Mama yake na rafiki yangu simuelewi

Mama yake na rafiki yangu simuelewi

Kuna mtu kakosea kwenye kukosoa doooooh alafu bado anakazia ukosoaji 😀

Bro hapo nikwamba ushamuelewa mmama wa watu acha kuzunguka we mpange nae apangike kama ulivyompanga mtoto wake basi ikiwezekama isaidie familia nzima kwa namna tofauti kaka ulimsaidia kwa hela hao wengne wasaidie kivingne kama ulivyomkula dada mtu ikiwezekana hata yule dada mwingine pita nae uwe baba wa kambo wa msela wako pia shemeji yake, mama awe mkeo pia mama mkwe hio inaitwa 2 in one hope umeelewa boss
Nikutakie utekelezaji mwema
Me naenda
 
Kuna mtu kakosea kwenye kukosoa doooooh alafu bado anakazia ukosoaji 😀

Bro hapo nikwamba ushamuelewa mmama wa watu acha kuzunguka we mpange nae apangike kama ulivyompanga mtoto wake basi ikiwezekama isaidie familia nzima kwa namna tofauti kaka ulimsaidia kwa hela hao wengne wasaidie kivingne kama ulivyomkula dada mtu ikiwezekana hata yule dada mwingine pita nae uwe baba wa kambo wa msela wako pia shemeji yake, mama awe mkeo pia mama mkwe hio inaitwa 2 in one hope umeelewa boss
Nikutakie utekelezaji mwema
Me naenda

Safi sana, wewe ndo umenishauri jambo jema, nitalifanyia kazi nikienda Dar es slaam
 
Kama hutaki mawasiliano naye unashindwa nini kumwambia? Unafurahia hayo mawasiliano maamuzi ni juu yako uamue kusuka au kunyoa.
 
We matako nn mkuu?kuwa na hisia ndio utombree tombreee Kila kitu?huyo Jamaa akijua umekula kuku na mayai yake atakuchemsha supu.
 
Back
Top Bottom