Mama Tibaijuka anatafutwa

Mama Tibaijuka anatafutwa

Ndugu wan
Jf.nawasalimu nyote.Kwa kuchangia tu kwenye maada hii,mm binafsi
ningeomba mtoa maada alipoleta maada angeikamilisha vizuri kwa
kubainisha ni zahanati zipi na vijiji gani vinavyomtafuta
mh.prof.tibaijuka.Kwanza kasema Mama Tibaijuka anatafutwa jimboni,kule
vijijini Muleba,angebainisha vijiji vile kwa majina ni vijiji gani
M.T.hajawahai kuvitembelea.Kwa faida ya wengi Takwimu zinaonyesha kuwa
Wilaya ya Muleba inavyo vijiji 167,ambapo kwa jimbo la Muleba
Kusini,onavyo vojiji 112,kati ya 167.Ni Ukweli usiopingika kuwa
M.T.amekuwa akifanya mikutano kwenye Kata yaan Makao makuu ya kata zote
25.za Jimbo zima.Ukweli wenyewe sio rahisi kuvifikia vijiji vyote kwan
hata wakati wa kampeni mikitano ya Wabunge hufanyika Makao makuu ya
kata. Pili Ndugu yangu mleta
maada,anaposema zahanati hazina madawa,ingekuwa vema akabainisha pia ni
zahanati zipi kwa majina.Ninavyojua wakati
Mh.Prof.Tibajuka,amekuja,11.june.2013,kwa Ndege ya Serikali,alitembelea
hospitali zote za Wilaya ya Muleba pamoja na zahanati lakini tatizo la
madawa halikusikika kwa wananchi.Hospitali zilizotembelewa ni pamoja na
Hosp.Teule ya Wilaya (Rubya hospital),Kagondo hispitalna Ndolage
Hospital.Kwa upande wa zahanati,alifika Kaigara iliyopo Muleba
Mjini,Kimeya Tarafa ya Kimwani,Rwantege tarafa ya Nshamba.Wagonjwa
wenyewe ndio walikuwa shahidi kwa vinywa vyao kuwa Madawa yalikuwepo ya
kutosha. Kama hiyo haitoshi,ni Juzi Mh.T.wakati wa Ziara ya Raisi
alitembelea wananchi wa Rulanda ambao wanajenga zahanat na Mh.Raisi
akawachangia Milion.3,akawambia kuwa atampa Mbunge wenu
azilete.Hivyohivyo Kasindaga kata ya Kyebitembe wanajenga Zahanati,Raisi
alichangia Mil.2.Habari njema zaidi Kasindaga Halmashauri wanaendelea
na ujenzi wa zahanati ile kwa 26.Milioni.Kote huko hakuna mahali walilia
madawa.Ndo nasema hivi huyu mleta maada ingekuwa vema akabainisha ni
vijiji gani na zahanati gani walipolalamikia upungufu wa madawa?,Nasema
hivyo Mh.Tibaijuka ametoka Muleba Jimboni na Mh.Raisi hilo tatizo hakuna
mahali lilipotajwa.Ni vema mtandao huu ukatumika kusema ukweli,kwani
itaweza kuisaidia kufuatilia na kutafuta ufumbuzi wa tatizo kama habari
ni ya kweli.Lakini ieleweke pia hata kusema Uongo ni ufisadi. *
Kwa nyongeza pale Kata ya
Biirabo,kuna mradi wa ujenzi wa Zahanati chini ya Halmashauri ambapo
Mh.Tibaijuka alichangia bati zote,lakini Halmashauri wakaamua kumalizia
kila kitu,mpaka sasa imeishaezkwa.Kule Buhangaza hivyohivyo.
* kuhusu
hoja ya bus stand hii imejengwa tangu 2003,kutoka eneo ilipokua
zamani.mpaka sasa standi hii ipo na imekamilika mabasi makubwa na madogo
yanatua,pale bila tatizo,huduma za msingi zipo zote maduka ya uhakika
na vyoo vya uhakika vimejengwa pale.kwa kufanya ulinganisho na standi
zote zilizo katika mkoa wa kagera wala huwezi amini hoja yako,mtoa
maada. * kitu muhimu
kinachopaswa kueleweka kwa watu wote na hasa wale wanaopost news,kwenye
mtandao wetu mtukufu,tujaribu kuheshimu usomi wetu,ambapo kusema ukweli
ni zaidi ya yote. Mwisho
ningeomba kama inawezekana tunapokuwa na thread nzuri na zenye uhakika
basi tujitahidi kuzitoa kwa kuweka wazi majina yetu wazi na sio yale ya
bandia,na niombe samahani kwa punctuation kwani niko vijijin na natumia
blackbery,mniwie radhu kwa hilo. Denis,
ktb/m.tibaijuka muleba.

we ni mwongo kabisa,madai ya wananchi ni ya msingi vituo vya afya havina madawa,mf.mdogo ni kituo cha afya kimeya ni miezi 9 sasa hakuna dawa wananchi wanapata huduma pale runazi kwenye pharmacy binafsi ya diwani wa chadema.
 
Ndugu yangu sio raisi kujipanga kuchukua jimbo kwa kusema uongo.Ushauri jaribu kujipanga,vizuri kwa mikakati,kwan yule Mama sio Jembe tu bali ni Nyundo pia.Utashindwa mtihani hata kabla hujaanza.

heeeee denis charles yamekua hayo????mi sina ndoto za kuwa mwanasiasa naona umetoka kwenye mjadala tena,nimeandika nilichokisikia,na east afrika redio ni moja ya vituo vinavyoheshimika hapa nchini,nimekupa ushauri ufanyie kazi,kwani mama tibaijuka yeye mungu hadi awe perfect wewe ni katibu wa mbunge mwambie atimize wajibu,au unataka kusema east africa radio inamuhujumu????
 
Last edited by a moderator:
we ni mwongo kabisa,madai ya wananchi ni ya msingi vituo vya afya havina madawa,mf.mdogo ni kituo cha afya kimeya ni miezi 9 sasa hakuna dawa wananchi wanapata huduma pale runazi kwenye pharmacy binafsi ya diwani wa chadema.

afadhali Chibolo wewe umwambie maana hata huko unapajua naona denis charles sasa analeta uhayawani wakat ana nafas ya kufanyia kazi kilichotangazwa jana
 
Last edited by a moderator:
we ni mwongo kabisa,madai ya wananchi ni ya msingi vituo vya afya havina madawa,mf.mdogo ni kituo cha afya kimeya ni miezi 9 sasa hakuna dawa wananchi wanapata huduma pale runazi kwenye pharmacy binafsi ya diwani wa chadema.

afadhali Chibolo wewe umwambie maana hata huko unapajua naona denis charles sasa analeta uhayawani wakat ana nafas ya kufanyia kazi kilichotangazwa jana
 
Last edited by a moderator:
we ni mwongo kabisa,madai ya wananchi ni ya msingi vituo vya afya havina madawa,mf.mdogo ni kituo cha afya kimeya ni miezi 9 sasa hakuna dawa wananchi wanapata huduma pale runazi kwenye pharmacy binafsi ya diwani wa chadema.

afadhali Chibolo wewe umwambie maana hata huko unapajua naona denis charles sasa analeta uhayawani wakat ana nafas ya kufanyia kazi kilichotangazwa jana
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Msanii,Ujumbe wako tumeupata,lakini Mm niyaendika mpaka sasa nipo jimboni Muleba.Hata M.Tibaijuka ametoka huku,ni wiki moja imepita tu.Swala la Afya linajulikana na hivi majuzi,Mh.Tibaijuka amekamilisha mpango wa kuanzisha Bohari kuu ya kusambaza dawa kwa Mikoa ya Geita,na Kagera,ambyo itajengwa Muleba.MSD.Kanda ya ziwa wanataka kupanua wigo wa kusambaza madawa mpaka vijijin.17.july,2013,wamekagua eneo la Malahara ambapo kwa kuanzia watakuwa wanatumia Jengo la hospitali ya Wilaya,wakati wanaendelea na ujenzi wa majengo yao palepale malahara.Lengo kubwa ni harakati za kutatua kero mbalimbali katila sekta hii ya Afya.Kwahyo sio kweli kuwa watu hawajasikilizwa.Muhimu ndugu msanii utanielewa na sio kama mchangiaji mmoja ananiambia kuwa haya ni maneno ya kwenye Kanga,alafu eti anataka kuchukua jimbo.Je tutafika?

denis charles kauli za mipango ndo za wanasiasa lakin tambua wapiga kura wenu jana wamelalamika,,,NIMEWASKIA,
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Msanii,Ujumbe wako tumeupata,lakini Mm niyaendika mpaka sasa nipo jimboni Muleba.Hata M.Tibaijuka ametoka huku,ni wiki moja imepita tu.Swala la Afya linajulikana na hivi majuzi,Mh.Tibaijuka amekamilisha mpango wa kuanzisha Bohari kuu ya kusambaza dawa kwa Mikoa ya Geita,na Kagera,ambyo itajengwa Muleba.MSD.Kanda ya ziwa wanataka kupanua wigo wa kusambaza madawa mpaka vijijin.17.july,2013,wamekagua eneo la Malahara ambapo kwa kuanzia watakuwa wanatumia Jengo la hospitali ya Wilaya,wakati wanaendelea na ujenzi wa majengo yao palepale malahara.Lengo kubwa ni harakati za kutatua kero mbalimbali katila sekta hii ya Afya.Kwahyo sio kweli kuwa watu hawajasikilizwa.Muhimu ndugu msanii utanielewa na sio kama mchangiaji mmoja ananiambia kuwa haya ni maneno ya kwenye Kanga,alafu eti anataka kuchukua jimbo.Je tutafika?

denis charles kauli za mipango ndo za wanasiasa lakin tambua wapiga kura wenu jana wamelalamika,,,NIMEWASKIA,
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Msanii,Ujumbe wako tumeupata,lakini Mm niyaendika mpaka sasa nipo jimboni Muleba.Hata M.Tibaijuka ametoka huku,ni wiki moja imepita tu.Swala la Afya linajulikana na hivi majuzi,Mh.Tibaijuka amekamilisha mpango wa kuanzisha Bohari kuu ya kusambaza dawa kwa Mikoa ya Geita,na Kagera,ambyo itajengwa Muleba.MSD.Kanda ya ziwa wanataka kupanua wigo wa kusambaza madawa mpaka vijijin.17.july,2013,wamekagua eneo la Malahara ambapo kwa kuanzia watakuwa wanatumia Jengo la hospitali ya Wilaya,wakati wanaendelea na ujenzi wa majengo yao palepale malahara.Lengo kubwa ni harakati za kutatua kero mbalimbali katila sekta hii ya Afya.Kwahyo sio kweli kuwa watu hawajasikilizwa.Muhimu ndugu msanii utanielewa na sio kama mchangiaji mmoja ananiambia kuwa haya ni maneno ya kwenye Kanga,alafu eti anataka kuchukua jimbo.Je tutafika?

denis charles kauli za mipango ndo za wanasiasa lakin tambua wapiga kura wenu jana wamelalamika,,,NIMEWASKIA,
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Msanii,Ujumbe wako tumeupata,lakini Mm niyaendika mpaka sasa nipo jimboni Muleba.Hata M.Tibaijuka ametoka huku,ni wiki moja imepita tu.Swala la Afya linajulikana na hivi majuzi,Mh.Tibaijuka amekamilisha mpango wa kuanzisha Bohari kuu ya kusambaza dawa kwa Mikoa ya Geita,na Kagera,ambyo itajengwa Muleba.MSD.Kanda ya ziwa wanataka kupanua wigo wa kusambaza madawa mpaka vijijin.17.july,2013,wamekagua eneo la Malahara ambapo kwa kuanzia watakuwa wanatumia Jengo la hospitali ya Wilaya,wakati wanaendelea na ujenzi wa majengo yao palepale malahara.Lengo kubwa ni harakati za kutatua kero mbalimbali katila sekta hii ya Afya.Kwahyo sio kweli kuwa watu hawajasikilizwa.Muhimu ndugu msanii utanielewa na sio kama mchangiaji mmoja ananiambia kuwa haya ni maneno ya kwenye Kanga,alafu eti anataka kuchukua jimbo.Je tutafika?

denis charles kauli za mipango ndo za wanasiasa lakin tambua wapiga kura wenu jana wamelalamika,,,NIMEWASKIA,
 
Last edited by a moderator:
Mama Tibaijuka anatafutwa na wapiga kura wake wa Jimbo la Muleba,leo asbui kwenye kipindi cha Super Mix baadhi ya wapiga kura wake ambao walikua wakihojiwa na Kituo cha redio cha East Africa walisema kuwa tangu wamchague mbunge wao kuna maeneo hajapita kabisa,hasa maeneo ya vijijini,wanadai amewasahau na amehamia Dar es Salaam huku akionesha hana mpango nao.

Wapiga kura wa Mama Tibaijuka wakaenda mbali zaid na kusema,huduma muhim kama vile dawa kwenye zahanat wanakosa,ingawa wanaona magar yanashusha dawa lakin waendapo hospitalini au kwenye vituo vya afya husishia kuambiwa wakanunue kwani dawa hakuna.

Kuna mpiga kura wake mmoja alisema kuwa wakunga wanapata tabu sana kuwazalisha wake zao maana hata gloves hakuna,wao wanasema wanamhitaj mama Tibaijuka aende akawatembelee hasa huko vijijin ili wamueleze kero zao na azifanyie kazi,pia walilalamika kuwa hawashirikishwi kwenye kubuni miradi....

Hata hivyo mtangazaji alisema alipompigia sim mama Tibaijuka,simu haikupokelewa,sasa mimi kwakua niliisikia hii via redio nimeona bora niilete hapa,maana najua mama Tibaijuka ni memba wa JF kwa siku za karibuni.

Kwa sababu nilimskia Mtangazaji Zembwela akisema 'MAMA TIBAIJUKA POPOTE ULIPO KAMA UNATUSIKIA TUNAOMBA UJIBU HOJA ZA WAPIGA KURA WAKO.'

NAWASILISHA
EID NJEMA WADAU

Huyu mama hakupigiwa kura alipitishwa tuu na chama chake
 
Sikiliza hadithi nyingine,kama wewe ni mfuatilia mzuri wa thread za jf,utakumbuka kuwa 10,July.2013,M.Tibaijuka alitoa ufafanuzi wa ziara yake jimboni Muleba kwa kutumia Ndege ya serikali.Miongoni mwa maeneo aliyoyatolea ufafanuzi ni pamoja na Kimeya jinsi alivyofika na kuwaona wagonjwa na kuwapelekea madawa pia,akiwa na Timu nzima ya Wilaya yaan DC.DED.na DMO,pamoja na Kamati ya ulinzi na Usalama.Kwa hesabu yako hiyo Miezi 9,inaingia akilini?.Kuhusu famasi ya Diwani wa Chadema,nashukuru kwa kuwa umeileta mwenyewe.Huyu ndo Diwani mwenye kata hiyo ya Kimeya Kasharunga.Swali ilikuwaje madawa yanakosa kwenye zahanati ya wapiga kura wake halafu anawauzia yeye kwenye famasi yake bila kuchukua hatua kwenye Halmashauri ambapo yeye ndo mtetezi wao?.Kama sio sera ya Madiwani wote wa Chadema Tanzania,Je hili halitoshi kudhibitisha kuwa huu ulikuwa mtandao wa kifisadi?.Ndo maana sisi baada ya kuliona hilo M.Tibaijuka aliingilia kati na kulidhibiti kikamilifu,mpaka sasa dawa zinapatikana za kutosha. Zaidi ningeomba kushauri huyu Diwani wa Chadema aangaliwe kwa makini,kwani Mwaka jana alipambana vikali na kutofautiana na M.Tibaijuka akitetea Beria za ushuru wa mazao ndani ya kata zake ambazo zilikuwa kinyume cha sheria.Kwa ukorofi zaidi mahali alipokuwa ameweka beria zinazozuia mazao kwa wakulima wa ukanda wa Ngote,alikuwa ametundika bendera ya Chadema hapohapo.Sisi ikatuchanganya sana tukashindwa kuelewa,kama ni sera ya chama chake au la!.Naomba Chadema wamuangalie kwa makini,kwani yeye ndo alikuwa ameshikilia ile tenda,ambayo ilikuwa kinyume na sheria,ambao ni ufisadi pia.
 
Kwani JK alipokuwa kagera si alilala kwake???

Mbona mnasema hajawahi kuja huko??
 
Mama wizara imemshinda, she is too good for nothing kwa kweli

Aliingia JF kwa kishindo lakini mpaka sasa hajajibu hoja dhidi ya wizara yake zilizotolewa humu !!! Ameishia kutuletea ramani za Singapore ili kujustify mradi wake wa Kigamboni!! Yuko pale kumridhisha mkwereee basi!!!
 
Ndugu Msanii,Ujumbe wako tumeupata,lakini Mm niyaendika mpaka sasa nipo jimboni Muleba.Hata M.Tibaijuka ametoka huku,ni wiki moja imepita tu.Swala la Afya linajulikana na hivi majuzi,Mh.Tibaijuka amekamilisha mpango wa kuanzisha Bohari kuu ya kusambaza dawa kwa Mikoa ya Geita,na Kagera,ambyo itajengwa Muleba.MSD.Kanda ya ziwa wanataka kupanua wigo wa kusambaza madawa mpaka vijijin.17.july,2013,wamekagua eneo la Malahara ambapo kwa kuanzia watakuwa wanatumia Jengo la hospitali ya Wilaya,wakati wanaendelea na ujenzi wa majengo yao palepale malahara.Lengo kubwa ni harakati za kutatua kero mbalimbali katila sekta hii ya Afya.Kwahyo sio kweli kuwa watu hawajasikilizwa.Muhimu ndugu msanii utanielewa na sio kama mchangiaji mmoja ananiambia kuwa haya ni maneno ya kwenye Kanga,alafu eti anataka kuchukua jimbo.Je tutafika?

ulianza vizuri sana,ila ulipoendelea ulikua unaropoka,mama tibaijuka alikod ndege kwa mbwembwe tu kujifanya anataka kuwasiliana na wapiga kura wake,jana wamemvua nguo wanalalamika,sasa unaanza kuwaambia watu wanalitaka jimbo,unadhan kila mtu wanasiasa???
 
Kwani Ana Tibaijuka ni wa viti maalum?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

teh teh teh , mkuu tatizo watu hawako makini na matamshi ya viongozi, ndo maana wanakurupuka na michango humu. wanageuza jukwaa kama kijiwe.
 
ulianza vizuri sana,ila ulipoendelea ulikua unaropoka,mama tibaijuka alikod ndege kwa mbwembwe tu kujifanya anataka kuwasiliana na wapiga kura wake,jana wamemvua nguo wanalalamika,sasa unaanza kuwaambia watu wanalitaka jimbo,unadhan kila mtu wanasiasa???

Tuliza munkari mkuu, hayo ni maoni yake, mjibu tu kistaarabu ataelewa kupandisha jazba ni kutaka kumuaminisha kuwa mnalitaka jimbo.
 
Mama Tibaijuka anatafutwa na wapiga kura wake wa Jimbo la Muleba,leo asbui kwenye kipindi cha Super Mix baadhi ya wapiga kura wake ambao walikua wakihojiwa na Kituo cha redio cha East Africa walisema kuwa tangu wamchague mbunge wao kuna maeneo hajapita kabisa,hasa maeneo ya vijijini,wanadai amewasahau na amehamia Dar es Salaam huku akionesha hana mpango nao.

Wapiga kura wa Mama Tibaijuka wakaenda mbali zaid na kusema,huduma muhim kama vile dawa kwenye zahanat wanakosa,ingawa wanaona magar yanashusha dawa lakin waendapo hospitalini au kwenye vituo vya afya husishia kuambiwa wakanunue kwani dawa hakuna.

Kuna mpiga kura wake mmoja alisema kuwa wakunga wanapata tabu sana kuwazalisha wake zao maana hata gloves hakuna,wao wanasema wanamhitaj mama Tibaijuka aende akawatembelee hasa huko vijijin ili wamueleze kero zao na azifanyie kazi,pia walilalamika kuwa hawashirikishwi kwenye kubuni miradi....

Hata hivyo mtangazaji alisema alipompigia sim mama Tibaijuka,simu haikupokelewa,sasa mimi kwakua niliisikia hii via redio nimeona bora niilete hapa,maana najua mama Tibaijuka ni memba wa JF kwa siku za karibuni.

Kwa sababu nilimskia Mtangazaji Zembwela akisema 'MAMA TIBAIJUKA POPOTE ULIPO KAMA UNATUSIKIA TUNAOMBA UJIBU HOJA ZA WAPIGA KURA WAKO.'

NAWASILISHA
EID NJEMA WADAU

Kumbe madawa yanakwenda? wananchi wawasiliane na viongozi wa maeneo yao kujua wapi madawa yanakoishia kuliko kumlalamikia Mama Tibaijuka wakati kuna watendaji wa chni yake kama vile Diwani.
 
mr.denis
wacha kupotosha bhana,diwani wa chadema amekuwa na hiyo famasi siku nyingi
hata kabla hajapata huo udiwani na wewe huo ukweli unaujua,beria ilipitishwa na baraza la madiwani ili kuongeza mapato si la diwani,then kusema kuwa alipeleka madawa kimeya hizo ni porojo za kisiasa,ukweli utabaki hapo na wewe unaujua.
 
Back
Top Bottom