Mama wa Kambo

Mama wa Kambo

Let share something iwe kama kumbu kumbu hapo baadae (4/6/2025 Wed 3:26)... Malezi ya mama wa kambo

Nimezaliwa mkoani dsm Kizuiani hospital miaka ya 90 mwoshoni. Baada ya wazazi kutengana nikachukuliwa na baba kwenda mkoani, ambako huku baba alikua bachelor yaani hakua na mke hivo kazi ya kunilea ilikua jukumh lake japo sikua mdogo kiasi hicho maana nilikua la kwanza.

Nikisoma shule ya msingi inyala pale iyunga. Nilianza darasa la kwanza mpaka la pili baba akahama ile sehemu.

Na hapo nikaona.mbona baba kama anasumbuka sana maana kila anapirudi kazini anakua na kazi zaidi ya moja, atapika atafanya usafi na bado kuna kuniandaa mimi na shule.

Nilijikuta namuonea huruma na kumshauri baba aoe, bila kujua kumbe ndio najitengenezea moto ambao ulikuja kuniumiza badae.

Basi siku zikasogea ikapita miaka kama mitatu hivi na hapo tayari nilikua nipo darasa la 4.

Baba rasmi akaoa mwanamke kutokea kiwira.

Yule mama alikua mnyakyusa pure an baba yake mnyaki na mama yake mnyaki.

Mda huo wanaowana wote walikua na mtoto mmoja mmoja baba ana mimi na mama ana mdogo angu wa kike ambaye umri tupo sawa.

Maisha yalianza kubadirika kwani sheria zilikua very complicated sikutegemea kama yule mama angebadilika.kiasi kile hata week haikupita nikaanza kuona maisha magumu.

Mama alikua mkari, siwezi kujipendelea hata mi pia nilikua nina dharau hi ni mpaka sasa.

Mama alianza kuwa hatari kiasi ambacho kwangu shule ikawa ngumu.

Nilichanganyikiwa nikawa natoroka shule, sikuwahi kupenda tena kusoma kwani nyumbani niliona.mtiti na hata shule mtiti pia.

Mama huyu alikua akunyimi chakula,
Mama huyu alikua anajua kupiga alikua anapiga kiasi ambacho nilikuwa navuja damu.

Kisa.... Kuna siku tupo chumbani mimi, mama yule mtoto wake wa kwanza na mdogo wetu mdogo ambaye ni mtto wa kwanza na baba yangu.

Hiyo siku tulikua nae chumbani tunapiga story, baada ya kuongea akanituma nikaangalie chakula jikoni (wali) kama maji yashakauka.

Nafika jikoni nikafanya kama alivyonituma ila cha ajabu nilikuta mafuta yamemwagika chini.

Kuchunguza mafuta yanatokea wapi,
Nilikuta ni kabatini ambako yalikua yanaanguka tone kwa tone.

Yale mafuta yalikua hayajafungwa vizuri lakini pia lile dumu liliwekwa kwa ubavu ubavu kwa kuwa kabati lilikua dogo hivo kwa kusimama ilikua ngumu.

Mi nilitoka moja kwa moja na kumuita yule mwanae tukaenda jikoni. Baada ya kuona ule mtiti tuka shauriana tufute yale mafuta.

Basi ikafanyika hiyo kazi kwa dakika kama tano hvi mambo yakawa safi.

Akili za utoto, mda tunafuta yule mdogo wetu ambaye mi mdogo kati ya miaka mitatu hv ila alikua bado awezi kuongea

Alishuhudia tukio.la sisi kupiga deki pale ndani(jikoni)

Hatukuweka akilini maana alikua hawezi kuongea.

Baada ya sisi kumaliza ndipo tukamuita mama ili aendelee na hatua zingine kama ni.kupalilia au kupakua

Mama anafika jikoni hakugundua kitu, ila yule mtoto akawa ananyoosha kidole na kumwambia mama ""mama mama mmmmh mmmh"" alirudia sana mpaka mama akahisi.kitu

Mama akauliza "kuna nini hapa" kwa jinsi tulivyokua tunamuogopa.tukaanza kutetemeka.

Hapo hapo akauliza kwa ukali ile sauti ilifanya mwenzangu aseme kuwa.mimi.nimemwaga mafuta...

Hapo sikuwa na la kujitetea mama alishika mwiko na kunipiga.

Kichapo kilianzia jikoni mpaka nje.

Nyumba yetu ilikua ina Fance hvyo ni nje ya jiko. Mama alikua anauliza kama nimemwaga mafuta ila mimi nikawa nakataa

Yule mama alinipiga wakuu, yule mama alinipiga hiyo siku mpaka nikahisi kufa, wakuu yule mama alishika jaro alinipiga mpaka likaharibika.

Bado akatafuta vyekeo lakini kila akirusha kamba za nguo zikawa zinazuia lisifike kwangu.

Akanishika shingoni na kuanza kunikaba ile siku sitosahau alinikaba huku akilazimisha kunipeleka chumbani maana nilikua napiga kelele mno 🥺 🥺 🥺 🥺

Kiukweli na mimi kwenda chumbani nilikua sitaki kwani najua kule naweza kuuliwa kabisa.

Ila alifanikisha na kunifikisha chumbani. Huku akishika gongo lile ambalo hata sijui lilikua na kazi gani.

Alinipiga miguini nikajikuta naanguka chini.

Nililia sana huku namshika miguu kama ni kweli nimemwaga mafuta... Nilipigwa sana hii siku mpaka nikaenda kulala

Kiufupi kile kipigo kilidumu ndani ya masaa mawili. Baada ya kipigo nikaenda kulala mida ya saa 3 au 4 hv nakuta naamshwa naitwa jikoni..

Kufika jikoni nakutana na kesi ya kumwaga mafuta na anae soma kesi ni mama kumwambia baba kuwa nimemwaga kama lita mbili hivi .

Baba hakuuliza mara mbili alitoa mkanda akaanza kunipiga aiseee baba alinichapa ila nikiri baba alikua awezi kupiga kama huyu mama..

Baba alikua akinipiga mi mda wote nazuia sehemu moja tu ambayo ni mkononi maana nilihisi mkono ushavunjika kwa kipigo cha mama.

Baba nae alinipeleka sebureni na akaniacha akaenda kuchukua mkande wake special huo mwingine

Huo mkanda unafanana na ile mikanda ambayo.ukienda mashine za kusaga unaona.kuna.mikanda ina drive machine

Aiseee nilipigwa mnoo mnooo baada ya hapo nikaambiwa nikalale🥺🥺🥺

Seriously niliweka chuki kwa baba,
Nilimchikia sana baba yangu, nilimchukia sana baba angu.. hii chuki mpaka leo inanitafuna niliteseka sana sana sana..

Nilikuwa nawaza kurudi kwa mama.

Niliwaza hata nikajifiche kwenye buti nirudi dar ila wapi.

Hapa kati visa vikawa vingi vingi mno

Nishawahi toroka hom

Nishawahi kosa kupigwa jiwe la kichwa na mama

Nishawahi banwa korodani

Mama alikua anipendi
Mama alikua ananichukia sana......

Mungu si athumani nikapata likizo hii likizo nikaomba niende kwa.mama mzazi

Na wao wakakubali.

Hapo ndo ukawa mwanzo wa ukombozi.wangu nimefika dar sikutamani tena kurudi nikamwambia mama nipo radhi mnikate mkono.ili tu nibaki na wewe.

Bibi yangu upande wa mama alishangaa kauli zangu kwani.niliwambia kule kwa mama wa kambo mimi nakula sana , kuhusu chakula utakula utaacha wewe..

Mbeya mtu akikunyima chakula.huyo.mchawi.maana kuna vingi vya kufanya tumbo lijae

Ila kile kipigo nikasema bibi siwezi kurudi..

Hapo ndio nikabadili.jina rasmi kutoka lile jina la ubabani.na.kutumia.jina la umamani..

Majina.yana.maana.sana.katika.maisha yetu.. mimi si kwamba nilikua sina akili ila ni maisha na life style ilikua sio nzuri kwa mtoto kukua .

Nilikua na kisasi kwa huyu mama wa kambo kwanini alinifanyia vile

Why hakunipenda... Kile kisasi nilikaa nacho na nikasema ipo siku

Nitaendelea

Somo kwa ndugu zangu ambao wanatarajia kuwa na familia hapo badae.

Kwanza Mimba sio kitu cha bahati mbaya tambua hilo, usije kusema hujajipanga bado..

Pili... Wewe ndio unayeamua kesho mwanao kwa kumchagulia mama bora ambaye atatunza watoto wako...

Tatu... Mtoto kwa mama, ni wanawake wachache sana wana moyo wa kukaa na mtoto wa mwanaume... Sijui kwa sasa kama mambo yamebadilika

Ila kwa niliyopitia mimi Naomba Mungu anipe mke mwema ambaye huyo atakua mama wa watoto wangu milele.. kiufupi kuvunja ndoa hiki kitu kinaleta negative effects nyingi kuliko faida na ndio maana kwa uislam kuna vikwazo vingi kabla ya kumpa mke taraka....
Plot twist: Huyo mama wako wa kambo aliekunyanyasa unaeza kuta humu jf anajiita BICHWA KOMWE au DIVISION FOO, dunia ya ajabu sana hii Poor Brain
 
Pole sana, mshukuru Mungu amekulinda na mpaka leo upo hai, wapo waliokutana na mikasa hii na kupoteza maisha yao. Kwa kuwa Mungu amekulinda na umepata somo la kuja kuwa baba bora, samehe yote, msamehe baba yako na mama yako wa kambo.
Huwezi kujua maumivu aliyokuwa nayo mama wa kambo hadi yakamfanya akuumize kiasi hicho.
 
Pole sana, mshukuru Mungu amekulinda na mpaka leo upo hai, wapo waliokutana na mikasa hii na kupoteza maisha yao. Kwa kuwa Mungu amekulinda na umepata somo la kuja kuwa baba bora, samehe yote, msamehe baba yako na mama yako wa kambo.
Huwezi kujua maumivu aliyokuwa nayo mama wa kambo hadi yakamfanya akuumize kiasi hicho.
Yaan mpaka anafanya vile mimi nilimfanya nini mkuu..
Haiwezekani mtu anakufanyia ubaya yaan bila kosa anakuchukia tuu
 
Pol
Let share something iwe kama kumbu kumbu hapo baadae (4/6/2025 Wed 3:26)... Malezi ya mama wa kambo

Nimezaliwa mkoani dsm Kizuiani hospital miaka ya 90 mwoshoni. Baada ya wazazi kutengana nikachukuliwa na baba kwenda mkoani, ambako huku baba alikua bachelor yaani hakua na mke hivo kazi ya kunilea ilikua jukumh lake japo sikua mdogo kiasi hicho maana nilikua la kwanza.

Nikisoma shule ya msingi inyala pale iyunga. Nilianza darasa la kwanza mpaka la pili baba akahama ile sehemu.

Na hapo nikaona.mbona baba kama anasumbuka sana maana kila anapirudi kazini anakua na kazi zaidi ya moja, atapika atafanya usafi na bado kuna kuniandaa mimi na shule.

Nilijikuta namuonea huruma na kumshauri baba aoe, bila kujua kumbe ndio najitengenezea moto ambao ulikuja kuniumiza badae.

Basi siku zikasogea ikapita miaka kama mitatu hivi na hapo tayari nilikua nipo darasa la 4.

Baba rasmi akaoa mwanamke kutokea kiwira.

Yule mama alikua mnyakyusa pure an baba yake mnyaki na mama yake mnyaki.

Mda huo wanaowana wote walikua na mtoto mmoja mmoja baba ana mimi na mama ana mdogo angu wa kike ambaye umri tupo sawa.

Maisha yalianza kubadirika kwani sheria zilikua very complicated sikutegemea kama yule mama angebadilika.kiasi kile hata week haikupita nikaanza kuona maisha magumu.

Mama alikua mkari, siwezi kujipendelea hata mi pia nilikua nina dharau hi ni mpaka sasa.

Mama alianza kuwa hatari kiasi ambacho kwangu shule ikawa ngumu.

Nilichanganyikiwa nikawa natoroka shule, sikuwahi kupenda tena kusoma kwani nyumbani niliona.mtiti na hata shule mtiti pia.

Mama huyu alikua akunyimi chakula,
Mama huyu alikua anajua kupiga alikua anapiga kiasi ambacho nilikuwa navuja damu.

Kisa.... Kuna siku tupo chumbani mimi, mama yule mtoto wake wa kwanza na mdogo wetu mdogo ambaye ni mtto wa kwanza na baba yangu.

Hiyo siku tulikua nae chumbani tunapiga story, baada ya kuongea akanituma nikaangalie chakula jikoni (wali) kama maji yashakauka.

Nafika jikoni nikafanya kama alivyonituma ila cha ajabu nilikuta mafuta yamemwagika chini.

Kuchunguza mafuta yanatokea wapi,
Nilikuta ni kabatini ambako yalikua yanaanguka tone kwa tone.

Yale mafuta yalikua hayajafungwa vizuri lakini pia lile dumu liliwekwa kwa ubavu ubavu kwa kuwa kabati lilikua dogo hivo kwa kusimama ilikua ngumu.

Mi nilitoka moja kwa moja na kumuita yule mwanae tukaenda jikoni. Baada ya kuona ule mtiti tuka shauriana tufute yale mafuta.

Basi ikafanyika hiyo kazi kwa dakika kama tano hvi mambo yakawa safi.

Akili za utoto, mda tunafuta yule mdogo wetu ambaye mi mdogo kati ya miaka mitatu hv ila alikua bado awezi kuongea

Alishuhudia tukio.la sisi kupiga deki pale ndani(jikoni)

Hatukuweka akilini maana alikua hawezi kuongea.

Baada ya sisi kumaliza ndipo tukamuita mama ili aendelee na hatua zingine kama ni.kupalilia au kupakua

Mama anafika jikoni hakugundua kitu, ila yule mtoto akawa ananyoosha kidole na kumwambia mama ""mama mama mmmmh mmmh"" alirudia sana mpaka mama akahisi.kitu

Mama akauliza "kuna nini hapa" kwa jinsi tulivyokua tunamuogopa.tukaanza kutetemeka.

Hapo hapo akauliza kwa ukali ile sauti ilifanya mwenzangu aseme kuwa.mimi.nimemwaga mafuta...

Hapo sikuwa na la kujitetea mama alishika mwiko na kunipiga.

Kichapo kilianzia jikoni mpaka nje.

Nyumba yetu ilikua ina Fance hvyo ni nje ya jiko. Mama alikua anauliza kama nimemwaga mafuta ila mimi nikawa nakataa

Yule mama alinipiga wakuu, yule mama alinipiga hiyo siku mpaka nikahisi kufa, wakuu yule mama alishika jaro alinipiga mpaka likaharibika.

Bado akatafuta vyekeo lakini kila akirusha kamba za nguo zikawa zinazuia lisifike kwangu.

Akanishika shingoni na kuanza kunikaba ile siku sitosahau alinikaba huku akilazimisha kunipeleka chumbani maana nilikua napiga kelele mno 🥺 🥺 🥺 🥺

Kiukweli na mimi kwenda chumbani nilikua sitaki kwani najua kule naweza kuuliwa kabisa.

Ila alifanikisha na kunifikisha chumbani. Huku akishika gongo lile ambalo hata sijui lilikua na kazi gani.

Alinipiga miguini nikajikuta naanguka chini.

Nililia sana huku namshika miguu kama ni kweli nimemwaga mafuta... Nilipigwa sana hii siku mpaka nikaenda kulala

Kiufupi kile kipigo kilidumu ndani ya masaa mawili. Baada ya kipigo nikaenda kulala mida ya saa 3 au 4 hv nakuta naamshwa naitwa jikoni..

Kufika jikoni nakutana na kesi ya kumwaga mafuta na anae soma kesi ni mama kumwambia baba kuwa nimemwaga kama lita mbili hivi .

Baba hakuuliza mara mbili alitoa mkanda akaanza kunipiga aiseee baba alinichapa ila nikiri baba alikua awezi kupiga kama huyu mama..

Baba alikua akinipiga mi mda wote nazuia sehemu moja tu ambayo ni mkononi maana nilihisi mkono ushavunjika kwa kipigo cha mama.

Baba nae alinipeleka sebureni na akaniacha akaenda kuchukua mkande wake special huo mwingine

Huo mkanda unafanana na ile mikanda ambayo.ukienda mashine za kusaga unaona.kuna.mikanda ina drive machine

Aiseee nilipigwa mnoo mnooo baada ya hapo nikaambiwa nikalale🥺🥺🥺

Seriously niliweka chuki kwa baba,
Nilimchikia sana baba yangu, nilimchukia sana baba angu.. hii chuki mpaka leo inanitafuna niliteseka sana sana sana..

Nilikuwa nawaza kurudi kwa mama.

Niliwaza hata nikajifiche kwenye buti nirudi dar ila wapi.

Hapa kati visa vikawa vingi vingi mno

Nishawahi toroka hom

Nishawahi kosa kupigwa jiwe la kichwa na mama

Nishawahi banwa korodani

Mama alikua anipendi
Mama alikua ananichukia sana......

Mungu si athumani nikapata likizo hii likizo nikaomba niende kwa.mama mzazi

Na wao wakakubali.

Hapo ndo ukawa mwanzo wa ukombozi.wangu nimefika dar sikutamani tena kurudi nikamwambia mama nipo radhi mnikate mkono.ili tu nibaki na wewe.

Bibi yangu upande wa mama alishangaa kauli zangu kwani.niliwambia kule kwa mama wa kambo mimi nakula sana , kuhusu chakula utakula utaacha wewe..

Mbeya mtu akikunyima chakula.huyo.mchawi.maana kuna vingi vya kufanya tumbo lijae

Ila kile kipigo nikasema bibi siwezi kurudi..

Hapo ndio nikabadili.jina rasmi kutoka lile jina la ubabani.na.kutumia.jina la umamani..

Majina.yana.maana.sana.katika.maisha yetu.. mimi si kwamba nilikua sina akili ila ni maisha na life style ilikua sio nzuri kwa mtoto kukua .

Nilikua na kisasi kwa huyu mama wa kambo kwanini alinifanyia vile

Why hakunipenda... Kile kisasi nilikaa nacho na nikasema ipo siku

Nitaendelea

Somo kwa ndugu zangu ambao wanatarajia kuwa na familia hapo badae.

Kwanza Mimba sio kitu cha bahati mbaya tambua hilo, usije kusema hujajipanga bado..

Pili... Wewe ndio unayeamua kesho mwanao kwa kumchagulia mama bora ambaye atatunza watoto wako...

Tatu... Mtoto kwa mama, ni wanawake wachache sana wana moyo wa kukaa na mtoto wa mwanaume... Sijui kwa sasa kama mambo yamebadilika

Ila kwa niliyopitia mimi Naomba Mungu anipe mke mwema ambaye huyo atakua mama wa watoto wangu milele.. kiufupi kuvunja ndoa hiki kitu kinaleta negative effects nyingi kuliko faida na ndio maana kwa uislam kuna vikwazo vingi kabla ya kumpa mke taraka....
Pole mwana.
Niligundua ktk andiko lako ni kuwa baba yako hakuwa mtu wa kujifunza haraka maana haiwezekani akae na wewe pekee yako zaidi ya mwaka halafu hasijue mwenendo wako.

Sasa uvivu wake wa kujifunza ulimfanya amuamini huyo mkewe wakati ilikuwa ni jambo tu la kubaini kuwa km ni kweli ulimwaga hayo mafuta basi haikuwa makusudi.

Lkn pia sasa kama mafuta yamemwagika,tayari umeadhibiwa,sasa kwa nini akuadhibu tena?
Lkn je baada ya ukatili woote huo mafuta yatarejea?
Hapakuwa na sababu ya yote hayo.
Pole sana,lkn utakuwa umejifunza ushetani wa baadhi ya binadamu.
Ukikuta mwanamke yuko fyatu hata kwa mtoto wake anafanya hayo mpaka unawaza,hivi huyu mtoto siyo wake?
 
Baba alioana mwanamke wa makamo sisi tukiwa wakubwa ndani. Sisi tuna asili ya ulaya yaani machotara. Mzee alipokuja siku moja na bint wa kati ya 35+ tulimkaribisha na ni sisi vidume tuliempikia breakfast baada ya mzee kula mambo yke usiku kicha.

Asb hiyo mamaa alitaka asepe tukamzuia, tukamwambia ni utamaduni hapa haondoki mtu bilakupata kuifungua kinywa.

Akashangaa maana alikuwa alishakaribia langokuu la kutokea nje. Mzee alituonea noma kumtoa hivyo alimuacha atoke then amwambie mdg wetu wa mwisho amsindikize.

Mzee baada ya kusikia majibizano japo si fujo akatoka akiukiza kuna nini hapo nilijitokeza nikasema haiwezekani atoke bila breakfast.

Bint aliona aibu ya kike, akakaa kwenye sofa. Birika chap yenye chainikawekwa mezani na Mimi haraka sana nikakaanga mayai mawiki na mkate nikamuwekea.

Nikamwambia endelea. ....

Akanywa pale dogo akampa kampani akasepa. Jioni walivykutana huko wanakokitaniana nikahisi response kwamba yule mwanamke alipata hofu na anatuogopa maana mshua alikuja na chuki kwamba kwann tumemlazimisha.

Mbele ya wazee wetu unajua hakuna kuji tetea ni mwendo wa kusikiliza tu. Na nikahisi asingehisi tunamtaimu maana yule mmama ametuzidi 10+

Tukaamua kuuchuna kila anapokuja, baadae likaja neno lingine mbona hamumsikilizi mama yenu. ..." Mzee tukiongea nae ni shida rukimfanyia ukarim ni shida..tuelekeze cha kufanya.." mzee akakaa kimya kama dakika moja, akasema fanyeni mnavyoweza.

Kwa sasa tumekuwa wakubwa yule mmama ana mtoto wa kile anamlengesha kwangu. Nikakaa na huyu binti siku moja baada ya kurudia kwenye kaz zangu.
.." wewe unajua Mimi na wewe ni ndg?
Akajibu ndio, nikamuuliza unataka nini. Akasema ukweli, anataka mbegu! Nilishangaa mpaka leo bado nashangaa.

Siku moja alinifata akitaka jibu, nikamuangalia kwa umakini sana. Wkt namchunguza, akanipasulia stori, akiwa amekaa na mamaake, akimwambia anatuoenda sana watoto wa huyu mzee. Wakati mamaake anasema hayo yeye akawa na mpango kutega mimba.

Nikamwambia kisaikilojia, kwamba ikiwa atataka tu mtoto mwenye asili kama sisi aseme nimuungamishie na wazungu.

Mnajua wazungu Malaya wapo wakifika bongo wanapenda kupinga mbichi wakiamini wao wana sindano kinga ya magonjwa. Nikafikiria kumpeleka huko.

Q bar.
1000049986.jpg

Akapata zungu likampa mimba
Bahati yake nzr alichukua contacts kwa makubaliano yankukutana tena.

Kwa sasa ana africast boy kid.

Kuna siku alitaka aniingize kwenye msala, wa kumpeleka kujiuza. Nikafanikiwa kudanganya mzee kuwa dogo aliomba kampani kutoka, yeye akampenda mzungu. Bahati nzr pia mzungu amemkubali mwanae.
 
Wewe hukuwa na hatia, ila elewa kuna watu wakishavurugwa na maisha wanamwona kila mtu adui.
Mkuu acha tuu kuna mengine nimeskip ila maisha haya acha tu mpaka sasa nipo hapa nasemaga kuna sababu...

Nipo na golden blood,, kuna mambo nilifanyiwa mpaka sasa nipo salama nasema kuna namna mkuu
 
Mkuu acha tuu kuna mengine nimeskip ila maisha haya acha tu mpaka sasa nipo hapa nasemaga kuna sababu...

Nipo na golden blood,, kuna mambo nilifanyiwa mpaka sasa nipo salama nasema kuna namna mkuu
Mungu amekutunza kwa makusudi maalumu, mengine mwachie Yeye, simama katika mema, ninaamini utakuwa baba bora na mume bora kwa mke wako.
 
Pole sana Kwa masahibu ya utoton
Waislam hawana mambo mengi kwenye kutoa talaka naona wao ni chapchap ishu inakuja kwenye mtoto wa nje
Wewe mwanaume kama umeachana na mkeo ukaoa mke mwingine bas kama una mtoto au watoto mwache mamayao Aishi nao mama wa kambo hatokuja penda mtoto wako mpaka unaingia kabrin atafanya maigizo ujue anampenda ila nyuma ya pazia mtoto anateseka Bora mpe mama yo Aishi nao
Mkuu na utakuta Mama watoto wako kaolewa pia na Mume wake hataki kuishi na wanao.
 
Back
Top Bottom