The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 596
Hii haina tofauti na kusema Mama Zitto avamiwa amtambua mmoja wao ni muumini mwenzake wa Kanisa la Yesu mfalme! Tungeshtuka?
msianze kuleta tararira hapa!
Mama yake Zitto sio MFUASI WA KANISA HILO ULILOTAJA Umkomeee....!