Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

acha kutumika wewe, umekua sasa.jiheshimu..
MAELEZO YA MAMA ZITTO
Shida alikwenda kuripoti tukio hilo katika kituo cha polisi cha tabata na kufunguliwa jalada na. TAB/RB/2898/CCY/13 lakini aliambiwa kuwa tukio hilo ni kubwa kwa hiyo akaripoti kituo cha polisi cha Buguruni ambacho ni kikubwa. Alikwenda kuripoti kituo cha buguruni na kufunguliwa jalada no.BUG/RB/5153 LA KOSA LA KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA.
Baada ya kutoka hapo polisi , Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru
MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.

Naona unajaribu kutuaminisha kuwa Limao ni chungwa.
 
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.

Mkuu unalipwa shilingi ngapi ktk huu uzi? Umeucapitalize hutaki wengine waseme kitu. Jk aliwaambia dodoma mjibu mapigo ya wapinzani kwa hoja, ninyi naona hamkumuelewa mmekuja kwa pupa jf. Hivi post zako unazoandika unazisoma lakini uone zilivyo biased? Mnashupalia ishu mpaka mnaifanya inakuwa kama sanamu.
 
Hii ni ishu aliyoitengeneza Dr Slaa kupitia vijana wake akina Lwesye kwa bahati mbaya alivyogunduliwa akaanzisha ID mpya haraka jina Barcelona na kutengeneza mchakato mzima jinsi move itakavyoenda mpaka mwisho.
Yote haya sio kwakuwa hapendi michango ya zitto katika kukuza chama hapana
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.
Maskini mtoto wa kiume wa Shida Binti Salum una akili za panzi hivi kweli wewe na mama yako mulidhani hili dili litauza mulipoteza maboya pale December 2010 ulipokataa kuunga mkono waliomsusia Kikwete hotuba pale tuu ulijiuma uma uma na sasa hakuna jipya amini usiamini mtoto wa kiume hakuna kitu utachonga na mama yako na washirika wenu ambacho kitaipindua Chadema umechelewa sana ndio maana mission zenu zote zina abbort hivi kweli unadhani propaganda hizi za kichina za kumhusisha bi shida nani ataziamini huku akijulikana kigoma nzima kwa utapeli achia Dar
Ushauri wa bure,acha roho mbaya jirudi fanya siasa safi hizi za mapepe unageuka wewe na mama yako kipererete ,halafu ukae ukijua roho yenye inda,fitina na husuda huumbuka hapa hapa duniani
 
Hata wewe lazima ushangae raisi kusema hajui kwanini Tanzania ni maskini kwa kuwa utaratibu uliopo ni kupeleka maliasili zetu vatican kisha kurudishwa kama misaada kwakundi la watu wachache wengi wanabakia kupiga miayo tu unadhani angejibu nini? Angeongea ukweli huenda wangemdedisha.
Tunaambiwa mganga wako alisha kufa pole umejizira na kujigeuza mwehu sasa huna unachosema aibu umekujaa uso mzima, huwezi kuchonganisha watu wenye wafuasi lukuki chadema ni peoples consituency hutaivuruga kirahisi namna hiyo mbona hamuelewi nyie, embu nendeni kwa maji marefu mukapungwe mapepo na mama yako ndi hasara za kuvimbiwa mapanya
 
acha kutumika wewe, umekua sasa.jiheshimu..
MAELEZO YA MAMA ZITTO
Shida alikwenda kuripoti tukio hilo katika kituo cha polisi cha tabata na kufunguliwa jalada na. TAB/RB/2898/CCY/13 lakini aliambiwa kuwa tukio hilo ni kubwa kwa hiyo akaripoti kituo cha polisi cha Buguruni ambacho ni kikubwa. Alikwenda kuripoti kituo cha buguruni na kufunguliwa jalada no.BUG/RB/5153 LA KOSA LA KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA.
Baada ya kutoka hapo polisi , Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru
MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.

Hii ni ishu aliyoitengeneza Dr Slaa kupitia vijana wake akina Lwesye kwa bahati mbaya alivyogunduliwa akaanzisha ID mpya haraka jina Barcelona na kutengeneza mchakato mzima jinsi move itakavyoenda mpaka mwisho.
Yote haya sio kwakuwa hapendi michango ya zitto katika kukuza chama hapana
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.
 
Maskini mtoto wa kiume wa Shida Binti Salum una akili za panzi hivi kweli wewe na mama yako mulidhani hili dili litauza mulipoteza maboya pale December 2010 ulipokataa kuunga mkono waliomsusia Kikwete hotuba pale tuu ulijiuma uma uma na sasa hakuna jipya amini usiamini mtoto wa kiume hakuna kitu utachonga na mama yako na washirika wenu ambacho kitaipindua Chadema umechelewa sana ndio maana mission zenu zote zina abbort hivi kweli unadhani propaganda hizi za kichina za kumhusisha bi shida nani ataziamini huku akijulikana kigoma nzima kwa utapeli achia Dar
Ushauri wa bure,acha roho mbaya jirudi fanya siasa safi hizi za mapepe unageuka wewe na mama yako kipererete ,halafu ukae ukijua roho yenye inda,fitina na husuda huumbuka hapa hapa duniani

Mbona unajivua nguo we kijakazi wa dr? Vipi umechomoka nduki huko kigoma baada ya kumkosa mama wa watu, haitoshi umeamia JF kuendeleza ugaidi wako. Kaa ukijua malipo ya ubaya ni kifo.
 
Hii ni ishu aliyoitengeneza Dr Slaa kupitia vijana wake akina Lwesye kwa bahati mbaya alivyogunduliwa akaanzisha ID mpya haraka jina Barcelona na kutengeneza mchakato mzima jinsi move itakavyoenda mpaka mwisho.
Yote haya sio kwakuwa hapendi michango ya zitto katika kukuza chama hapana
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.

Endelea kujijibu ukimaliza soma na hapa chini nadhani unahitaji kupewa limbwata ili akili yako itulie pole
Maskini mtoto wa kiume wa Shida Binti Salum una akili za panzi hivi kweli wewe na mama yako mulidhani hili dili litauza mulipoteza maboya pale December 2010 ulipokataa kuunga mkono waliomsusia Kikwete hotuba pale tuu ulijiuma uma uma na sasa hakuna jipya amini usiamini mtoto wa kiume hakuna kitu utachonga na mama yako na washirika wenu ambacho kitaipindua Chadema umechelewa sana ndio maana mission zenu zote zina abbort hivi kweli unadhani propaganda hizi za kichina za kumhusisha bi shida nani ataziamini huku akijulikana kigoma nzima kwa utapeli achia Dar
Ushauri wa bure,acha roho mbaya jirudi fanya siasa safi hizi za mapepe unageuka wewe na mama yako kipererete ,halafu ukae ukijua roho yenye inda,fitina na husuda huumbuka hapa hapa duniani
 
KISA CHA MAMAZITTO KUVAMIWA NA TAFAKURI YANGU!
hizi ni siasa chafu zenye mikono na mtandao wa wanasiasawaliofilisika kisera kama wassira,mwigulu na nape na UTABIRI wao wa kuwaCDM itakufa kabla ya 2015 na hii ni sehemu ya mikakati yao dhaifu! Hasa baadaya mkakati wa Video ya Lwakatare kufanya vibaya sokoni(kuwa unaUKAKASIna umepoteza mvuto na kuanza kuwatafuna waliohusuka(polisi,usalama,ccm naserikali)
kwakuwa zitto na ***** na baadhi wa wanahabari nisehemu ya mkakati huu wa wanasiasa muflisi ni rahisi kujua kuwa hamnajipya hapa!
MAMBO YA MTUMAKINI KUTAFAKARI:-
Habari ya Mama Zitto imeandikwa na gazeti la MTANZANIApekee yake(mmiliki ni Rostam A,CEO-Ni Bashe) tujiulize ilikuwaje MAMA Zitto akamjulishamwandishe wa gazeti la Mtanzania tu!siasa chafu dhidi ya CDM!
Habari ya Mama Zitto imekihusisha moja kwa moja CDMMama Zitto kama vile Mama Zitto kutambua kuwa baadhi ya waliomvamia niwanachama wa CDM? siasa chafu dhidi ya CDM!
Kwanini habari ya Mama Zitto imehusisha matakwa ya Zittoya Urais na Uenyekiti wa CDM?siasa chafu dhidi ya CDM
Majibu ambayo mama zitto anadai kujibiwa na viongozi wajuu wa CDM yanatia shaka kwa watu makini na kwa mwanachama mwenye nia njema nachama chake!siasa chafu dhidi ya CDM!
Tunaviongozi wetu kweny CHAMA tawala na SERIKALIwanaamini kuwa ukitunga upuuzi na upumbavu dhidi ya chama au mtu binafsi hatakama hauna kichwa wala miguu WATANZANIA watauamini na kuukubali kwakuwa etiwanaamini kuwa watanzania si watu wa kutafakari na kupembua mambo kwakina,WATANZANIA tukae hii tabia!

Zitto ni kiongozi mzuri lakini ana tamaa sana na madaraka! Tena huyu nasikia shuleni alikuwa hivo. Kwani ndani ya chadema anafikiri hakuna watu wanaoutaka uenyekiti? Pia, kwanini kila siku zitto? Hatujawahi kusikia tundu lissu, mnyika, mdee, kiwia, msigwa and co...
watanzania tuna imani na chadema na si mtu individually. Anaetaka kuondoka aondoke ila misingi ya chama itatupatia viongozi wengine.
Hata kama slaa, mbowe, mnyika wakiondoka ni sawa kwa sababu chadema hakitakufa. Tunahitaji mabadiliko, hatuwezi kuyapata nje ya chadema. Tumisha choka na habari za zitto.
 
Mbona unajivua nguo we kijakazi wa dr? Vipi umechomoka nduki huko kigoma baada ya kumkosa mama wa watu, haitoshi umeamia JF kuendeleza ugaidi wako. Kaa ukijua malipo ya ubaya ni kifo.

Wewe nae umezidi pumba humu ndugu yangu. Umeigeuza jf dangulo.
 
Zitto ni kiongozi mzuri lakini ana tamaa sana na madaraka! Tena huyu nasikia shuleni alikuwa hivo. Kwani ndani ya chadema anafikiri hakuna watu wanaoutaka uenyekiti? Pia, kwanini kila siku zitto? Hatujawahi kusikia tundu lissu, mnyika, mdee, kiwia, msigwa and co...
watanzania tuna imani na chadema na si mtu individually. Anaetaka kuondoka aondoke ila misingi ya chama itatupatia viongozi wengine.
Hata kama slaa, mbowe, mnyika wakiondoka ni sawa kwa sababu chadema hakitakufa. Tunahitaji mabadiliko, hatuwezi kuyapata nje ya chadema. Tumisha choka na habari za zitto.

Mabadiliko ya kweli kwenye nchi yetu yatapatikana baada ya kuwahusisha watanzania wote katika kazi za kujenga taifa bila kusahau mgawanyo sawa wa keki ya Taifa. Ila kama kuna watumwa na watwana bado mtumwa ataendelea ku strugle kupata haki yake. Ccm ndio afadhali kuliko cdm.
 
Agente Provocateur

Meaning from wikipedia

Traditionally, an agent provocateur (plural: agents provocateurs, French for "inciting agent(s)") is an agent employed by the police or other entity to act undercover to entice or provoke another person to commit an illegal act. More generally, the term may refer to a person or group that seeks to discredit or harm another by provoking them to commit a wrong or rash action.
As a known tool to prevent infiltration by agents provocateurs,[SUP][1][/SUP] the organizers of large or controversial assemblies may deploy and coordinate demonstration marshals, also called stewards

An agent provocateur may be a police officer or a secret agent of police who encourages suspects to carry out a crime under conditions where evidence can be obtained; or who suggests the commission of a crime to another, in hopes they will go along with the suggestion and be convicted of the crime.
A political organization or government may use agents provocateurs against political opponents. The provocateurs try to incite the opponent to do counter-productive or ineffective acts to foster public disdain-or provide a pretext for aggression against the opponent (see Red-baiting).
Historically, labor spies, hired to infiltrate, monitor, disrupt, or subvert union activities, have used agent provocateur tactics.
Agent provocateur activities raise ethical and legal issues. In common law jurisdictions, the legal concept of entrapment may apply if the main impetus for the crime was the provocateur.

 
Amekurupushwa kigoma kakimbilia huku jf kuendeleza mashambulizi kwenye familia ya Zitto.
Mkuu lwesye pumzika kama Ben saa8 alivyotulia attempt mbovu za kutoa uhai wa watu utawasakama sana.

labda kama huo uhai ulitaka kutolewa wewe maana muhusika ali kanusha!
 
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliomalizika hivi punde hapa njombe, katibu mkuu wa chadema dr slaa ameeleza kuwa ameona kwenye gazeti taarifa zikieleza kuwa mama yake na zitto amevamiwa na kutishiwa kuuawa, ameeleza kuwa taarifa hizo sio za kweli...mama yake zitto ni kiongozi mkubwa ndani ya chadema, kama ingekuwa kweli chama kingemsaidia...
 
This is just sad. Nimemsoma Dr. Slaa na nimemuelewa. Ni muhimu watu wanaposoma habari zinazohusiana na CDM kusoma kwa umakini mno. Ikumbukwe kuwa CDM ni tishio kubwa zaidi kwa watawala kuelekea 2015 kuliko wakati mwingine wowote. NI kwa sababu hiyo hakuna jambo litakaloachwa kufanyika kama kwa kulifanya kutasaidia kuchafua jina la CDM, kuwagonganisha watu na kwa hakika kupunguza imani ya wananchi.

Viongozi na wanachama wa CDM wanapaswa kuelewa hilo na should never take anything for granted.

hakika
 
Huyu Padri kachanganyikiwa? chama kina polisi? hilo la Lwakatare tu nanga zinapaa seuze hili la mama Zitto.

Babu tulia mlee Junior ndio kwanza ana miezi kadhaa tu.....
 
Mkuu hebu toa maelezo vizuri.... Sababu nataka niunganishe dots na majibu ya Rais wangu Dr.W.Slaa na thread mojawapo humu.
 
Last edited by a moderator:
huyu padri kachanganyikiwa? Chama kina polisi? Hilo la lwakatare tu nanga zinapaa seuze hili la mama zitto.

Babu tulia mlee junior ndio kwanza ana miezi kadhaa tu.....

tatizo hamjielewei kila kitu mnapanic
 
Mimi binafsi mama zitto sio mamayangu mzazi ila moyo unaniuma sana machoni mwangu nashindwa kustahamili maumivu nikiwa nashuhudia matusi anayomwagiwa mama wa watu kanakamba amewaita hao majambazi wamvamie.
Hivi ni kwanini haifiki sehemu tukatenganisha siasa na uhai wa mtu? Hebu fikiria udhaifu walio nao mama zetu je angedondoka kwa presha akafariki wakati anatishiwa ndio ingesaidia nini chama? Aah jamani wanasiasa wapi twaelekea? Mbona sifa yetu ya ubinadamu twaipoteza?

wewe huna uchungu wowote zaidi ya unafiki na chuki binafsi! wewe unajadili watu tuu! hata hili hamta fanikiwa! wewe ulimhoji mama zitto?
 
Hii ni ishu aliyoitengeneza Dr Slaa kupitia vijana wake akina Lwesye kwa bahati mbaya alivyogunduliwa akaanzisha ID mpya haraka jina Barcelona na kutengeneza mchakato mzima jinsi move itakavyoenda mpaka mwisho.
Yote haya sio kwakuwa hapendi michango ya zitto katika kukuza chama hapana
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.

nili kwambia una chuki binafsi angalia ulicho andika!
 
Mbona unajivua nguo we kijakazi wa dr? Vipi umechomoka nduki huko kigoma baada ya kumkosa mama wa watu, haitoshi umeamia JF kuendeleza ugaidi wako. Kaa ukijua malipo ya ubaya ni kifo.

mbona CHAMVIGA una jichanganya? kweli ni mtu makini kweli? tukio limetokea dar(tabata) au kigoma? hizi chuki binafsi na uongo vina kusaidia nini? sentesi yako imeonesha wewe ni muongo na ujui chochote! pumzika
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom