ile movi ya lwakatare inaendelea, ushahidi unatafutwa kwa udi na uvumba ku-justify kwamba CDM ni magaidi- Kazi bado ni pevu.GAzeti la Mtanzania linaripoti Mama mzazi wa zitto kabwe amevamiwa na majambazi.
Walikuwa wanataka computer na kiwekea kumbukumbu flash.
Kada wa chadema atajwa kutambuliwa na mama huyo.Alikuwa miongoni wa majambazi waliomvamia.
Lengo la hii thread ni kada wa chadema alitambuliwa hawataki ktujuza kama walifanikiwa kuiba ama laah....ni nani??? wamemtaja?? na je walifanikisha lengo lao???
Hao ni vibaka wa kawaida tu. Haina uhusiano na kazi za kamanda zitto.
Mkuu hutayasikia tena baada ya 2015. Haya ni mateke ya mwisho ya CCM inayokufa na vibaraka wake ndani ya CDM.Tunako elekea tutahamia kulala jeshini sasa
Mtanzania?? ..
Sasa vibaka flash ya nini au walitaka wakaweke nyimbo za mchiriku?Hao ni vibaka wa kawaida tu. Haina uhusiano na kazi za kamanda zitto.
Mama mzazi wa Naibu katibu
mkuu wa Chadema Zitto Kabwe, amenusurika kutekwa. Waliomvamia
wamemtishia kumuua huku wakimtaka awape laptop,simu na mawasiliano yake
mengine...
Habari zaidi magazeti ya leo.
wewe ni mpuuzi,unamahaba ya kipuuzi,huoni kuwa chama kinamipanga ya kishetani kuua watu Huyu mama ametaja kuwa Kuna kada wa chadema amemuona na kumtambua,,hiki chama kinanuka damu hamtafika popote
Mhusika mkuu wa hili movie ni Zitto mwenyewe. They can't fool us. Sikujua, hivi huyu ndiye bi mkubwa wa Zitto?Kubwa la maadui baada ya kumshindwa Zitto wamehamia kwa Bi mkubwa wake.
GAzeti la Mtanzania linaripoti Mama mzazi wa zitto kabwe amevamiwa na majambazi.
Walikuwa wanataka computer na kiwekea kumbukumbu flash.
Kada wa chadema atajwa kutambuliwa na mama huyo.Alikuwa miongoni wa majambazi waliomvamia.
vipi siri imebumbuluka? hawaku apply ile spray kama walivyofundishwa na lwakatare?
Pole sana Mama Zitto,tuache masihara majambazi hawana itikadi.