Kwakupita tuu niwambie uyudenisi anajiabu kwa kumpa sifa mamatibajuka napenda kumuuliza.buligi,kayonza,lwiala, ichwandimi,rwazi,kasenyi,bumbile, kyota,kyamukwikwi,mjunwa ,ilemela,kabaguna,na katungulu,uko anapajua namatatizo walionayo anayajua? Wao wanajua jina tibajuka nazile picha alizogawa kwenyekipindi cha kampaini. Kuusu hosptal nenda kaigala dawa akuna na kuusu ziala ya rais wananchi ua awapewi nafasi yakuuliza maswali wao wanachokifanya ni kuandaa watu watakao uliza maswali walio ambiwa ndo maana uyu denisi k/b anajivunia kua mbona raisi alivo kuwepo awaja muuliza madai ayo acha unafiki wakishabiki wasiasa sema ukweli.