ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 905
- 593
{BINTI}:Mama,mi nina mimba. {MAMA}:Imekuwaje mwanangu mpaka unatuletea aibu kama hii kwenye familia yetu?. {BINTI}:Nisamehe mama,ni ajali tu bahati mbaya. {MAMA}:Kwa hiyo ulipata ajali tu,ulikuwa unatembea mtaani,ukatelezea kimsambamsamba juu ya uume uliosimama huku hujavaa ch*pi,then ukapata mimba au siyo?