nimeanza kumkubali zitto yaani hakurupuki kujibu upuuzi huyu ndiye zitto niliyekuwa namfahamu before safi sana kiongozi wangu.
Zitto ametupa wosia mapema tuwe makini na 'Provocation agents'Sijui Mh. Zitto amewakosea nini viongozi wenzake wa CHADEMA.
Mama yake Zitto ni kibogoyo nini? Hata kucha hana? Igondhu umekuwaje
aliyevamiwa ni mama yake zitto sio zitto. hata hivyo zitto amesema yy sio msemaji wa familiaTayari Zito amesha eleza hivyo mjadala huu umefungwa. Kila mtu akafanye nazi vinginevyo mtakuwa mnapiga majungu.
Sijui Mh. Zitto amewakosea nini viongozi wenzake wa CHADEMA.
GAzeti la Mtanzania linaripoti Mama mzazi wa zitto kabwe amevamiwa na majambazi.
Walikuwa wanataka computer na kiwekea kumbukumbu flash.
Kada wa chadema atajwa kutambuliwa na mama huyo.Alikuwa miongoni wa majambazi waliomvamia.
ni nani??? wamemtaja?? na je walifanikisha lengo lao???
Wakati mwingine tusifanye haraka kukanusha. Kuna watu ambao ni mamburula kwelikweli. Usishangae kwamba kuna lijitu la CHADEMA limelipwa milioni kadhaa ili liende likafanye huo uvamizi kwa wazi ili mama Zitto amuone na waongeze ya kusema katika propaganda zao dhidi ya CHADEMA. Haitashangaza kwamba jamaa kaahidiwa tu kwamba wewe nenda, halafu ukienda mahakamani utashinda kesi. Wala sitashangaa. Kama usalama wa taifa walikuwa tayari kuwanunua watu ili watoe ushahidi wa uongo dhidi ya Lwakatare, watashindwa nini kununua mtu ili afanye uvamizi fake kwa mama Zitto halafu Mwigulu aje na hoja ya kwamba anaweza kutoa ushahidi hata mbinguni?Mtanzania na propaganda wamesema mama yake Zitto alimwona kada wa chadema na anamfahamu yale yale ya baba yake Mtela Mwampamba, mtu amuonye tu Shida binti Salum ana heshima kwenye jamii asijiingize kwenye propaganda za kusaidia usaliti wa mwanane wa masalia, mama tulia kula vya mwanao pole pole dhambi ya uongo ni mauti , sasa hili dili litakufa kama lilivyokufa la video, pole mama habari ya leo ni liwale
Mama yake Zitto ni kibogoyo nini? Hata kucha hana? Igondhu umekuwaje
Sijui Mh. Zitto amewakosea nini viongozi wenzake wa CHADEMA.
Hivi familia ya zitto wameikosea nini chadema. Kila siku misukosuko ya kutishiwa kutolewa roho