Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,742
- 7,431
Nusu nzima ya Kigoma ni waamiaji haramuKigoma hapana![]()
Nusu nzima ya Kigoma ni waamiaji haramuKigoma hapana![]()
Eh! Kumbe ni mmama!!! Nilidhani mwanaume.Huyu mama chini yake kuna watendaji wake ambao kila mwezi wanachukua fedha kwa wageni ili waendelee kukaa kinyemela.
Tunamuangalieni tu.
halafu baada e tutamtajeni majina.
Ni matokeo ya mfumo mbovu wa ccm. Kuna mtutsi mmoja anajitambulisha kama muha wa Kigoma tena yupo serikalini lakini wahusika utadhani hawawaoni.Ataikamata nusu ya Tanzania.
Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.
Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Huku Arusha kuna watu wameoa wazungu kabisa na wamezaa watoto. Naomba uhamiaji waingie rasmi Arusha ili hawa wanaojiita Rastafarian twende sawa.Hongera sana kamishna mpya wa uhamiaji kwa jitihada za mwanzo,maeneo in mengi yenye matatizo ya kiutendaji. Leo umekamata passport ila wamiliki wa passport hawana vibal vya kazi ila maeneo yapo mengi kuna ,mikoa yenye changomoto za RAIA wa kigeni kuingia kinyemela na kuafanya kazi kinyume na sheria ni kama: 1. Arusha 2. Dar 3. Mwanza 4. Mbeya !
Kwa pale Arusha kuna kampuni nyingi za wahindi wafanyakazi wa kigeni wapo bila vibali,na hata family member wao wapo nchini bila vibali,mwingine wamefikia mahotelini kwa kuogopa taarifa zao kujulikana kwa wananchi,uhamiaji Arusha hawafanyi lolote yani kupiga deal na RAIA wa kigeni hao.
Ni matokeo ya mfumo mbovu wa ccm. Kuna mtutsi mmoja anajitambulisha kama muha wa Kigoma tena yupo serikalini lakini wahusika utadhani hawawaoni.
Nafikiri huyo ndo ameifikisha nchi ilipo sasa. Tanzania imekuwa kama nchi ya wote.Marehemu Nyerere alikuwa hataki hata vitambulisho vya taifa, aliamini kuwa Afrika ni moja kasoro Biafra tu.
Nafikiri huyo ndo ameifikisha nchi ilipo sasa. Tanzania imekuwa kama nchi ya wote.
Mama umewasahau Wakongo, ni wengi sana mjini tena na ofisi zao nyingi tu wamefungua tofauti na kutupigia muziki.Ataikamata nusu ya Tanzania.
Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.
Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Mama umewasahau Wakongo, ni wengi sana mjini tena na ofisi zao nyingi tu wamefungua tofauti na kutupigia muziki.
Kuna sehemu inaitwa Nanyumbu🙂
Huku Arusha kuna watu wameoa wazungu kabisa na wamezaa watoto. Naomba uhamiaji waingie rasmi Arusha ili hawa wanaojiita Rastafarian twende sawa.
Wanaringa kisa wameoa wazungu wa magendo.
Rangi nyekundu: Unawatofautishaje na wakimbizi wa mwaka 1972 ambao kwa sasa wamepewa uraia wa Tanzania mwaka juzi? Watoto wao wamezaliwa Tanzania, wamesoma Tanzania kuanzia chekechea hadi ngazi mbalimbali kielimu na wameajiriwa Tanzania!Ataikamata nusu ya Tanzania.
Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.
Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Dah, FaizaFoxy upo makini watu wengi sana wanafanya makosa hayo ya kuchanganya 'R' na "L" kwa namna unavyojitahidi watanyooka tu hata kama ni 10 kwa 100.= vibali
Wewe ni Mtanzania? Mbona hujuwi kuandika lugha yako ya taifa kwa ufasaha?
Kazi ipoNusu nzima ya Kigoma ni waamiaji haramu