Mama yangu angefikiria nini?"

Dr am 4 real PhD

JF-Expert Member
Jun 30, 2016
6,469
11,912
IMG-20200629-WA0026.jpg

Mama yangu angefikiria nini?"

"Katika mbio, (angalia picha), mwanariadha Abel Mutai anayewakilisha Kenya, alikuwa miguu michache kukata utepe kumaliza mbio AKIWA mshindi wa kwanza, lakini gafla aligafirika na kushindwa kutambua sign na aliacha kufikiria alikuwa anamaliza mbio hizo.

Mwanariadha wa Uhispania, Ivan Fernandez alikuwa nyuma yake na kugundua kile kilichokuwa kikiendelea, akaanza kupiga kelele kwa Mkenya ili aendelee kukimbia kuelekea kumaliza mbio izo AKIWA mshindi wakwanza, lakini Mutai hakujua Kihispania hakuelewa. Ili mbidi Mhispania huyo kumsukuma mkenya kwa nyuma ili kumsaidia aibuke na ushindi.

Mwandishi wa habari akamwuliza Ivan, "Kwanini alifanya hivyo? "Hivyo?"

Ivan akajibu, "Ndoto yangu ni kwamba siku moja tunaweza kuwa na aina ya maisha ya "Community life".
Mwandishi wa habari alisisitiza "Lakini kwanini umwachie Mkenya kushinda?" Ivan akajibu, "Sikuweza kumshinda, alikuwa atashinda". Mwandishi wa habari alisisitiza tena, "Lakini ungeshinda!" Ivan alimtazama na akamjibu,
"But what will be my victory? Is it What will the honor of that medal be?

Mama yangu angefikiria nini? "

Tumerithishwa Mila na desturi mbali mbali kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine. Je! Tunawafundisha watoto wetu maadili gani? Kitu kikubwa tusifundishe watoto wetu njia mbaya na ovu ilimradi tu kuupata ushindi "

Wasalaam,
 
Ivan akajibu, "Ndoto yangu ni kwamba siku moja tunaweza kuwa na aina ya maisha ya "Community life".

Mwandishi wa habari alisisitiza "Lakini kwanini umwachie Mkenya kushinda?" Ivan akajibu, "Sikuweza kumshinda, alikuwa atashinda".

Kiswahili cha Google Translator bana

Hii ndiyo inaitwa integrity. Na katika ulimwengu wa sasa uliojaa ushindani wa kila aina kuanzia ngazi ya kinafsiya mpaka kimalimwengu, uadilifu wa nafsi na moyo wa aina hii ni nadra sana. Hata huyu mkimbiaji si ajabu alifanya hivyo kwa vile alijua kuwa kitendo hicho kitamletea sifa dunia nzima na kumfanya akumbukwe. Sina uhakika kama wangekuwa wawili tu hakuna mtu anayemtazama na makamera yakimwekamweka kama angefanya hivi.

Tuwafundishe watoto wetu kuhusu uadilifu huu lakini pia tuwaambie ukweli kuwa watu waadilifu wa aina hii huwa hawafikii kilele cha mafanikio yao katika vigezo vya dunia hii ya kula na kuliwa; japo huishi maisha huru sana. Integrity ~ uadilifu - dhana inayosikilizika vizuri sana kinadharia lakini kivitendo ni dhana ngumu ajabu !!!
 
Kiswahili cha Google Translator bana

Hii ndiyo inaitwa integrity. Na katika ulimwengu wa sasa uliojaa ushindani wa kila aina kuanzia ngazi ya kinafsiya mpaka kimalimwengu, uadilifu wa nafsi na moyo wa aina hii ni nadra sana. Hata huyu mkimbiaji si ajabu alifanya hivyo kwa vile alijua kuwa kitendo hicho kitamletea sifa dunia nzima na kumfanya akumbukwe. Sina uhakika kama wangekuwa wawili tu hakuna mtu anayemtazama na makamera yakimwekamweka kama angefanya hivi.

Tuwafundishe watoto wetu kuhusu uadilifu huu lakini pia tuwaambie ukweli kuwa watu waadilifu wa aina hii huwa hawafikii kilele cha mafanikio yao katika vigezo vya dunia hii ya kula na kuliwa; japo huishi maisha huru sana. Integrity ~ uadilifu - dhana inayosikilizika vizuri sana kinadharia lakini kivitendo ni dhana ngumu ajabu !!!

Swali: "Biblia inasema nini kuhusu uadilifu?"
Jibu: Katika Agano la Kale, neno la Kiebrania linalotafsiriwa "uadilifu" linamaanisha "hali ya kukosa uovu, kuwa na ukamilifu, uaminifu, uadilifu, ukamilifu.
" Uaminifu katika Agano Jipya ina maana "uaminifu na kuzingatia mfano wa kazi nzuri. "

Yesu ni mfano kamili wa mtu wa uadilifu. Baada ya kubatizwa, alikwenda jangwani na kufunga kwa siku arobaini (mchana na usiku) wakati ambapo Shetani alikuja kwake kwa udhaifu wake kujaribu na kuvunja uadilifu wake na kumdhuru. Yesu alikuwa mwanadamu kabisa na Mungu kabisa wakati huo huo, naye akajaribiwa kila njia, lakini hakufanya dhambi (Waebrania 4:15); hiyo ndiyo ufafanuzi wa uadilifu. Yesu peke yake hakuwa na hatia, alikuwa kamilifu, kweli kabisa, na daima anaonyesha mfano wa matendo mema.
Wakristo wanashauriwa kuwa kama Yesu kristo.
 
Wazungu wana matatizo yao mengi tu, lakini ni watu wanaoheshimu sana juhudi za binadamu wengine. Jambo jingine ni kwamba wao ni watu wanaoweza kutizama madhaifu yao na kukubali kujisahihisha. Jamii yoyote ya namna hii hupata mafanikio makubwa mno kwa vizazi vingi.
 
Wazungu wana matatizo yao mengi tu, lakini ni watu wanaoheshimu sana juhudi za binadamu wengine. Jambo jingine ni kwamba wao ni watu wanaweza kutizama madhaifu yao na kukubali kuyasahihisha. Jamii yoyote ya namna hii hupata mafanikio makubwa mno kwa vizazi vingi.
Na ndio maana utasikia Mara kadhaa wanasema Yule jamaa mzungu wa roho
Haahaa
Lakini huwez sikia Yule Ni MWARABU au Asia au mwafrikaa wa roho
Haahaa mfano wa roho nzuri Ni wazungu haahaa
Sio maneno yangu haya
 
Na ndio maana utasikia Mara kadhaa wanasema Yule jamaa mzungu wa roho
Haahaa
Lakini huwez sikia Yule Ni MWARABU au Asia au mwafrikaa wa roho
Haahaa mfano wa roho nzuri Ni wazungu haahaa
Sio maneno yangu haya
It's an undeniable fact, that besides racism and a violent imperialistic past you can't find the white men at fault: They're just clean, responsible and progressive. And it took them time to be what they are today. Hapa lazima tukiri kwamba wenzetu wametuacha mbali na lazima tujifunze sana katika hili.
 
Swali: "Biblia inasema nini kuhusu uadilifu?"
Jibu: Katika Agano la Kale, neno la Kiebrania linalotafsiriwa "uadilifu" linamaanisha "hali ya kukosa uovu, kuwa na ukamilifu, uaminifu, uadilifu, ukamilifu.
" Uaminifu katika Agano Jipya ina maana "uaminifu na kuzingatia mfano wa kazi nzuri. "

Yesu ni mfano kamili wa mtu wa uadilifu. Baada ya kubatizwa, alikwenda jangwani na kufunga kwa siku arobaini (mchana na usiku) wakati ambapo Shetani alikuja kwake kwa udhaifu wake kujaribu na kuvunja uadilifu wake na kumdhuru. Yesu alikuwa mwanadamu kabisa na Mungu kabisa wakati huo huo, naye akajaribiwa kila njia, lakini hakufanya dhambi (Waebrania 4:15); hiyo ndiyo ufafanuzi wa uadilifu. Yesu peke yake hakuwa na hatia, alikuwa kamilifu, kweli kabisa, na daima anaonyesha mfano wa matendo mema.
Wakristo wanashauriwa kuwa kama Yesu kristo.
Hata sijui unaongelea nini mkuu. Sorry
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom