadbe nk,nk,,,Ndio, amejifunua mwenyewe. Ni sawa kuwa anajipa raha mwenyewe, lakini anachohoji Yo Yo ni je, jamii inastahili kuwa na michezo kama hii hata kama watu watakuwa wanaicheza kwa hiari ya moyo, hasa inapochezwa hadharani mbele ya watoto wadogo kama hao?
limelewa
Jamani wamama wetu wanaendelea kudhalilishwa...haiwezekani mama yetu kama huyu adhalilishwe kiasi hiki na sisi tunaangalia tu.....imagine watoto wake wanaangalia mama yao anavyodhalilishwa hivi jamani...inatia uchungu sana.....natoa wito wa wamama wana sheria wa kituo cha haki za binadamu kuangalia na hili sio ku deal na kesi yab Lulu tu......
Eti wanasema walikuwa wanacheza mziki wa taarabu...sawa sasa ndio wadhalilishwe hivyo na magazeti ya udaku jamani.....
Jamani wamama wetu wanaendelea kudhalilishwa...haiwezekani mama yetu kama huyu adhalilishwe kiasi hiki na sisi tunaangalia tu.....imagine watoto wake wanaangalia mama yao anavyodhalilishwa hivi jamani...inatia uchungu sana.....natoa wito wa wamama wana sheria wa kituo cha haki za binadamu kuangalia na hili sio ku deal na kesi yab Lulu tu......
Eti wanasema walikuwa wanacheza mziki wa taarabu...sawa sasa ndio wadhalilishwe hivyo na magazeti ya udaku jamani.....
Ona hao watoto jamani walivyoshangaa!!!!!! Na nyie waandishi wa habari jamani muangalie na picha za kupiga kwa ajili ya public view, hiyo si haki kabisa huyo ni sawa na mama yako huenda hapo ni pombe ndiyo imem- drive kufanya hivyo, akiona baada ya pombe kumtoka anaweza kuchangayikiwa
Tuacheni utani jamani huyu kaamua mwenyewe kinachonisikitisha ni hao watoto wa watu wanavyoshangaa hata hawaelewi
ebwana dada Preta una macho wewe