Mama Wasira ni. nani ktk hii inchi.
Ufafanuzi kidogo
Mwananchi wa nchi hii, suala la nani ni nani ni jukumu lako.
Mama Wasira ni. nani ktk hii inchi.
Ufafanuzi kidogo
Mama Wasira ni. nani ktk hii inchi.
Ufafanuzi kidogo
Ni Mama Wasira, kwani wewe ni nani ktk hii nchi mpa uulize hilo swaliMama Wasira ni. nani ktk hii inchi.
Ufafanuzi kidogo
mjomba kwenye haya mambo ya siasa huwa hatujali nani ni nani , unachotakiwa kuelewa ni kwamba 1 + 1 = 2Mama Wasira ni. nani ktk hii inchi.
Ufafanuzi kidogo
Si mlisema majina ya watu sio issue ila chama kama chama ndio mpango mzima?????!!!!
Au majina yana umuhimu wakati wa kuingia tu wakati wa kutoka tunavua ubatizo????!!!!!
Thubutu yeeenu mkiwa waongo muwe na kumbukumbu pia!!!!!
Mungu wa chadema ni shetwain,mnyonya damu
Hilo kweli ila watapulizwa na upepo mkali. Wamuulize zitto kabwe alivyo pulizwaKuweni waangalifu, kwani kipindi hiki mtapokea kila aina ya mapandikizi ambayo yanalenga kukiteketeza chama hiki.
Sasa kama umejielewa fahamu kuwa Chadema ndio iko ICU wameanza kugawana mirathi huko kigoma.
Falsafa ya CHADEMA ngumu sana ukielewa ikiwa unatumia miguu kufikiri.
kwa ajari ya bajaj la ccmnaomba kuuliza swali... japo sio vizuri kuwataja marehemu lakini kwani!!!!""""""" yule dada wa damu wa FREEMAN KENGEZA MBOWE aliyetangaza kuhamia CCM alikufa kwa ajali gani???''''''''
kwani MASALIA walitoka ccm ? ukitaka kujua usaliti unakoanzia angalia maisha ya wasaliti wote hawa tunaowajadili humu kuanzia kule kwenye familia wanazotoka , hata huyo kiongozi wao , Utagundua kwamba DHIKI KALI iliyopelekea TAMAA YA UTAJIRI bila kufanya kazi ndiyo iliyowaponza .Kuweni waangalifu, kwani kipindi hiki mtapokea kila aina ya mapandikizi ambayo yanalenga kukiteketeza chama hiki.
Kwahiyo Mama Wassira ndio kithibitisho kuwa CHADEMA haifi.
Hii habari ilipaswa leo iwe ni habari kubwa kidogo!
Katika harakati za kuendelea kwenye ukombozi, Jana tumeshuhudia watu wawili
Muhimu sana katika familia za CCM wakijiunga na Chadema.
Aliyekuwa DC wa Mbozi Bwana Kimolo na Mama Rachel Wassira!
Ndio waliyofanya maamuzi sahii siku ya jana kwa kuamua kuvua magamba na kuvaa magwanda.
Wakati Mama Wassira anajiunga na Chadema jana alisema hiki chama kina MUNGU!! Na hana sababu inayomfanya aendelee kuwa CCM.
Hongera sana Mama Wassira, na kwa kupitia wewe Tunaamini Mzee George Wassira atakuja huku pia..
Hongera Pia Mzee Kimolo.
Ni mungu gani aliyerafiki wa chadema wakati slaa alishamkosea mungu?
Una kinyesi kichwani badala ya ubongo, ndiyo maana akili yako yote iko kwenye kuendekeza ukabila. Wenzako wanatafuta singo mpya wewe umeng'ang'ania zilipendwa.
Mama Wassira ndio mzimu gani huo? Na je yeye ni mchagga? Kama sio mchagga ataishia kutumiwa na kisha kutupwa km toilet paper.