Mkuu Pdidy,Mama Salma Kikwete anakwenda Marekani katika jimbo la California,kwenye Mkutano wa Taasisi binafsi inayojulikana kama (USDFA),Mkutano huo utafanyika kuanzia tarehe 20/04 mpaka 22/04 katika mji wa Los Angeles,Licha ya First Lady wa Tanzania kuna First Ladies wengine 14 kutoka Africa (Kusini mwa Sahara) wamealikwa katika Mkutano huo ulioandaliwa na Celebrities Sharon Stone,Billy Zane na Danny Glover kwa kupitia Taasisi yao ya US Doctors For Africa (USDFA).Miongoni mwa watoa Mada katika Mkutano huo ni Mke wa Waziri Mkuu wa Uingereza Sarah Brown na Mke wa Governor wa California Maria Shriver Schwarzenegger.
Mkuu naomba kidogo angalia vyanzo vya habari yako,Nauli na Malazi kwa First Lady na ujumbe wake vimegharamiwa na USDFA.