Niko Musoma, muda mfupi ujao mama Salma Kikwete atawasili hapa, kufungua maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru kwa UWT, swali langu liko hapa gari la matangazo linapita mitaani kuhamasisha wananchi wajitokeze kumalaki Mheshimiwa mama Salima Kikwete, Je mama Salma Kikwete ni Mheshimiwa?
Naomba kuwasilisha!
Sherehe za UWT kwa gharama ya serikali.........halafu wanashindwa kulipia pango Mawizara yake
Ingekuwa Vizuri tungejua maana ya neno mheshimiwa kabla ya kupost hizi comments zetu.
Acha upumbavu. Yule ni muheshimiwa penda usipende hata watoto wao ni waheshimiwa.
Niko Musoma, muda mfupi ujao mama Salma Kikwete atawasili hapa, kufungua maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru kwa UWT, swali langu liko hapa gari la matangazo linapita mitaani kuhamasisha wananchi wajitokeze kumalaki Mheshimiwa mama Salima Kikwete, Je mama Salma Kikwete ni Mheshimiwa?
Naomba kuwasilisha!
Acha upumbavu. Yule ni muheshimiwa penda usipende hata watoto wao ni waheshimiwa.