CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Mama 1 huko TABORA ametiwa nguvuni kwa kosa la kuiba mtoto wa mwezi1 ili akamlidhishe mumewe kwamba alikua mjamzito sasa amejifungua,familia ya mama huyo mwizi na mumewe walikua na ugomvi wa muda murefu kotokana na kukosa mtoto!mtoto kaibwa mwezi 1 uliopita maeneo ya MWANZA RD TABORA mjini na amekamatwa jana maeneo ya Kariua njia panda ya KIGOMA na MPANDA.
Amekutwa kamuweka kifuani anamnyonyesha.
Sasa shangaa,wengine wanaiba wengine wanawatupa chooni.
Chanzo TBC asubuhi ya leo.
Amekutwa kamuweka kifuani anamnyonyesha.
Sasa shangaa,wengine wanaiba wengine wanawatupa chooni.
Chanzo TBC asubuhi ya leo.