Mama wa uhamiaji acharuka

zubedasoud

Member
Feb 1, 2017
91
117
Hongera sana kamishna mpya wa uhamiaji kwa jitihada za mwanzo,maeneo in mengi yenye matatizo ya kiutendaji. Leo umekamata passport ila wamiliki wa passport hawana vibal vya kazi ila maeneo yapo mengi kuna ,mikoa yenye changomoto za RAIA wa kigeni kuingia kinyemela na kuafanya kazi kinyume na sheria ni kama: 1. Arusha 2. Dar 3. Mwanza 4. Mbeya !

Kwa pale Arusha kuna kampuni nyingi za wahindi wafanyakazi wa kigeni wapo bila vibali,na hata family member wao wapo nchini bila vibali,mwingine wamefikia mahotelini kwa kuogopa taarifa zao kujulikana kwa wananchi,uhamiaji Arusha hawafanyi lolote yani kupiga deal na RAIA wa kigeni hao.
 
Hongera sana kamishna mpya wa uhamiaji kwa jitihada za mwanzo,maeneo in mengi yenye matatizo ya kiutendaji,,Leo umekamata passport ila wamiliki wa passport hawana vibal vya kazi ,ila maeneo yapo mengi kuna ,mikoa yenye changomoto za RAIA wa kigeni kuingia kinyemela na kuafanya kazi kinyume na sheria ni kama: 1.Arusha 2.Dar 3.mwanza mbeya !,kwa pale arusha kuna kampuni nyingi za wahindi wafanyakaz wa kigeni wapo bila vibali,na hata family member wao wapo nchini bila vibali,wwngine wamefikia mahotelini kwa kuogopa taarifa zao kujulikana kwa wananchi,uhamiaji arusha hawafany lolote yani kupiga deal na RAIA wa kigeni hao
Apitie na kwenye mashule binafsi
 
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
 
Suala hili lisiishie kwa Manji pekee ila liende na kwingine, Ni wakati wa mifumo kufanya kazi ipasavyo ili ijiendeshe automatically. Vibali ni tatizo kwa wageni wengi walioko tanzania, pia uwezo wa utendaji wa baadhi ya wageni haulisaidii taifa ila wapo watanzania wengi wenye uwezo wa kufanya kazi hizo hapa Tanzania na kulisaidia taifa..
 
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.


umeshatoswa ccm. naona akili yako imeanza kurudi.

ulikuwa unafungua bakuli kutetea kila kitu.

hongera sana.
 
Mama aanze na kuwatimua baadhi ya wasaidizi wake make mengi ya matatizo yalikuwa yanapuuzwa na wao wenyewe
 
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Kigoma hapana
 
Back
Top Bottom