Mama wa uhamiaji acharuka

Mama wa uhamiaji acharuka

Huyu mama chini yake kuna watendaji wake ambao kila mwezi wanachukua fedha kwa wageni ili waendelee kukaa kinyemela.
Tunamuangalieni tu.
halafu baada e tutamtajeni majina.
 
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Kuna taarifa zinazagaa kuwa hata wewe si raia wa Tanzania.Tunaomba ututhibitishie.
 
Suala hili lisiishie kwa Manji pekee ila liende na kwingine, Ni wakati wa mifumo kufanya kazi ipasavyo ili ijiendeshe automatically. Vibali ni tatizo kwa wageni wengi walioko tanzania, pia uwezo wa utendaji wa baadhi ya wageni haulisaidii taifa ila wapo watanzania wengi wenye uwezo wa kufanya kazi hizo hapa Tanzania na kulisaidia taifa..
Kwani suala la uhamiaji Manji linamhusu vipi?
 
Ataikamata nusu ya Tanzania.

Kuna Wazambia, Wamalawi, Wakenya, Warundi na wengine wengi wanaishi kama Watanzania kwa kuwa tu wanaongea Kiswahili vizuri.

Wengine wana nyadhifa nzuri tu serikalini.
Aanze na john pombe
 
Hongera sana kamishna mpya wa uhamiaji kwa jitihada za mwanzo,maeneo in mengi yenye matatizo ya kiutendaji,,Leo umekamata passport ila wamiliki wa passport hawana vibal vya kazi ,ila maeneo yapo mengi kuna ,mikoa yenye changomoto za RAIA wa kigeni kuingia kinyemela na kuafanya kazi kinyume na sheria ni kama: 1.Arusha 2.Dar 3.mwanza mbeya !,kwa pale arusha kuna kampuni nyingi za wahindi wafanyakaz wa kigeni wapo bila vibali,na hata family member wao wapo nchini bila vibali,wwngine wamefikia mahotelini kwa kuogopa taarifa zao kujulikana kwa wananchi,uhamiaji arusha hawafany lolote yani kupiga deal na RAIA wa kigeni hao

Rushwa inaua uzalendo kabisa....
 
mwambieni mm ni Raia wa USA aje anikamte anirudishe kwetu
 
Back
Top Bottom