Mama yake na rafiki yangu simuelewi

Mama yake na rafiki yangu simuelewi

MATHAYO 7:12
IMG_5532.jpg




Kijana wa watu umemtendea wema bila shida,

Kwa nini wewe hutaki kutendewa wema?

Acha kumpa mama wa rafiki yako mashaka ya wema wako!
 
Rafk ako akijua sndio atakuheshim zaid mana uplay part ya kua baba wakat hakuna aliekua na uwezo wa kumsaidia kwao
 
Kama huyo jamaa ni rafiki yako bas usifikilie kupiga show Maza ake
 
Hizo r & l ni utambulisho tosha kuwa umetokea kanda ya ziwa. Maana ni tatizo la kanda ile, niliishi kule yaani unakuta binti anakitumia sms "baby kalibu ture" badala na karibu tule
 
Back
Top Bottom