Mama Wassira Aiaga CCM Rasmi....

Kwahiyo Mama Wassira ndio kithibitisho kuwa CHADEMA haifi.

hiviiii akili zako bado zinakutuma kukushauri kwamba CDM itakufa??? kweli wewe mburula haswa!! yaani hutofautiani na FISI MZEE.. we subiria tu kitaanguaka hahaaa.. siku zenda na mwisho utapiga saluti.. mburullaaa
 
Hii habari ilipaswa leo iwe ni habari kubwa kidogo!

Katika harakati za kuendelea kwenye ukombozi, Jana tumeshuhudia watu wawili
Muhimu sana katika familia za CCM wakijiunga na Chadema.

Aliyekuwa DC wa Mbozi Bwana Kimolo na Mama Rachel Wassira!
Ndio waliyofanya maamuzi sahii siku ya jana kwa kuamua kuvua magamba na kuvaa magwanda.

Wakati Mama Wassira anajiunga na Chadema jana alisema hiki chama kina MUNGU!! Na hana sababu inayomfanya aendelee kuwa CCM.

Hongera sana Mama Wassira, na kwa kupitia wewe Tunaamini Mzee George Wassira atakuja huku pia..

Hongera Pia Mzee Kimolo.


Mama Wassira ndio mzimu gani huo? Na je yeye ni mchagga? Kama sio mchagga ataishia kutumiwa na kisha kutupwa km toilet paper.
 
Watakuja woote lakini ""wasira HAPANA"hatumtaki wacheni abaki mwenyewe na maccm yake maana ni mchawi sanaa huyo mwanga kha!!
 
CHADEMA hawaishi vitimbi kesho hata akija idd amin kujiunga chadema watamshangilia sana huyu dc wilaya ilimshinda hadi kufukuzwa kazi lakini wao kwao ndiyo bidhaa mpya.
 
Mnauwezo wa kufukuza?eti kafukuzwa kazi!ccm kabisaaa,kufeni na mafisadi wenu,yupi mliwahi mfukuza?taja japo wawili sio unaongea onge tu,mbavu sana
 
Hii habari ilipaswa leo iwe ni habari kubwa kidogo!

Katika harakati za kuendelea kwenye ukombozi, Jana tumeshuhudia watu wawili
Muhimu sana katika familia za CCM wakijiunga na Chadema.

Aliyekuwa DC wa Mbozi Bwana Kimolo na Mama Rachel Wassira!
Ndio waliyofanya maamuzi sahii siku ya jana kwa kuamua kuvua magamba na kuvaa magwanda.

Wakati Mama Wassira anajiunga na Chadema jana alisema hiki chama kina MUNGU!! Na hana sababu inayomfanya aendelee kuwa CCM.

Hongera sana Mama Wassira, na kwa kupitia wewe Tunaamini Mzee George Wassira atakuja huku pia..

Hongera Pia Mzee Kimolo.


Ni habari njema kwa wakati muafaka. Wacha Lekatutigite team na MaCCM LB7 FC wajidanganye kuwa CHADEMA inakufa.

Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.hongereni kwa kujitambua

Safi sana.

vyanda vyema karibuni tuimarishe chadema NI MPANGO WA MUNGU

Kuingia na kuishi kwenye nyumba yenye misingi imara ni maamuzi sahihi sana. CHADEMA ni kwa wote wenye mapenzi mema na Tanzania. Kama mtu yupo CHADEMA kwa sababu kuna Dr Slaa, Mzee Mtei, Mbowe, Zito, Msigwa, Mnyika, Mdee nk, atoke haraka sana maana amekosea mlango.

Tuliopo CHADEMA ni wale tu tunaoamini ktk katiba ya CHADEMA jinsi inavyotutaka wanachama tuwe.

KARIBUNI SANA.

Watakuja woote lakini ""wasira HAPANA"hatumtaki wacheni abaki mwenyewe na maccm yake maana ni mchawi sanaa huyo mwanga kha!!

chama chenye misingi imara

Mnauwezo wa kufukuza?eti kafukuzwa kazi!ccm kabisaaa,kufeni na mafisadi wenu,yupi mliwahi mfukuza?taja japo wawili sio unaongea onge tu,mbavu sana

Narudia tena:- hapa ndio mwisho wa Akili za barvichaa,huyo mwanamke isitoshe hata majirani zake hawamjui,lakinj Jitu linakurupika toka usingizini hata mswaki kushney,linakuja kuandika Upuuz hapa
 
huyu kimolo ni yule aliyekuwa analewa mpaka anaokotwa au ni kimolo yupi.

Huyo huyo Kilaza ambaye alikuwa analewa mpaka anajikojolea.
Ilifika wakati akafutwa kazi kwa kupewa barua kesho yake akaenda kwenye media kujitangaza kuwa amejiuzulu.
Nani alikiwa anamjua kilaza wa kichaga.
 
Narudia tena:- hapa ndio mwisho wa Akili za barvichaa,huyo mwanamke isitoshe hata majirani zake hawamjui,lakinj Jitu linakurupika toka usingizini hata mswaki kushney,linakuja kuandika Upuuz hapa

mtashaa tuu, mtu mmoja akitubu malaika kule mbinguni wanashangilia.

walah nyie magamba mnaojidai hamuujui ukweli mtaumiza sana roho zenu.

"Hiki Chama Cha Chadema kina MUNGU" ---- Rachel Wassira.
 
Huyo huyo Kilaza ambaye alikuwa analewa mpaka anajikojolea.
Ilifika wakati akafutwa kazi kwa kupewa barua kesho yake akaenda kwenye media kujitangaza kuwa amejiuzulu.
Nani alikiwa anamjua kilaza wa kichaga.

mtakuja kwa njia nyingi sana hapa,
naelewa ni kwa jinsi gani mnavyo pata kihoro mioyoni mwenu..
 
Back
Top Bottom