ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,205
- 8,236
Niko Musoma, muda mfupi ujao mama Salma Kikwete atawasili hapa, kufungua maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru kwa UWT, swali langu liko hapa gari la matangazo linapita mitaani kuhamasisha wananchi wajitokeze kumalaki Mheshimiwa mama Salima Kikwete, Je mama Salma Kikwete ni Mheshimiwa?
Naomba kuwasilisha!
Naomba kuwasilisha!