Mama wa uhamiaji acharuka

Mama wa uhamiaji acharuka

n
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
bila shaka hukosi hahahhaha
 
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Kuandika sentensi ndefu bila kuweka nukta ,Huko shule ulienda kujifunza ujinga??
 
= vibali

Wewe ni Mtanzania? Mbona hujuwi kuandika lugha yako ya taifa kwa ufasaha?
hujuwi=hujui
Jua ni mzizi, ikiwa na maana tambua au elewa. Maneno mengine yatokanayo na mzizi huo ni nakujua, simjui, sijuani, wanakujua, sikujua, nk.
Kwa jinsi sura yako ilivyo, wewe ni mhamiaji toka Rwanda.😀😀
 
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Kwa hiyo !!! ?
Ombi langu kwenu enyi mnaowajua watu hao ni kutoa ushirikiano kwa mamlaka husika ili hatua zichukuliwe
 
hujuwi=hujui
Jua ni mzizi, ikiwa na maana tambua au elewa. Maneno mengine yatokanayo na mzizi huo ni nakujua, simjui, sijuani, wanakujua, sikujua, nk.
Kwa jinsi sura yako ilivyo, wewe ni mhamiaji toka Rwanda.😀😀

Umesahau w katika Maneno yako yote uliyoyainisha. Huwezi kuyatamka kama utakavyo.

Wewe unaandika Kiswahili kilichosanifiwa, unajuwa maana ya sanifu?
 
Hongera sana kamishna mpya wa uhamiaji kwa jitihada za mwanzo,maeneo in mengi yenye matatizo ya kiutendaji,,Leo umekamata passport ila wamiliki wa passport hawana vibal vya kazi ,ila maeneo yapo mengi kuna ,mikoa yenye changomoto za RAIA wa kigeni kuingia kinyemela na kuafanya kazi kinyume na sheria ni kama: 1.Arusha 2.Dar 3.mwanza mbeya !,kwa pale arusha kuna kampuni nyingi za wahindi wafanyakaz wa kigeni wapo bila vibali,na hata family member wao wapo nchini bila vibali,wwngine wamefikia mahotelini kwa kuogopa taarifa zao kujulikana kwa wananchi,uhamiaji arusha hawafany lolote yani kupiga deal na RAIA wa kigeni hao
Mkuu kwa Arusha bila shaka unawalenga GUPTA.
 
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Kweli kabisa hili ni janga lakitaifa
 
Hongera sana kamishna mpya wa uhamiaji kwa jitihada za mwanzo,maeneo in mengi yenye matatizo ya kiutendaji,,Leo umekamata passport ila wamiliki wa passport hawana vibal vya kazi ,ila maeneo yapo mengi kuna ,mikoa yenye changomoto za RAIA wa kigeni kuingia kinyemela na kuafanya kazi kinyume na sheria ni kama: 1.Arusha 2.Dar 3.mwanza mbeya !,kwa pale arusha kuna kampuni nyingi za wahindi wafanyakaz wa kigeni wapo bila vibali,na hata family member wao wapo nchini bila vibali,wwngine wamefikia mahotelini kwa kuogopa taarifa zao kujulikana kwa wananchi,uhamiaji arusha hawafany lolote yani kupiga deal na RAIA wa kigeni hao
Hii operation napendekeza ifanyike nchi nzima na kwa wakati mmoja, ili wahamiaji haramu wasipate sehemu ya kukimbilia.
Kwa kifupi ifanyike mikoa yote ya Tanzania (Bara na Zanzibar).
Waache ile tabia ya miaka yote ya kufanya mikoa michache, hasa ya Kagera, Kigoma, Rukwa, Tabora, Shinyanga na Geita.
Wakifanya kama wafanyavyo (operation ya mikoa michache au kanda moja tu), let say kanda ya magharibi wajue wanawapa nafasi ya kuhamia mikoa mingine isiyokuwa na operation.
Au watakapofanya operation upande wa Tanzania bara tuu wajue wanawapa nafasi ya kupanda boti na majahazi kwenda kusikilizia Zanzibar.
 
Umesahau w katika Maneno yako yote uliyoyainisha. Huwezi kuyatamka kama utakavyo.

Wewe unaandika Kiswahili kilichosanifiwa, unajuwa maana ya sanifu?
Dada acha Kiswahili cha Kariakoo utafelisha watoto kwenye mtihani wa NECTA maana wanakuaminia kama Kamusi😛😛
 
Back
Top Bottom