Mama yake na rafiki yangu simuelewi

Mama yake na rafiki yangu simuelewi

Ushauri ulitaka mahali pakuhamia sasa umepata mama hamia sasa huko ili ukatafute life jipya , ulitaka mapenzi haya umeshapewa na huyo demu sasa upewe nini tena jamani

Nataka huyo mshangazi anizalie watoto
 
Nauri-Nauli,,Uzarendo-Uzalendo n.k!!Achana na kujifunza kucheza amapiano tuu za kina chinno Wanna Man,,ujifunzage na Vitu vya msingi Haswa kuandika Kwa usahihi na ufasaha!!
 
Mama wa watu kukupigia simu na kukujulia hali, wewe kimbhoro dinda umetafsili kua anataka umle?

Angalia usije kuumbuka na kujiaibisha wewe na ukoo wako

Lakn hujui ni jinsi gan huyo mama anavyonijari kama vile mimi ni hawala yake
 
Nauri-Nauli,,Uzarendo-Uzalendo n.k!!Achana na kujifunza kucheza amapiano tuu za kina chinno Wanna Man,,ujifunzage na Vitu vya msingi Haswa kuandika Kwa usahihi na ufasaha!!

Sawa mke wangu mtiifu
 
Back
Top Bottom