Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

Kila lenye mwanzo lina mwisho. Kikubwa ni kwamba ukombozi wa kifikra hasa unaotokana na tabaka kandamizi unahitaji uvumilivu wa hali na mali. ccm hakiwezi kuona kinapokwa tonge mdomoni hivi hivi, I believe Zitto is politically mature and able to discriminate such premature propaganda. My advice to Zitto is; 'leave bygones be bygones' never put a hand in a tricky and delicate situation unnecessarily because those who pretend to love you by publishing gossips are traitors and badwishers of your bright future.
 
Ccm/usalama mnataka mtawale hii nchi forever? Nyie kweli ni mbw* !hatudanganyikiii!ikulu tamu eeh!nyooo kila kukicha kutengeneza ma issue tu mnataka make ikulu nyie na wanenu tu!kiama yenu yaja wananchi tulishawachokaga zamaniiii yani bora ata wawekwe wanyama waytatutawale ila sio nyie mafisadi papa tumewachokaaaa!!
Umetisha hapo! Wanadhani wana haki miliki ya hii nchi!
 
Chadema wameenea kila idara mpaka wapiga kabali za mbao wamo.
 
ili dhahabu iwe safi,lazima ipite ktk tanuru la moto.Huu ni wakati mwafaka kwa chadema kupita ktk moto huo ili 2015 iwe pure gold.
 
Sasa mama wa zito ana nini mpaka atake kufanyiwa unyama kwanza huyu mama si mlemavu,huyu ni malando pasipo shaka make yeye ndiye kapewa jukum la kumchafua zito.
Kweli mkuu kwa nini wasiombe pesa ila watake vitunza kumbukumbu?
 
Hao ni CCM na kama ulisha wahi kufuatilia move mbalimbali na hata Tamthillia utafahamu kila kitu, Mfano wewe unaweza kuwa na Ugomvi mkubwa sana na Jirani yako na hata kutishiana kuuana, tena hadharani mbele ya watu na mtaa mzima ukajua, Sasa Maadui wako wengine wanaweza tumia hiyo chansi kumuua huyo Jirani yako, na hapo mtaa mzima utajua ni wewe tu,
 
Mama mzazi wa Naibu katibu mkuu wa Chadema Zitto Kabwe, amenusurika kutekwa. Waliomvamia wamemtishia kumuua huku wakimtaka awape laptop,simu na mawasiliano yake mengine...

Habari zaidi magazeti ya leo.


mia mkuu nakuunga mkono
 
kwa habari kama hizi mtanzania gazeti wanaijenga CHADEMA au wanaibomoa?
 
'"Masoud amekuwa jambazi ukikutananae usiku mpitie mbali,, ama si hivyo atakudhuru mama"' aisee nyimbo za zamani zilibeba ujumbe babu kubwaa.Kuna vijana hapa siwaoni au sijui wanaogopa watatambuliwa kwenye gwaride la utambuzi JF?
 
Chadema wameenea kila idara mpaka wapiga kabali za mbao wamo.


aisee hii miraa ya kenya imekushinda jaribisha ya Arusha nani kakuambia kua ni cdm acha kupingana na chama cha mungu
 
Niliwahi kukutana na swali siku za nyuma "hivi huko CCM hakuna mwenye akili aliyebaki?..."
nilikosa jibu na mpaka leo sijapata. Maana ukiangalia propaganda zinazoendelea,unashangaa hivi hawa watu wa kitengo kinachoongozwa na Nape ndio tatizo au Nape mwenyewe ndio tatizo? Na kama kuna wenye akili waliobaki mbona wako kimya?
 
nitaendelea kusema na kusema kuwa sote hatuko salama,c babu c bibi yako wala mama na hata baba zetu,kuwa cdm ni kosa la jinai kwa maccm.....nashukuru jamii yangu yote imeelimika na kazi bado inaendelea.

Swala la mama zitto ni muendelezo wa yale yale ya kuchafua chama pendwa,usishangae wakaanza hata kufukua maiti za ndugu zetunakuziacha nje ya makaburi na vimemo mifukoni kuwa niliuliwa na masanja wa cdm
 
This is sad. Pole kwa mama Zitto, ashukuriwe Mungu kuwa hajadhuriwa na wahuni hao wala kujeruhiwa vibaya.
 
Back
Top Bottom