Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

Hii haina tofauti na kusema Mama Zitto avamiwa amtambua mmoja wao ni muumini mwenzake wa Kanisa la Yesu mfalme! Tungeshtuka?

msianze kuleta tararira hapa!

Mama yake Zitto sio MFUASI WA KANISA HILO ULILOTAJA Umkomeee....!
 
Mbona simpo tu. huyo aliyetambuliwa afilisiwe "panya wake wote"
 
Pole mama mwenzangu, Zitto Zuberi Kabwe japo ulinzi ni wa Mungu lakini pia mwekee mama ulinzi wa kutosha mheshimiwa.
 
Last edited by a moderator:
Acha uchochezi wako.Hata kama zito ndo kakuhonga ili uchafue chadema ni sawa na kinyesi cha mtoto kwa mama yake

hiyo nazi hapo juu uliyobeba haina msaada na wewe. Ivunje
 
Mama mzazi wa Naibu katibu mkuu wa Chadema Zitto Kabwe, amenusurika kutekwa. Waliomvamia wamemtishia kumuua huku wakimtaka awape laptop,simu na mawasiliano yake mengine...

Habari zaidi magazeti ya leo.

Hili swala lipo MAHAKAMANI halipaswi kujadiliwa!
 
Hii haina tofauti na kusema
Mama Zitto avamiwa amtambua mmoja wao ni muumini mwenzake wa Kanisa la
Yesu mfalme! Tungeshtuka?

msianze kuleta tararira hapa!

ben saa8 yuko wapi na sumu yake? naona baada ya siri kubumbuluka sasa wanakuja na stail mpya
 
Hivi familia ya zitto wameikosea nini chadema. Kila siku misukosuko ya kutishiwa kutolewa roho

Excellent, umemaliza kazi yako ya leo, wahi book 7 Lumumba kwa Nape.

Tiba
 
Mtanzania na propaganda wamesema mama yake Zitto alimwona kada wa chadema na anamfahamu yale yale ya baba yake Mtela Mwampamba, mtu amuonye tu Shida binti Salum ana heshima kwenye jamii asijiingize kwenye propaganda za kusaidia usaliti wa mwanane wa masalia, mama tulia kula vya mwanao pole pole dhambi ya uongo ni mauti , sasa hili dili litakufa kama lilivyokufa la video, pole mama habari ya leo ni liwale

Nimejaribu kusoma post yako lakini sijaambulia kitu mkuu.....!
 
Mama mzazi wa Naibu katibu
mkuu wa Chadema Zitto Kabwe, amenusurika kutekwa. Waliomvamia
wamemtishia kumuua huku wakimtaka awape laptop,simu na mawasiliano yake
mengine...

Habari zaidi magazeti ya leo.

vipi siri imebumbuluka? hawaku apply ile spray kama walivyofundishwa na lwakatare?
 
Mabaki ya Kamanda Lwakatare yaliyobaki Uraiani! Mnaweza kumuua Zitto au Mama yake ila hamna uwezo wa Kuua mawazo yake milele!
 
GAzeti la Mtanzania linaripoti Mama mzazi wa zitto kabwe amevamiwa na majambazi.
Walikuwa wanataka computer na kiwekea kumbukumbu flash.
Kada wa chadema atajwa kutambuliwa na mama huyo.Alikuwa miongoni wa majambazi waliomvamia.

mama pole sana mamangu duh! nimeumia ugua pole mama. sasa nawasihi watu msio na adabu msianze propaganga hapa na katika kauli za kishenzi kama hizi za kusema kila tukio kada wa chadema amehusika je waliobaki ni wa chama gani acheni upuuzi nyinyi vijana. mtu ameumia alafu mnaanza kuzusha mimi mnaniudhi siogopi kusema mnastahili moto wa milele kumbukeni maisha siyo duniani tu
 
Pole mama Zitto.

naona baada ya jitihada zote za kumuua kushindikana sasa wanaamua kuivamia familia yake ili apoteze concetration. si unakumbuka ile sumu ya ben saa8 na sakata la kulegeza nuts kwenye taili za gari lake?
 
Ccm/usalama mnataka mtawale hii nchi forever? Nyie kweli ni mbw* !hatudanganyikiii!ikulu tamu eeh!nyooo kila kukicha kutengeneza ma issue tu mnataka make ikulu nyie na wanenu tu!kiama yenu yaja wananchi tulishawachokaga zamaniiii yani bora ata wawekwe wanyama waytatutawale ila sio nyie mafisadi papa tumewachokaaaa!!
 
Back
Top Bottom