spanerboy
JF-Expert Member
- Sep 14, 2020
- 666
- 1,473
Inaonekana wewe ndiye tatizo
1.dada wa mshikaji wako ni dada yako pia
2.wewe ni kijan wa hovyo baada ya tukio hilo juu
3.wewe unatengeneza mazingira ya ukaribu
4.mama wa mshikaj wako ni mama yako
Ila kwa tabia yako iyo ya kwanza utakula kuku na mayai,then unatuletea upuuzi
1.dada wa mshikaji wako ni dada yako pia
2.wewe ni kijan wa hovyo baada ya tukio hilo juu
3.wewe unatengeneza mazingira ya ukaribu
4.mama wa mshikaj wako ni mama yako
Ila kwa tabia yako iyo ya kwanza utakula kuku na mayai,then unatuletea upuuzi

, lakini sio mbaya, hata akiwa mwasilika ni sawa tu, kikubwa awe na kibunda