Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,907
Nimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44. Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi.
===
Nimeambiwa kwamba shilingi bilioni 23.37 ni kwaajili ya ujenzi na shilingi bilioni 18.73 zimetumika kuweka mitambo na mifumo mbalimbali. Niitumie fursa hii kuipokenza Benki kuu kwa jengo hili zuri na la kisasa.
Mheshimiwa pamoja na sifa hizo ujenzi gharama kidogo imesisimua mishipa ya damu lakini hili tutalitazama jinsi tunavyokwenda kwa leo ni sherehe ya uzinduzi wa jengo. Fedha zimetumikaje, zimeendaje tutashikana huko.
Sema lile jengo ni kalii ila bil 44 tumepigwa mchana kweupee
Taja bei zake..,Narudia BOT Mbeya na Mtwara au Zanzibar kuna majengo makali kuliko hilo la Mwanza
Jengo la 10 floor ndio iwe 44 bln eti sijui BOT sijui kutunza pesa au dhahabu..Jengo lenyewe ndio hili?View attachment 1817383
Weka picha acha siasa umeliona ilo jengo BoT Mwanza mkuu??,Narudia BOT Mbeya na Mtwara au Zanzibar kuna majengo makali kuliko hilo la Mwanza
Acha ujinga hapo juu kuna floor 7 na basement floor 3 sasa hapo wapi kuna Eneo kubwa?Eneo kubwa la hiyo benki ipo chini ya ardhi huku juu ni kama hewa tu chiniya ardhi ndio kuna kila kitu nazan umeelewa.
Ikulu tuu haijengwi kwa mawe au zege tupu ,je hapo pamejengwa kwa zege na mawe tuu?Mkuu umefanikiwa kuona BOQ au ni picha pekee umeona?
Kumbuka jengo la bank linaweza onekana simple kwa nje lkn gharama kubwa ikawa kwenye kuliimarisha na security kwa maana ya miundo mbinu yake.
Tusitarajie jengo na uimara wa jengo la BOT liwe kama Saluni ya Mama Kimbo.
Afadhali umenena hivyo, maana sisi huwa tunadhania jengo la benki linajengwa kwa tofali zile zinazotolewa 40 kwa mfuko mmoja wa sementi.Kapimwe akili mkuu.
Jengo kubwa na imara, kuna basement ya maana pale chini. Benki kuu haijengwi kama Guest za Buza mkuu
Zipi hizo? Unataka kumfanya nani mtoto? Unaijua bil.45 wewe?Kwa standard za majengo ya BOT,bila shaka hiyo gharama ni sahh,hata Kama walipiga ni kdogo Sana,majengo ya BOT ,Yana standard zake sio Kama haya magorofa ya kawaida ,Yale Yana standard zake mkuu,kujenga chumba kimoja tu kwa standard zao,umejenga nyumba ya vyumba vinne masters,sebule kubwa,stop,na jiko,fensi,na uwanja mkubwa wanyumba.sio kitoto zile mijengo.
Hata mama mwenyewe aliwekwa na huyo aliyemuweka gavana wa BOTHuyu Gavana wa BOT aliyewekwa na jiwe,nadhani alimuweka kwa madhumuni maalumu...
ile ripoti ya BOT ya Jan-March mama hajatujuza bado
Mbona ni zuri tu ??Jengo lenyewe ndio hili?View attachment 1817383