Mama yetu adhalilishwa

Mama yetu adhalilishwa

Mbona nashindwa kuelewa ukimuangalia usoni anaonekana ni binti lakini ukiangalia difu imechoka kweli...hii picha inachanganya kwa kweli.
 
Mbona hamuoni kibibi kinajipa raha na castle laga
 
ny65x5.jpg


jamani wamama wetu wanaendelea kudhalilishwa...haiwezekani mama yetu kama huyu adhalilishwe kiasi hiki na sisi tunaangalia tu.....imagine watoto wake wanaangalia mama yao anavyodhalilishwa hivi jamani...inatia uchungu sana.....natoa wito wa wamama wana sheria wa kituo cha haki za binadamu kuangalia na hili sio ku deal na kesi yab lulu tu......
Eti wanasema walikuwa wanacheza mziki wa taarabu...sawa sasa ndio wadhalilishwe hivyo na magazeti ya udaku jamani.....

hayo matukio morogoro yamekuwa yakitokea mara nyingi tu, hili si la kwanza. Hawa wanaojiitaga wanahaki za binadamu wako wapi????? Hawaoni kama huyu anadharirisha watoto hapa?? Ina maana hawajaliona hili?? Tumekuwa tukiyashuhuudi ndani ya ukumbi, lakini sasa hivi wanasasambua mchana kweupe na sehemu ya wazi. Hapo jamhuri imedharirishwa, wahusika chukueni hatua
 
Kama picha duka vile! Uso hauendani na kiwili wili!
 
ny65x5.jpg


Jamani wamama wetu wanaendelea kudhalilishwa...haiwezekani mama yetu kama huyu adhalilishwe kiasi hiki na sisi tunaangalia tu.....imagine watoto wake wanaangalia mama yao anavyodhalilishwa hivi jamani...inatia uchungu sana.....natoa wito wa wamama wana sheria wa kituo cha haki za binadamu kuangalia na hili sio ku deal na kesi yab Lulu tu......
Eti wanasema walikuwa wanacheza mziki wa taarabu...sawa sasa ndio wadhalilishwe hivyo na magazeti ya udaku jamani.....

Wengine msilete post za ajabu,huyo mama kadhalilishwa na nani??msitake kuleta ligi zisizo na msingi haihitaji hata kufika darasa la nne kujua kuwa yeye kaamua kufanya hivyo kwa akili zake timamu!!!unamsemea kama nani??anatambua kuna magazeti ya udaku,mitandao nk hivyo kama unataka kulitumia neno 'kudhalilika' sema kuwa amejidhalilisha mwenyewe japo mlengwa mwenyewe ukimwambia hivyo atakushushua
 
Huyu hajadhalilishwa na mtu yeyote isipokuwa kajidhalilisha yeye mwenye kwa ujinga wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom